Ni ipi siri ya kuweza kubalance klachi kubadili gia kwenye gari za manual

Ni ipi siri ya kuweza kubalance klachi kubadili gia kwenye gari za manual

Clutch ina principles zake.. ukanyagaji hakikisha pedal inafika mwisho..

Uondokaj ktk sehem flat ni kawaida.. kimbembe ktk milima au miinuko alaf nyuma kuna gari mbele gari ndio utajua Maharage ni mboga au futari.

Ukikanyaga mafuta mengi ukarusha mguu ktk clutch unaparamia gari la mbele.. ukikanyaga Clutch bila brake chuma inarudi nyuma.. 😁 mboga moto ugali moto.u😆😆🎙️
😆😁😁Umefanya nikumbuke police test yule mama alinifanyia hichi kitu nikabaki nimesimama nikawasha na hazard
 
😆😁😁Umefanya nikumbuke police test yule mama alinifanyia hichi kitu nikabaki nimesimama nikawasha na hazard
😁😁 ndio maana nasema ktk madereva wazuri ni hawa wa madaladala.. hasa wale wa enzi za DCM. chuma ina gia kama Mfagio yaan gia inakuzidi urefu alafu handling ngumu, breki hakuna.. alaf alipokaa ni karibu na Injini.. joto lote linamuingia mwilini.. unakuta juu ya Dashboard katupia chupa ya maji ipo hapo stand-by kusubiri kipi kitaanza kuchemsha.. Yeye au Gari.
 
Kila skills unayoimudu inaanza na wewe mwenyewe kuipenda kwaza fani husika. Nilijifunza manual kwa kuelekezwa kwa mdomo tu. Na gari yangu ya kwanza kuendesha ya manual ni Toyota Town Hiace staff gear, hapo ndipo nilipata uzoefu mkubwa. Baadae nikashika Isuzu fulani hivi.

Sasa hivi napiga yoyote utakayoleta. Lakini kusema ukweli naenjoy zote tu. Mimi driving napenda tu, haijalishi naendesha manual au auto. Ajabu udereva si fani yangu inayonipa mkate wa kila siku.

Wanaume tujifunze gear stick.
 
Mleta mada, unavyoachia clutch wakati wa kuondoka ndo utaachia clutch hivyo hivyo kwenye kila gia. Sio eti namba 1 unaachia taratibu halafu gia zilizobaki unaachia ghafla.

Ukiweka gia kanyaga mafuta kabla hujaachia clutch. Tena kanyaga mafuta bila kuogopa.

Jitahidi pia kujua gia ipi inafaa kwa spidi ipi. Hii itakusaidia unaposhuka gia. Mfano ukiwa gia namba 5 ukakanyaga breki mpaka 15km/h automatically gari itatetemeka na kuzimika kabisa kama hutawahi kukanyaga clutch.

Ukifanya hayo hapo juu hutasikia habari za kutetemeka tena.
 
Manual za diesel zinavumilia sana malena. Haizimiki hovyo hovyo. Gia namba moja inaondoa gari bila kukanyaga mafuta.
Ni kweli kabisa Mkuu.. kuna Nissan Patrol nilikuwa naitumia.. kwanza ZITO alafu ukiengage gia ukiw unaachia clutch na yenyewe inaondoka.. bila wese.. ingaw zipo petrol zinazofanya hivyo.
 
Dereva mzuri hahitaji kutumia clutch unapoendesha gari manual, clutch inatumika wakati wa kuondoka baada ya gari kusimama au wakati wa kusimama ila ikiwa kwenye motion unacheza tu na RPM unapanga gia bili clutch
Duuh... Nyie ndio mnaoua GearBox siku mbili tu 😁😁 imagine umempa mwamba gari yako wiki nzima..
 
Ni kwa miaka zaidi ya 15 gari pekee nazoendesha ni automatic

Gari za manual nazipenda ila napata shida kubalance klachi na moto wakati wa kubadili gia.

nikiachia klachi nikianza kukanyaga moto wakati nabadili gia, gari inaruka ruka.

Tupeane ujuzi na tips
Hii kitu inaitwa uzoefu,huwezi kuuelezea kwa mandishi
 
Duuh... Nyie ndio mnaoua GearBox siku mbili tu 😁😁 imagine umempa mwamba gari yako wiki nzima..
Usikariri bro clutch ni muhimu wakati wa kuondoka na kusimama tu, gari ikiwa kwenye mwendo Gearbox inakua salama zaidi kama utakua mtaalam wa kucheza na RPM hapo gia zinaingia vizuri tu, Gari manual nimeanza kuziendesha tangu olevel na sasa gari nayotumia ni manual niko nayo mwaka wa nne mara nyingi situmii clutch kubadili gear ikiwa kwenye motion na Gearbox kila siku kama mpya
 
Back
Top Bottom