Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

Shule nyingi ni upuuzi, Kwasababu watu wenyewe mnakimbia kwenu kila siku mpaka darasa linakuwa na wanafunzi 8.


Calculations zinafanyika kiboya. Huwezi kuchukua pato zima la mkoa ukagawanya kwa idadi ya watu. Na wachagga kila siku mnakimbia kwenu, huna mnaleta misiba tu nammeacha wazee.

Kwahiyo kwa vyovyote sehemu yenye watu wachache itaonekana Ina kipato kizuri, jambo ambalo ni uongo.

Kilimanjaro (ukiondoa Moshi na Himo) kwingine kote ni VIJIJINI PORI.

Kwahiyo, wakati unasema unasema VIJIJINI Kuna nyumba nzuri, tuoneshe MJINI ni wapi??
Mshamba wewe
Standard ya Elimu inataka darasa liwe na at least 45 pupils
Sasa wewe umezoea kwenu usukumani darasa Lina watoto 100 unaona ajabu lenye 18 Sasa si ndio vizuri?
 
Shule nyingi ni upuuzi, Kwasababu watu wenyewe mnakimbia kwenu kila siku mpaka darasa linakuwa na wanafunzi 8.


Calculations zinafanyika kiboya. Huwezi kuchukua pato zima la mkoa ukagawanya kwa idadi ya watu. Na wachagga kila siku mnakimbia kwenu, huna mnaleta misiba tu nammeacha wazee.

Kwahiyo kwa vyovyote sehemu yenye watu wachache itaonekana Ina kipato kizuri, jambo ambalo ni uongo.

Kilimanjaro (ukiondoa Moshi na Himo) kwingine kote ni VIJIJINI PORI.

Kwahiyo, wakati unasema unasema VIJIJINI Kuna nyumba nzuri, tuoneshe MJINI ni wapi??
Takwimu hupingwa kwa takwimu
Nyie endeleeni kupanda mifisi yenu hko muone kama mtachomoka[emoji3]
 
Shule nyingi ni upuuzi, Kwasababu watu wenyewe mnakimbia kwenu kila siku mpaka darasa linakuwa na wanafunzi 8.


Calculations zinafanyika kiboya. Huwezi kuchukua pato zima la mkoa ukagawanya kwa idadi ya watu. Na wachagga kila siku mnakimbia kwenu, huna mnaleta misiba tu nammeacha wazee.

Kwahiyo kwa vyovyote sehemu yenye watu wachache itaonekana Ina kipato kizuri, jambo ambalo ni uongo.

Kilimanjaro (ukiondoa Moshi na Himo) kwingine kote ni VIJIJINI PORI.

Kwahiyo, wakati unasema unasema VIJIJINI Kuna nyumba nzuri, tuoneshe MJINI ni wapi??
Uchagan hakuna pori wewe ngosha
Maeneo yote ni kijani Safi usidhani Kuna mapori ya kuchungia mbuzi kama kule kwenu msalala
Njoo rombo,marangu,machame,mamba,kilema,ujionee mijemgo ya kifahari Hadi ukimbie
Uchagan hakuna nyumba ya nyasi hâta Moja(elewa Neno hâta Moja)
Nenda uchagan ukikuta MTU yeyote analala nyumba ya nyasi kama kwenu usukumani nakupa 5m
 
Itakua umewaona wachaga wawili huko kwenu,wachaga wavivu,wazembe,walevi wengi tu,achilia mbali umasikini
Pole sana unasumbuliwa na chuki
Hujui hâta marekan wapo maskini?
Tunasema uchagan ni tofauti kiuchumi,kimaendeleo , kimakazi NK compare na hko kwenu nyangwale
 
Husuda.

Maskini wasofanikiwa huwa wanawaonea husuda walofanikiwa.

Husuda huambatana na chuki .

Husuda ni tabia ya kichawi.
Alafu mungu alivyo WA ajabu
Wale haters wote mikoa yao ndio inaongoza kwa umaskini Kila mwaka
Kumbe chuki ni kwakuwa wao m maskini
Wafanye Kaz wazae kwa mpango watafanikiwa kama wachaga
 
Hata kama upo itakuwa ni kwa uchache sana,

Sikatai maana penye wengi hapakosi kuwa na mengi

Lakini itakuwa ni kwa uchache sana.

Huwezi linganisha na eneo lolote lile nchini.

Acha kabisa,

Eti Xmass na magari vile na jamii kuhamasika kupenda kusoma na kuwa fahari ya jamii nzima?!

