Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Wewe wasema
Umjua mmiliki WA ngurdoto hotels ni nan?
Unamjua mmiliki WA eckenford tanga university ni nan?
Umjua mmiliki WA précision ? Ni Hao mabwana zako waarabu ?
Mbona unapanic? na tunajua Mali nyingi mliachiwa na mkoloni Kwa kumng'ang'ania ndo maana hamkutaka uhuru eti muendelea kuwaabudu wazungu ulikuwa bado hujazaliwa😂😂.

Hao uliwataja huyo Tarimo eckenford aliachiwa na wazungu na ishakufa hawana management nzuri ...Waarabu sio bongo tu nchi kibao mpaka marekani Wana uwekezaji.

Tajiri anajulika Mo huyo Mengi wako hamna na shirima ndo kabisa😂😂wenzio vijana wakina Mo chini ya 50 ,we mazee 70 na kitu na juzi tu list imetokq Mengi kashashuka hamna muendelezo mzuri wa biashara kama waarabu.😂
 
Sasa hiyo repot wap inaonyesha wachaga ndo wana unafuu hapo mkuu?
Nasubiri research inayoonyesha wachaga ndo wana maendeleo zaidi Tz...wew unaniletea per capita ambayo wanagawa GDP kwa population...hata hapa Africa nchi kama Equatorial Guinea na Gabon zina per capita kubwa sana mara 7 ya Tanzania katazame sasa umaskini uliotukuka huko Gabon nk

Au unataka kusema wazaramo, wahehe nk walio top ndo wana ufadhali wa maisha?

Unaona sasa ulivyo kichaa? Kajengee ndugu zako vyoo sasa huko Rombo


Na bado nitawaumbua mkitaka...
Hii ni shule huko kijiji cha makomba old moshi Kilimanjaro....
Wazazi wapo wanajisifu matajiri wakati watoto wao wanasoma kwenye mazingira haya...View attachment 2695869View attachment 2695870View attachment 2695871
Unaelekea kuwehuka Wewe
Sasa mkoa WA Kilimanjaro unakaliwa na watu gani mostly?
Kwahyo huko Kagera hakuna hivyo vipato?
Nenda kahamasishe watu Wenu WA Kagera waondokane na aibu ya utapiamlo
1676389990311.jpg
 
We tafuta picha zote mbaya za mkoa wa kilimanjaro zipost huku usichoke na wala usiache

ila fahamu Kagera ni mkoa maskin kuliko mikoa yote Tanzania unashika mkia sihitaji picha kuprove hilo bali takwimu
Huyu amechanganikiwa SIO tu kwa mkoa wake kuwa WA kwanza kwa umaskini,Bali mkoa wake ni WA Tano kitaifa kwa utapiamlo
Yani Hadi chakula chá kulisha watoto ni shida HII kiuchumi inaitwa absolutely poverty
 
HAKUNA KABILA LILILO NA WASOMI WENGI KAMA WAHAYA

KATIKA POPULATION YA WAHAYA MORE THAN 87% WAMESOMA NGAZI ZA VYUO.

WACHAGA WANAIISHIA FORM 4 HALAFU WANAKOMAA NA BIASHARA.

HALAFU ACHA UONGO DOGO SAWA?
Wewe wasema
Wachaga wamedominate ngazi zote za Elimu kwanzia diplôme, dégrée,masters ,PhD
Wachaga wamesoma zaidi kozi za maliasili,uhasibu, uchumi, biashara,Sheria,Elimu,u daktari, engineering na kilimo
Hakuna mahali Au taasisi isiyo na mchaga popote Tanzania
 
Mbona unapanic? na tunajua Mali nyingi mliachiwa na mkoloni Kwa kumng'ang'ania ndo maana hamkutaka uhuru eti muendelea kuwaabudu wazungu ulikuwa bado hujazaliwa[emoji23][emoji23].

Hao uliwataja huyo Tarimo eckenford aliachiwa na wazungu na ishakufa hawana management nzuri ...Waarabu sio bongo tu nchi kibao mpaka marekani Wana uwekezaji.

