Ni ipi yard ya kuaminika ya kuuza magari Dar?

Ni ipi yard ya kuaminika ya kuuza magari Dar?

Wale ndugu zake bagaza wanachezesha odometer.

Sio tu wanachezesha ila wanachezesha kwa kiwango cha juu sana. Kama una muda bora uagize mwenyewe au uende kwa wale wanaoagiza watacharge commission yao ila gari mtatafuta wote na utajua condition yake.

Angalizo tu. Hata hao wanaoagiza haiikisha wanakuonyesha source ya hiyo gari na mileage ya huko, mbambamba zipo hata kwao
 
Hongera mkuu kwa kutaka chuma SUV. Pita pita maeneo ya Moroco kama unarudi Victoria hapo utapata Yard zenye magari mazuri nna imani.

Pale JAN INTERNATIONAL naona wanajitahidi, hata mileage za magari inaonekana wanaweka UHALISIA kwa kuwa kuna magari wanayatangaza unakuta yana 150,000 km hii inaonesha ni jinsi gani wanajitahidi.
 
Sio tu wanachezesha ila wanachezesha kwa kiwango cha juu sana. Kama una muda bora uagize mwenyewe au uende kwa wale wanaoagiza watacharge commission yao ila gari mtatafuta wote na utajua condition yake.

Angalizo tu. Hata hao wanaoagiza haiikisha wanakuonyesha source ya hiyo gari na mileage ya huko, mbambamba zipo hata kwao
Nilifika pale mlimani nikakuta Harrier tako la nyani nyeusi ya mwaka 2005 nikaipenda, wakaniwashia chuma kucheki odometer nikaona inasoma imetembea kilometa 25000. Yani gari ina miaka 17 halafu iwe imetembea km 25k, kweli? Daaah halafu bei imechangamka kweli kweli wanataka mil35!

Madalali wawili wamevaa kaunda suti wanaongea saaana mda wote wanaipamba tu gari, mara engine haijaguswa, sijui haijarudiwa rangi, kule japan owner alikua ni mdada, alikua anaifuga tu nyumbani akiwa na mishe mishe hua anapanda matreni yao ya umeme! Duh nikaona hawa jamaa wanataka kuniingiza mkenge nikabwaga sikuinunua...

Wakaniambia siwezi pata gari makini kama ile popote pale duniani [emoji23]
 
Nilifika pale mlimani nikakuta Harrier tako la nyani nyeusi ya mwaka 2005 nikaipenda, wakaniwashia chuma kucheki odometer nikaona inasoma imetembea kilometa 25000. Yani gari ina miaka 17 halafu iwe imetembea km 25k, kweli? Daaah halafu bei imechangamka kweli kweli wanataka mil35!

Madalali wawili wamevaa kaunda suti wanaongea saaana mda wote wanaipamba tu gari, mara engine haijaguswa, sijui haijarudiwa rangi, kule japan owner alikua ni mdada, alikua anaifuga tu nyumbani akiwa na mishe mishe hua anapanda matreni yao ya umeme! Duh nikaona hawa jamaa wanataka kuniingiza mkenge nikabwaga sikuinunua...

Wakaniambia siwezi pata gari makini kama ile popote pale duniani [emoji23]
[emoji1787][emoji1787]
 
Nilifika pale mlimani nikakuta Harrier tako la nyani nyeusi ya mwaka 2005 nikaipenda, wakaniwashia chuma kucheki odometer nikaona inasoma imetembea kilometa 25000. Yani gari ina miaka 17 halafu iwe imetembea km 25k, kweli? Daaah halafu bei imechangamka kweli kweli wanataka mil35!

Madalali wawili wamevaa kaunda suti wanaongea saaana mda wote wanaipamba tu gari, mara engine haijaguswa, sijui haijarudiwa rangi, kule japan owner alikua ni mdada, alikua anaifuga tu nyumbani akiwa na mishe mishe hua anapanda matreni yao ya umeme! Duh nikaona hawa jamaa wanataka kuniingiza mkenge nikabwaga sikuinunua...

Wakaniambia siwezi pata gari makini kama ile popote pale duniani [emoji23]
Madalali sio watu wazuri kabisa
 
Wakuu habari ya mchana?

Nimechoka kutembea kwa miguu, nataka nikavute gari yadi leo.

Ni yadi gani ya kuaminika hapa Dar achana na zile yadi kwa kutuuzia magari ambayo wameyatoa Zanzibar.
Una milioni 22 kwa nini uende yard badala ya kuagiza gari mwenyewe toka Japan? Tradecarview, Beforward na kampuni nyingine za Japan wana ofisi zao hapa Dar kama unaogopa kuagiza moja kwa moja mtandaoni. Nenda kawaone.
 
Back
Top Bottom