Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Umri umeishaa....😰🙌na umri unazidi kusogea 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri umeishaa....😰🙌na umri unazidi kusogea 😂
na ungo umegoma kuvunjika 😀Umri umeishaa....😰🙌
🤣🤣🤣na ungo umegoma kuvunjika 😀
Ni kama tu, zamani hata ukiwa na elimu ya darasa la saba unapata ajira nzuri.Habarini wana MMU,
Natumai ni wazima wa afya kabisa na wenye shida kidogo mungu awabariki warudi kwenye hali yao ya kawaida ya kiafya.
Hili jambo limekuwa likinitatiza sana. Na leo nimeamua niwashirikishe ndugu zangu labda tutapata wasaa zaidi wa kulifafanua hili jambo.
JE NI IPI SIRI YA MAFANIKIO YA KUDUMU KWA NDOA ZA WAZEE WETU?
Ipo hivi, mimi ni miongoni mwa watu wa mwisho kabisa kuamin kwamba mambo yanayotokea kipindi hchi kwenye ndoa yalikuwa hayatokei kwa wazee wetu huko nyuma.
Kama Uzinzi, uongo, kufumuniana, kudharauliana, kugombana hivyo vitu vyote vilitokea kwa wazee wetu. Sasa wao waliwezaje kufanikiwa kudumu kwenye ndoa zao tofauti na zama hizi.
Siri kubwa ni ipi.?
Kama ni Uvumilivu ndo tuseme zama hizi uvumilivu baina ya wanandoa hakuna kabisa. Kama ni upendo ndo tueseme umepotea kabisa zama hizi.
Tulijadili hili wana MMU
Ni ipi Siri ya kudumu kwa ndoa za wazee wetu kuliko zama hizi.?