Tajiri anajulika Mo huyo Mengi wako hamna na shirima ndo kabisa[emoji23][emoji23]wenzio vijana wakina Mo chini ya 50 ,we mazee 70 na kitu na juzi tu list imetokq Mengi kashashuka hamna muendelezo mzuri wa biashara kama waarabu.[emoji23]
Tarimo aliachiwa na mzungu yupi tarimo Alianza na chekechea Hadi university,vipi na mengi NAE aliachiwa na wazungu?
Vipi na shirima nae aliachiwa Precision na mzungu?
Umamjua aingaya Macha? Ni individual shareholder namba Moja ktk bank ya crdb je NAE kaachiwa na mzungu?
Unafahamu Huwa 40% ya kampuni za mabasi Tanzania zinamilikiwa na watu WA Kilimanjaro?
 
Tarimo aliachiwa na mzungu yupi tarimo Alianza na chekechea Hadi university,vipi na mengi NAE aliachiwa na wazungu?
Vipi na shirima nae aliachiwa Precision na mzungu?
Umamjua aingaya Macha? Ni individual shareholder namba Moja ktk bank ya crdb je NAE kaachiwa na mzungu?
Ndo maana nikakuambiwa hujui kaangalie branch za eckenford eti alianza na chekechea ,punguza utoto kama biashara angekuwa kaanza kutoka scratch isingekufa kibudu mpaka majengo yalikuwa yanapigwa mnada..

Kasome huyo shirima kwanza kaanzisha hyo akiwa na miaka 50 na kitu na alipotoka sio haba.

Mbona wamazidiwa na wale jamaa pale juu?😂😂

Huyo Mengi kweny kitabu eti wageni wanapendelewa wakati wakina GSM Mzee wake wanaanza biashara pale Tanga watu wanamuona ,kuna Bakhresa nyie mtu kufa miaka kadhaa biashara zimeyumba.

Matajiri wengi ni wale wale haswa wazee walishajichotea pesa kibao enzi za zamani kama ulikuwa hujui ndo hao wanaendeleza na wataendelea kuwa matajiri ,washashika maeneo nyeti yote.

Inshort ,waarabu,wazungu na wachina ndo mpango mzima .
 
Tarimo aliachiwa na mzungu yupi tarimo Alianza na chekechea Hadi university,vipi na mengi NAE aliachiwa na wazungu?
Vipi na shirima nae aliachiwa Precision na mzungu?
Umamjua aingaya Macha? Ni individual shareholder namba Moja ktk bank ya crdb je NAE kaachiwa na mzungu?
Unafahamu Huwa 40% ya kampuni za mabasi Tanzania zinamilikiwa na watu WA Kilimanjaro?
Mbona unajielezea sana tajiri wa Tanzania ni Mo na Bakhresa huyo sijui Macha hata Top 10 hayupo ...Hata GSM naona haingii mara 2 yake😂😂.

Acha kutaja watu wa uchochoroni hata Bank waajiriwa wengi walikuwa wanatokea huko kaskazini hiyo CRDB n watu wanajua nan alichangia hilo.
 
Wachaga is overrated
Mimi katika vitu nilikuwa siviwezi ni biashara na kuona fursa. Nikakutana na jamaa yangu mmoja kazini mchaga, aisee yule jamaa alibadilisha kabisa mtazamo wangu kimaisha na ndiye aliyeniingiza kwenye biashara for the first time. Pamoja na kuwa kazini kwa zaidi ya miaka 5 huyo jamaa tulianza biashara pamoja, joint venture, na kupitia hiyo biashara kwa mara ya kwanza niliweza kuwa na milioni 5 zangu mwenyewe kupitia hiyo biashara. Hawa jamaa acha kabisa..
 
Licha ya umasikini wetu wa taifa hapakosekani kundi la watu wenye nafuu, Tukigusia makabila yenye asili ya hapa kwetu, jamaa wapo mbali mno.

Kunaweza kuwa na makabila yanayowafatia ila ni gepu refu mno.

1.Elimu: Hawa watu wamesoma sana na shule zipo huko kwao tangu zamani sana, sehem zao kuna shule nyingi sana, hapa wenzao ni wahaya lakini tatizo wahaya wana shule chache sana huko kwao na sehemu waliyosifika ni kwenye elimu tu.

