Hiyo kitu ni uzoefu, ungekuwa karibu nikufundishe ni rahis sanaGari pekee ya manual niliyowahi kuendesha ni ya driving school miaka zaidi ya 10 iliyopita
Hari zote nilizoendesha ni automatic kwa kuogopa vile vipimo vya kuachia klachi kwenye gari manual.
Ni ipi siri ya kuweza kubalance klachi
π€£π€£π€£π€£Sasa unataka vitu vya kujifunza kwa vitendo ujifunze kwa maandishi?
Haya kanyaga clutch mpaka mwisho, weka gia namba 1, anza kuachia clutch polepole na mafuta kidogo sana ukiona kama gari inakinzana kati ya breki na mwendo toa parking break gari itaanza kuserereka polepole achia clutch yote endelea kulivurumisha mpaka Gaza
Siri kubwa ni kuachia clutch taratibu wakati wa kuondoka. Hapo ukiwa gear 1 au 2. Gari ikishaanza kuondoka kwemye kuweka gear zinazofuata unaachia tu clutch pale ambapo gear ishaingia.Gari pekee ya manual niliyowahi kuendesha ni ya driving school miaka zaidi ya 10 iliyopita.
Gari nazoendesha ni automatic nawasha, naweka D, nakanyaga moto au breki, hakuna mambo mengi.
Gari za manual sija master vizuri mpaka leo kubalance klachi na moto wakati wa kubadili gia.
Tupeane ujuzi na tips
Hizi peddle shifter tunazihesabia au?Hujawahi kuendesha manual Max?
Ah hizo ni semi-automatic. Manual unacheza na clutch kwenye mlima Hakuna kukanyaga brake una balance tu clutch.Hizi peddle shifter tunazihesabia au?
Hapo mlimani ukute na hand brake haifanyi kazi.Clutch ina principles zake.. ukanyagaji hakikisha pedal inafika mwisho..
Uondokaj ktk sehem flat ni kawaida.. kimbembe ktk milima au miinuko alaf nyuma kuna gari mbele gari ndio utajua Maharage ni mboga au futari.
Ukikanyaga mafuta mengi ukarusha mguu ktk clutch unaparamia gari la mbele.. ukikanyaga Clutch bila brake chuma inarudi nyuma.. π mboga moto ugali moto.
Unaskia harufu ya clutch tu unajua hapa kimeumana π.. huku na huku na gari lenyewe linazima.. MANUAL hazina uvumilivu kwa Malena.Hapo mlimani ukute na hand brake haifanyi kazi.
Nimejifunza land-rover 109 miaka hiyo, ni manual, kwa miaka hii katika gari sipendi hata kuziona ni hizo za manual,Katika gari napenda kuendesha ni manual kuliko automatic sijui kwanini.
Ila siri kuu ya kubalansi clutch ni practice mkuu.
Enzi naendesha land rover 109, huo ndo ulikuwa ubora wangu. Mguu wa kushoto nakanyaga clutch, huu wa kulia nauweka kama kilema, unakanyaga brake pedal na accelerator,, sirudi nyuma hata nuktaHapo mlimani ukute na hand brake haifanyi kazi.
Ma pro tunatumia handbrake na kusoma RPM tu..Enzi naendesha land rover 109, huo ndo ulikuwa ubora wangu. Mguu wa kushoto nakanyaga clutch, huu wa kulia nauweka kama kilema, unakanyaga brake pedal na accelerator,, sirudi nyuma hata nukta