Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka hii 22M tayari nimekopa kazini 😀😀mkuu kama utakosa ni bora uwacheki wale 'sclt smart' uagize gari kwa mkopo....hiyo pesa ni nyingi sana yani umepeleza kama (8-10)m tu kupata SUV nzuri....sasa si bora ukope ulipe ndani ya miaka miwili
Sasa mkuu SUV ya nini kama hela yenyewe ya mkopo?...SUV itakupasua sana, chukua ndinga ya 1.3L au 1.5Lkaka hii 22M tayari nimekopa kazini 😀😀
Upo sahihi kabisaa pia aje mpaka Namanga MsasaniHongera mkuu kwa kutaka chuma SUV. Pita pita maeneo ya Moroco kama unarudi Victoria hapo utapata Yard zenye magari mazuri nna imani.
Uwe unazitaja mkuu. Huu uzi shule imo pia. Sorry lakini.sasa mkuu SUV ya nin kama hela yenyewe ya mkopo?...SUV itakupasua sana, chukua ndinga ya 1.3L au 1.5L
Wa Simanjiro pandeni punda 😁 jokesEmbu weka picha ya gari mzee cc tunaoishi simanjiro hata sijui ikoje plz sharw
Mkuu huyu mwajiriwa mwenzangu ili kulinda ndoa yake, asitoke nje ya toyota...IST, Vitz, Premio n.k zile ndogo ndogo ambazo spea zinaanzia afu tatu.Uwe una zitaja mkuu. Huu uzi shule imo pia. Sorry lakini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu vp NISSAN DUALIS ?mkuu huyu mwajiriwa mwenzangu ili kulinda ndoa yake, asitoke nje ya toyota...IST,Vitz, Premio n.k zile ndogo ndogo ambazo spea zinaanzia afu tatu
Mzee nimepata kazi mpya na moja ya benefit tulikubalina ni mkopo wa gari with zero interest, sasa wewe unataka nichezee hiyo chance?sasa mkuu SUV ya nin kama hela yenyewe ya mkopo?...SUV itakupasua sana, chukua ndinga ya 1.3L au 1.5L
dualis nahisi itafaa..naipata wapi sasa kaka, Yard ya ukweliiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu vp NISSAN DUALIS ?
Usirogwe kununua nissan dualis kwa hela ya mkopo utakuja kuita watu wachawi ni mbovu sana kwenye gear box ndio maana bei cheedualis nahisi itafaa..naipata wapi sasa kaka, Yard ya ukweliiiii
Anatakiwa akusikilize kwa umakini sana, kuna gari ukishakuwa ni mwajiriwa unatakiwa ukae nazo mbali,mkuu huyu mwajiriwa mwenzangu ili kulinda ndoa yake, asitoke nje ya toyota...IST,Vitz, Premio n.k zile ndogo ndogo ambazo spea zinaanzia afu tatu
Hata kwenye trip za hapahapa mjini mkuu?usirogwe kununua nissan dualis kwa hela ya mkopo utakuja kuita watu wachawi ni mbovu sana kwenye gear box ndo maana bei chee
dualis nahisi itafaa..naipata wapi sasa kaka, Yard ya ukweliiiii
Si gari nzuri haikufai, usiseme hukuambiwaHata kwenye trip za hapahapa mjini mkuu?
Acha uogausirogwe kununua nissan dualis kwa hela ya mkopo utakuja kuita watu wachawi ni mbovu sana kwenye gear box ndo maana bei chee
HelpfulDualis picha linaanza nyingi ni Cvt transmission!!
Them big boys know how notorious and expensive to repair these gearbox are! Sina shida na umimara wa dualis , shida inaanza nani atakufanyia servise ya uhakika bila ku abuse hiyo gearbox
Usije ukapata expenxive repair bill , just because someone has just refill incorrect oil..