Biashara - Ni kama kipaji chao cha asili hata kwa ambao wameishia darasa la 7 wapo wanaofanya makubwa, ukija kwa wasomi nako wamejaa wamefungua makampuni, najua kuna wanaofatia wapo wakinga, waha, wasukuma, n.k ila wameachwa mbali sana.

siasa - ukiachana na ccm hawa ndio waasisi wakubwa wa vyama vingi maarufu vya upinzani kuanzia tlp, nccr, chadema, vyote vina asili ya wachaga,

kuendeleza na kujenga kwao hawana mpinzani, nimeona makabila mengine wengine wanajaribu jaribu wanajenga nyumba za kisasa huko vijijini kwao ila unakuta kijiji kizima nyumba hizo zinahesabika,

Kwenye system na political positions hawajajaa sana
ila kila ofisi wamejaa, mashirika ya uma na kimataifa wapo.

kuridhika kwa wachaga ni ngumu sana, mtu alieridhika mara nyingi huonyesha majigambo na sifa, kuna baadhi ya watu wakipata hela basi wataanza laki si pesa, ist gari za watoto, n.k kwa wachaga mtu anaweza kuwa na pesa kibao ila bado ana nidhamu ya pesa laki 1 anaipangia bajeti, ataendesha hata passo ilimradi ajenge kwao nyumba nzuri, n.k.

Ni nadra sana kusikia mambo ya uchawi uchagani kwamba flani kamtupia jini jirani kisa mtoto wake kapata kazi, kurogana kisa ndugu kapiga hatua, n.k. uchawi ni adui mkubwa sana wa maendeleo na kwa kiasi kikubwa wamejitahidi kuukwepa, just imagine nina rafiki yangu wa huko Geita vijijini alitaka kuwajengea wazazi nyumba ya kisasa, watakataa, mwengine rafiki wa Njombe aliniambia huko kijijini kwao hata kuweka bati ni ishu nzito kwasababu majirani wanaweza kuchukia maendeleo wanaroga.

Wanaheshimu mila na desturi zao: kifupi wanajua wapi wametoka na wapi wanaenda, wachaga ikifika december kuna mtu asiejua balaa lao ? huwa ni kama waisrael wa sehem mbali mbali wanarudi kwao, hii pia inafanyika na kabila lililofanikiwa zaidi Nigeria waigbo hurudi kwao kila mwisho wa mwaka.
..........................

Kwa wengi unaweza kukuta kwenye elimu wapo ila kwengine zero

wengine unaweza kuta wanajitahidi biashara ila huko kwao hakutamaniki na elim bado sana

n.k.
Wachaga base on History nikizazi cha Malikia Wa Sheba kutoka Ethiopian ambapo Kuna vinasaba vya Waisrael
 
Porojo zipo na wakati mkoa wa kilimanjaro wananchi wake wanakipato kikubwa na upo top three na huku kagera ukiwa miongoni mwa mikoa maskini kabisa au unataka proof ipi

Utoeni kwanza mkoa wenu wa kagera kwenye mikoa maskini zaid Tanzania
Na bukoba ndo wilaya yenye idadi ndogo maskini nchi...unasemaje na hapo
JamiiForums-1304377376.jpg
 
Huyu Aliyeleta huu Uzi naona dish limeyumba! Kuna maendeleo gani huku Moshi? Wamesoma mkoa gani haujasoma? Wameendelea wakati Kuna nyumba za nyansi kama wengine! Wachaga ni kama free mason, hela zao ni za kuabudu mizimu, wizi, kubebana makazoni humu na dhuruma. Fuatilia sana ajira sasa hivi wanastukiwa sana.
 
Weka credible source ya hizo takwimu
Kwa hiyo bukoba (M) iko mara mbili namba moja na 11
Bukoba ndo wilaya yenye asilimua kubwa ya watu wenye vipato mzee...
Hizo takwimu ni kutoka NBS...kagoogle kiwango cha umaskini ngazi ya wilaya...
Nyie mnapenda kuchukua mkoa mzima wa kageea wenye wilaya hata za biharamulo na ngara...chukua sehemu za wahaya pekee uone...


And you can prove this...tazama baadhi ya mitaa ya bukoba mjini.....wilaya yenye idadi ndogo ya maskini nchini...

Screenshot_20230514-144654.jpg
Screenshot_20230514-144708.jpg
Screenshot_20230514-113644.jpg
Screenshot_20230514-113701.jpg
Screenshot_20230514-113731.jpg
BK%202020.PNG
dfg.JPG
JamiiForums-1304377376.jpg
 
Back
Top Bottom