Ni ipi njia nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonesha dalili zakutaka kumtawala mwanaume wake?

Ni ipi njia nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonesha dalili zakutaka kumtawala mwanaume wake?

😀😀

Wapare wanahitaji umzidi mambo nyeti hasa Akili na Pesa akikuona hamnazo na Pesa za kuvuta kamba lazima Hali hiyo ijitokeze. Ingawaje siô wote
Hamna bhana!

Wanawake wa kipare hawana malezi mazuri. Unaweza ukamzidi hivyo vyote na bado plan yake ya kukupanda kichwani ikawa bado ipo!

Wana kiburi na kisirani flani. Huwa hawataki kujishusha, hawakubali makosa na wanaujuaji mwingi sana. Muda wote wanajiona wao wapo sahihi na wewe ndiye mwenye makosa. Na muda wote wao wanataka wawe na kauli ya mwisho.

Utatumia njia ya ukali, au ya mazungumzo ya upole na kumfahamisha wewe kama mwanaume nafasi yako ni ipi na yeye kama mwanamke nafasi yake ni ipi lakini wapi! Hakuna mabadiliko yoyote yatakayotokea. Wanawake wa kipare wana tatizo la malezi.

Aina hii ya mwanamke mbeleni utamdhuru tu mwili wake.
 
Mm km mshauri wa kataa ndoa nime-note tone Yako ya kimama sana hata ulivyokua kataa ndoa ulikua una-act mama ww
 
Hamna bhana!

Wanawake wa kipare hawana malezi mazuri. Unaweza ukamzidi hivyo vyote na bado plan yake ya kukupanda kichwani ikawa bado ipo!

Wana kiburi na kisirani flani. Huwa hawataki kujishusha, hawakubali makosa na wanaujuaji mwingi sana. Muda wote wanajiona wao wapo sahihi na wewe ndiye mwenye makosa. Na muda wote wao wanataka wawe na kauli ya mwisho.

Utatumia njia ya ukali, au ya mazungumzo ya upole na kumfahamisha wewe kama mwanaume nafasi yako ni ipi na yeye kama mwanamke nafasi yake ni ipi lakini wapi! Hakuna mabadiliko yoyote yatakayotokea. Wanawake wa kipare wana tatizo la malezi.

Aina hii ya mwanamke mbeleni utamdhuru tu mwili wake.

😃😃
 
Mpe mimba back to back halafu mpeleke kijijini kwao akasikilizie mpaka atakapojifungua na mtoto kufikisha mwaka mmoja
 
Chukua ushauri huu hapa, ajabu hakuna mwanaume aliyetoa ushauri wa kiume kama huu, inaonesha the level of emasculation in our society. Wanawake wachagga na wapare ni feminists by nature, nafikiri wengi wamekuzwa kwenye matriachy family (Mother rules) so kazi yao ni kuwafundisha wanaume kuwa wanaume, ukilegeza umeliwa.
Hakuna kitu kama hicho!

Wanawake wa huko maadili yao si mazuri.

Finland wanawake wao wana tabia hizo wanaume wao wanakimbilia kuoa Russia.

Kwa sababu aina hiyo ya mwanamke mwisho wa siku utamdhuru tu mwili wake.
 
Hakuna kitu kama hicho!

Wanawake wa huko maadili yao si mazuri.

Finland wanawake wao wana tabia hizo wanaume wao wanakimbilia kuoa Russia.

Kwa sababu aina hiyo ya mwanamke mwisho wa siku utamdhuru tu mwili wake.
Hii case ni kubwa, sio kama unavyotaka kurahisisha

Mwanamke anaweza kuact dominant sababu ya abandonment issues.

Mwanamke anaweza kuact dominant sababu ya msimamo wa mwanaume kuyumbishwa

Mwanamke anaweza kuact dominant sababu hapakuwa na baba home au baba alikuwa dhaifu, lack of father/ male figure

Mwanamke anaweza kuact dominant sababu mwanaume kuwa na tabia za kitoto, huwajibiki

Sasa anatakiwa ajue mwanamke wake anampigia kwenye angle ipi kabla ya kutatua tatizo

lakini utatuzi wa haya yote ni kuongeza msimamo, kuongeza umakini, take charge yani wajibika, acha tabia za kitoto usimchukulie mke km mamaako, anza kujiongoza then umuongoze
 
Will Jr nipo nachukua notice hapa mku..hapo kwenye mwanamke inategemea anapiga kwenye angle ipi umenikumbusha kuwa makini 24/7
 
Situation yako kama yangu, ila mimi sijamuoa huyu wa kwangu, na tunapoelekea naenda kuchukua fomu za kujiunga na chama cha Kataa ndoa kwa sababu ni utapeli kuigiza tabia ambayo imekuja kubadilika mbeleni huku.
 