Iko wapi hiyo hapa nchini kama sio Uchagani pekee?
Haipo popote
Kuna maeneo hapa Tanzania hâta kujenga nyumba ya bati jeupe tu ni shughuli
 
Huna hyo jeuri,jeuri ya kuhamusha watu wanayo wachaga tu
Walohamisha wazaramo kimara yote mbezi yote,kibamba NK,
Vikindu,toangoma na Sasa Hadi kisarawe bila kusahau bagamoyo
Huko kote ulikotaja, eka mmoja wakati wachaga wananunua bei haikufika hata laki moja.
 
Huko kote ulikotaja, eka mmoja wakati wachaga wananunua bei haikufika hata laki moja.
Ujue walivyo magenius ,waliwaacha wenyeji wakinengua viuno kwa baikoko wakanunua wakijua mbele ya safar ardhi itabana
Kwasasa ukienda unatoa million 10 unahesabiwa miguu kadhaa kwa ajili ya kujenga
Umeona akili kubwa?
 
Uchagan hakuna pori wewe ngosha
Maeneo yote ni kijani Safi usidhani Kuna mapori ya kuchungia mbuzi kama kule kwenu msalala
Njoo rombo,marangu,machame,mamba,kilema,ujionee mijemgo ya kifahari Hadi ukimbie
Uchagan hakuna nyumba ya nyasi hâta Moja(elewa Neno hâta Moja)
Nenda uchagan ukikuta MTU yeyote analala nyumba ya nyasi kama kwenu usukumani nakupa 5m
Mimi nakaa Kilimanjaro.


Danganya wapumbavu unaowaomba omba bia au wanaokuchomea kitimoto huko Bar.


Hiyo kijani, ni wakati wa mvua tu


Kama Sasa hivi, mvua ilikata tangu mwezi wa tano, Kuna ukame, vumbi zito na mabonde. Hata majani ya kukatia mifugo hakuna, mifugo inalishwa majani makavu
 
Mimi nakaa Kilimanjaro.


Danganya wapumbavu unaowaomba omba bia au wanaokuchomea kitimoto huko Bar.


Hiyo kijani, ni wakati wa mvua tu


Kama Sasa hivi, mvua ilikata tangu mwezi wa tano, Kuna ukame, vumbi zito na mabonde. Hata majani ya kukatia mifugo hakuna, mifugo inalishwa majani makavu



Uko pande ipi ?

Thame?

Maana Kilimanjaro ni mkoa mkubwa, kukuta kipande cha hivyo una Yoel ezels si ajabu lakini ukweli ni kuwa kwa sehemu kubwa huwa ni kijani na neema.

Mafuso chungu nzima yanabeba ndizi na matunda ingekuwa na ukame kiasi kikubwa ndizi zisingezaliwa.
 
Mimi nakaa Kilimanjaro.


Danganya wapumbavu unaowaomba omba bia au wanaokuchomea kitimoto huko Bar.


Hiyo kijani, ni wakati wa mvua tu


Kama Sasa hivi, mvua ilikata tangu mwezi wa tano, Kuna ukame, vumbi zito na mabonde. Hata majani ya kukatia mifugo hakuna, mifugo inalishwa majani makavu
Nimekwambia zunguka uchagan kote ukikuta nyumba ya nyasi hâta Moja nakupa million 5 cash shida Iko wapi?
Kilimanjaro ndio mkoa WA pili kwa makazi bora Baada ya dar,ni mkoa WA 4 kwa idadi ya ghorofa Baada ya dar,Arusha,mwanza
Uchagan Hadi vijijin watu wanalala kwenye ghorofa
Hko kwenu usukumani Bado sana aisee imagine hâta vyoo kwenu ni shida Hadi serikali ikawaletea kampeni ya nyumba ni choo
Cheki location za vijiji uchagani mijengo kama masaki

IMG_20230627_182223_046.jpg
IMG_20230627_181002_663.jpg
IMG_20230620_124451_175.jpg
IMG_20230617_122706_378.jpg
 
Uko pande ipi ?

Thame?

Maana Kilimanjaro ni mkoa mkubwa, kukuta kipande cha hivyo una Yoel ezels si ajabu lakini ukweli ni kuwa kwa sehemu kubwa huwa ni kijani na neema.