Ndugu zangu wana Jf Salaam sana.

Ndugu zangu kweli mimi nilikua mkereketwa wa chama cha wanaokataa ndoa ila mwisho wa siku niliona huwezi kuwa rijali na ukakataa kuishi na mwanamke . Nilikusanya akili zangu na kuamua kuoa sasa leo hii nipo hapa kuomba ushauri wa namna nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonyesha kila dalili ya kutaka kumtawala mwanaume.

Mimi nimeoa ila kipindi cha uchumba mke wangu alikua ananisikiliza sana na alikua nikimuongoza anafata kwa usahihi yale yote niliyokua na mwelekeza na alinionyesha tabia njema mpaka nikavutiwa kumuoa

Sasa Kilichokuja kutokea ni baada ya kumuoa ndiyo ameanza kunionyesha mabadiliko mara kwa mara.

1: MKE WANGU, Amekua akinionyesha kwa maongezi na vitendo vyake kwamba ana kila dalili ya kutaka kunitawala mimi mume wake , hata kupitia mazungumzo yake na lawama zake unaona kabisa hapa anatak kunitawala.

2: MKE WANGU, Amekua akinitaka mimi mume wake nifate kila utaratibu wa maisha anaosema yeye jambo ambalo linaashiria kabisa anataka mimi mume wake nikae kwenye mfumo jike wake na siyo yeye kukaa kwenye taratibu zangu

3: MKE WANGU, amekua akiishi na mimi kama mtu mwenye machale machale mguu nje mguu ndani na mara nyingi tukipishana kauli amekua akiniambia kama simtaki au nimemchoka ni mwambie aondoke.

4: MKE WANGU, amekua akiongea kauli ambazo zinakua na amri amri ndani yake mfano, nataka , naenda, nipe, niletee, kama hutaki niambie au fanya.

5: MKE WANGU , amekua akijifanya yeye ni mweye misimamo mikali hata kama haina maana yeyote ile, aking'ang'ania jambo ameling'ang'ania hasa.

6: Mbali na yote hayo hata akiongea ujinga , akikosea au akinijia juu anataka mimi ndo nishuke nianze kumbembeleza na kumwelekeza kwa upole. na siyo yeye kushuka kama ilivyo desturi ya mwanamke awe mnyenyekevu na mtiifu kwa mumewe.

Nb.

Ndugu zangu mimi kwa upande wangu kaa mwanaume kuhusu majukumu mengine kweli mke wangu anajitahidi ila kuhusu hayo hapo juu nimeweka msimamo kwamba sipoteyari kwa namna yeyote ile kukubaliana na mambo yake na kila mara na mwambia mwanaume ndiye nguzo, msimamizi na kiongozi wa mwanamke.


SASA NIPO HAPA NAOMBENI NAMNA NZURI YA KUISHI NA MKE WANGU MWENYE KILA DALILI YA KUTAKA KUNITAWALA NA KUTAKA MIMI NDIYE NIWE NA MSIKILIZA YEYE NA MWENYE KUJISHUSHA KWAKE MAANA MIMI SIPO TEYARI KABISA KUKUBALIANA NA MAMBO YAKE.

"" MSINISHAURI NI ACHANE NAE MAANA KWA STYLE HII NIMESHA WAACHA WENGI SANA"

ASANTEN:;-
Huyo anataka apandishwe cheo awe mke mkubwa
 
tafuta kazi mkoani uwe unarudi akikumiss, mwanamke wa leo anapenda sana utawala, wanawake waliisha baada ya vita ya kagera. kanisa katoliki ili uwe kiongozi wa jumuia lazima uwe na ndoa sio kuwa wenye ndoa ni watakatifu la hasha , ila kwenye ndoa watu wanaamua tu kunyamaza na kujifanya wajinga maisha yaende, ukiweza kuishi na kiumbe kinaitwa mwanamke basi unaweza ongoza na kuishi na hata na chui bila shida
 
Mbona hujaweka kabila la mke sasa ili tujue pakuanzia.
 
Ndugu zangu wana Jf Salaam sana.

Ndugu zangu kweli mimi nilikua mkereketwa wa chama cha wanaokataa ndoa ila mwisho wa siku niliona huwezi kuwa rijali na ukakataa kuishi na mwanamke . Nilikusanya akili zangu na kuamua kuoa sasa leo hii nipo hapa kuomba ushauri wa namna nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonyesha kila dalili ya kutaka kumtawala mwanaume.

Mimi nimeoa ila kipindi cha uchumba mke wangu alikua ananisikiliza sana na alikua nikimuongoza anafata kwa usahihi yale yote niliyokua na mwelekeza na alinionyesha tabia njema mpaka nikavutiwa kumuoa

Sasa Kilichokuja kutokea ni baada ya kumuoa ndiyo ameanza kunionyesha mabadiliko mara kwa mara.

1: MKE WANGU, Amekua akinionyesha kwa maongezi na vitendo vyake kwamba ana kila dalili ya kutaka kunitawala mimi mume wake , hata kupitia mazungumzo yake na lawama zake unaona kabisa hapa anatak kunitawala.

2: MKE WANGU, Amekua akinitaka mimi mume wake nifate kila utaratibu wa maisha anaosema yeye jambo ambalo linaashiria kabisa anataka mimi mume wake nikae kwenye mfumo jike wake na siyo yeye kukaa kwenye taratibu zangu

3: MKE WANGU, amekua akiishi na mimi kama mtu mwenye machale machale mguu nje mguu ndani na mara nyingi tukipishana kauli amekua akiniambia kama simtaki au nimemchoka ni mwambie aondoke.

4: MKE WANGU, amekua akiongea kauli ambazo zinakua na amri amri ndani yake mfano, nataka , naenda, nipe, niletee, kama hutaki niambie au fanya.

5: MKE WANGU , amekua akijifanya yeye ni mweye misimamo mikali hata kama haina maana yeyote ile, aking'ang'ania jambo ameling'ang'ania hasa.

6: Mbali na yote hayo hata akiongea ujinga , akikosea au akinijia juu anataka mimi ndo nishuke nianze kumbembeleza na kumwelekeza kwa upole. na siyo yeye kushuka kama ilivyo desturi ya mwanamke awe mnyenyekevu na mtiifu kwa mumewe.

Nb.

Ndugu zangu mimi kwa upande wangu kaa mwanaume kuhusu majukumu mengine kweli mke wangu anajitahidi ila kuhusu hayo hapo juu nimeweka msimamo kwamba sipoteyari kwa namna yeyote ile kukubaliana na mambo yake na kila mara na mwambia mwanaume ndiye nguzo, msimamizi na kiongozi wa mwanamke.


SASA NIPO HAPA NAOMBENI NAMNA NZURI YA KUISHI NA MKE WANGU MWENYE KILA DALILI YA KUTAKA KUNITAWALA NA KUTAKA MIMI NDIYE NIWE NA MSIKILIZA YEYE NA MWENYE KUJISHUSHA KWAKE MAANA MIMI SIPO TEYARI KABISA KUKUBALIANA NA MAMBO YAKE.

"" MSINISHAURI NI ACHANE NAE MAANA KWA STYLE HII NIMESHA WAACHA WENGI SANA"

ASANTEN:;-
Fuata maelekezo aliyotoa Mwenyezi Mungu kupitia Biblia....ishi nae kwa akili!
 
Ndugu zangu wana Jf Salaam sana.

Ndugu zangu kweli mimi nilikua mkereketwa wa chama cha wanaokataa ndoa ila mwisho wa siku niliona huwezi kuwa rijali na ukakataa kuishi na mwanamke . Nilikusanya akili zangu na kuamua kuoa sasa leo hii nipo hapa kuomba ushauri wa namna nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonyesha kila dalili ya kutaka kumtawala mwanaume.

Mimi nimeoa ila kipindi cha uchumba mke wangu alikua ananisikiliza sana na alikua nikimuongoza anafata kwa usahihi yale yote niliyokua na mwelekeza na alinionyesha tabia njema mpaka nikavutiwa kumuoa

Sasa Kilichokuja kutokea ni baada ya kumuoa ndiyo ameanza kunionyesha mabadiliko mara kwa mara.