Mafuso chungu nzima yanabeba ndizi na matunda ingekuwa na ukame kiasi kikubwa ndizi zisingezaliwa.
Huyu anabishia uzoefu
Nimemwambia atembelee uchagan yote akikuta nyumba ya nyasi walau Moja tu mm nitampa 5m
Apige picha aseme ni kijij gani,kitongoji gani,eneo gani ikithibitika natoa Hela hyo
Iam sure 100% hakuna nyumba ya nyasi hâta Moja uchagan (elewa maana ya hâta Moja)
 
Mimi si mchaga ila we jamaa una denial spirit. Dalili za denial "makataa" ni pamoja na

  • Hukubali kuzungumzia tatizo.
  • Unatafuta njia za kuithibitisha tabia yako hasi kuwa si hasi.
  • Unawalaumu watu wengine au nguvu ya nje kama kisababisho cha tatizo lako (wale walaumu mifumo,serikali,wazazi nk wapo kundi hili).
  • Unaendelea kudumu kwenye tabia yako isiyo chanya licha ya matokeo mabaya unayopata kutokana na tabia hiyo.
  • Unaahidi kutatua tatizo hilo baadaye lakini hiyo baadae hutatui.
  • Unajiepusha kufikiria kuhusu tatizo hilo.

Wachagga ni kabila lenye mafanikio makubwa hapa Tanzania, licha ya tabia hasi kutoka miongoni mwao. Makabila mengine hasa kwenye mafanikio ya kiuchumi ni Wakinga, Wabena nk. Ukilichukua suala hili positively linaweza kukumotivate kuwa bora zaidi. Nadra Saną kuona mchaga goigoi kwenye kuchapa kazi au kutafuta mafanikio ya kifedha. Wachagga ni mfano hai wa Mtanzania mchapakazi anavyopaswa kuwa. Hawajalala kwenye Fedha, Elimu, Usafi, Ustaarabu, Utunzaji wa Mazingira, na kutokuwa waoga. Wachagga ni kabila la mfano kabisa jinsi mtanzania halisi anavyopaswa kuwa. Tabia zao hasi ni wizi na ukabila; otherwise Hawa ni kabila la kupigiwa mfano kabisa.
Kwa kuwa hakuna ushahidi kuthibitisha kwamba wachaga ni wezi na wakabila, si sahihi kwa mtu yeyote kuwatuhumu hivyo.

Nadhani hii dhana ya wizi na ukabila kwa wachaga inatolewa na watu wanaonea wivu maendeleo yao.
 
Mimi nakaa Kilimanjaro.


Danganya wapumbavu unaowaomba omba bia au wanaokuchomea kitimoto huko Bar.


Hiyo kijani, ni wakati wa mvua tu


Kama Sasa hivi, mvua ilikata tangu mwezi wa tano, Kuna ukame, vumbi zito na mabonde. Hata majani ya kukatia mifugo hakuna, mifugo inalishwa majani makavu
Hayo majani makavu yametoka wap? Mpaka majani yanakua makavu means yalianza kuwa ya kijani

Acha kuandika non sense
 
Nimekwambia zunguka uchagan kote ukikuta nyumba ya nyasi hâta Moja nakupa million 5 cash shida Iko wapi?
Kilimanjaro ndio mkoa WA pili kwa makazi bora Baada ya dar,ni mkoa WA 4 kwa idadi ya ghorofa Baada ya dar,Arusha,mwanza
Uchagan Hadi vijijin watu wanalala kwenye ghorofa
Hko kwenu usukumani Bado sana aisee imagine hâta vyoo kwenu ni shida Hadi serikali ikawaletea kampeni ya nyumba ni choo
Cheki location za vijiji uchagani mijengo kama masaki

View attachment 2698331View attachment 2698332View attachment 2698333View attachment 2698334
Uchaggani hakuna nyumba za nyasi Kwasababu hata hizo nyasi za kuezea HAKUNA.

Ila Kuna nyumba kibao za TOPE na Mbao.

Hilo siyo swali, hata Handeni nimekaa, wanajenga nyimba za miti n kuezeka Bati Kwasababu hakuna nyasi
 
Hayo majani makavu yametoka wap? Mpaka majani yanakua makavu means yalianza kuwa ya kijani

Acha kuandika non sense
Wakati wa masika, mvua inanyesha majani yanaota.

Wachagga wakija mwisho wa mwaka wanapiga picha za kudanganya watu.

Wakati wa kiangazi Kuna maeneo huwezi hata kuanika nguo nke Kwasababu ya vumbi zito.
 
Back
Top Bottom