1: MKE WANGU, Amekua akinionyesha kwa maongezi na vitendo vyake kwamba ana kila dalili ya kutaka kunitawala mimi mume wake , hata kupitia mazungumzo yake na lawama zake unaona kabisa hapa anatak kunitawala.

2: MKE WANGU, Amekua akinitaka mimi mume wake nifate kila utaratibu wa maisha anaosema yeye jambo ambalo linaashiria kabisa anataka mimi mume wake nikae kwenye mfumo jike wake na siyo yeye kukaa kwenye taratibu zangu

3: MKE WANGU, amekua akiishi na mimi kama mtu mwenye machale machale mguu nje mguu ndani na mara nyingi tukipishana kauli amekua akiniambia kama simtaki au nimemchoka ni mwambie aondoke.

4: MKE WANGU, amekua akiongea kauli ambazo zinakua na amri amri ndani yake mfano, nataka , naenda, nipe, niletee, kama hutaki niambie au fanya.

5: MKE WANGU , amekua akijifanya yeye ni mweye misimamo mikali hata kama haina maana yeyote ile, aking'ang'ania jambo ameling'ang'ania hasa.

6: Mbali na yote hayo hata akiongea ujinga , akikosea au akinijia juu anataka mimi ndo nishuke nianze kumbembeleza na kumwelekeza kwa upole. na siyo yeye kushuka kama ilivyo desturi ya mwanamke awe mnyenyekevu na mtiifu kwa mumewe.

Nb.

Ndugu zangu mimi kwa upande wangu kaa mwanaume kuhusu majukumu mengine kweli mke wangu anajitahidi ila kuhusu hayo hapo juu nimeweka msimamo kwamba sipoteyari kwa namna yeyote ile kukubaliana na mambo yake na kila mara na mwambia mwanaume ndiye nguzo, msimamizi na kiongozi wa mwanamke.


SASA NIPO HAPA NAOMBENI NAMNA NZURI YA KUISHI NA MKE WANGU MWENYE KILA DALILI YA KUTAKA KUNITAWALA NA KUTAKA MIMI NDIYE NIWE NA MSIKILIZA YEYE NA MWENYE KUJISHUSHA KWAKE MAANA MIMI SIPO TEYARI KABISA KUKUBALIANA NA MAMBO YAKE.

"" MSINISHAURI NI ACHANE NAE MAANA KWA STYLE HII NIMESHA WAACHA WENGI SANA"

ASANTEN:;-
Mwanamke akikuzidi vitu viwili umekwisha..... Akili na Pesa

Rudi tu kwenu ukaishi na wazazi 😹
 
Ushayakanyaga, embu tumia uanaume wako kua zia kitandandani
 
kibao kimegeuka sikuiz wanawake wanatunyanya sn na mkuu usifikiri ajui anachokifany wanaakili sn we akizingua piga jifanye ww ndio mwehu utain km hatatulia
 
SIo kaskazini hiyo mzee?...Mpe msimamo wa nini unataka kutoka kwake na isiwe negotiable,akishindwa kufuata mifumo yako nawewe ndio mwanaume mrudishe kwao,kuna wanawake kibao wanaoelewa maana ya kua mwanamke...Wengine hao wamelelewa kua simba la masimba toka huko kwao,amekua anaona mama ndio master,mzee yupoyupo tu kama fala so usidhan mtu wa hivyo utambadilisha ukubwani.Akishindwa kukucontrol kikawaida atahamia kwenye sayansi asilia mpaka ukae kwenye mfumo.
Hiii nikwwli kabisa,baadhi ya wanawake wamelelewa tofauti sana kumbadilisha ipo kazi.
 
Ongeza watoto awe na majukumu ya kulea. Kama shida ni hiyo tu si muasherati yanavumilika endelea kuwa Kiongozi wa nyumba yako.
 
1.mpeleke kwao akapumzike hata miezi mitatu mazoea yamezidi. 2.kama uwezo upo mpandishe cheo aitwe Be mkubwa
Hivi mfano kama mwanamke hataki kuondoka utafanyaje? Maana kuna wengine wajeuri
 
Back
Top Bottom