Ni ipi yard ya kuaminika ya kuuza magari Dar?

Ni ipi yard ya kuaminika ya kuuza magari Dar?

Una milioni 22 kwa nini uende yard badala ya kuagiza gari mwenyewe toka Japan? Tradecarview, Beforward na kampuni nyingine za Japan wana ofisi zao hapa Dar kama unaogopa kuagiza moja kwa moja mtandaoni. Nenda kawaone.
Hivi ukiagiza kutoka japan hawawezi kufanya michezo michafu ikifika hapa nyumbani,mana si rahisi kufatilia mwenendo wa gari hasa kwa mtu alie busy
 
Hivi ukiagiza kutoka japan hawawezi kufanya michezo michafu ikifika hapa nyumbani,mana si rahisi kufatilia mwenendo wa gari hasa kwa mtu alie busy

Hakuna na hata vitendo vya wizi vimepungua sana kama agent wako ni mwaminifu na mweledi. Meli ikiingia utapata gari ndani ya siku 3 tu. Muhimu muwe mshafanya taratibu nyingine mapema
 
Nilifika pale mlimani nikakuta Harrier tako la nyani nyeusi ya mwaka 2005 nikaipenda, wakaniwashia chuma kucheki odometer nikaona inasoma imetembea kilometa 25000. Yani gari ina miaka 17 halafu iwe imetembea km 25k, kweli? Daaah halafu bei imechangamka kweli kweli wanataka mil35!

Madalali wawili wamevaa kaunda suti wanaongea saaana mda wote wanaipamba tu gari, mara engine haijaguswa, sijui haijarudiwa rangi, kule japan owner alikua ni mdada, alikua anaifuga tu nyumbani akiwa na mishe mishe hua anapanda matreni yao ya umeme! Duh nikaona hawa jamaa wanataka kuniingiza mkenge nikabwaga sikuinunua...

Wakaniambia siwezi pata gari makini kama ile popote pale duniani [emoji23]
Nimeshaapa sitonunua kitu chochote kama dalali atakuwepo kwenye issue hiyo. Hawa ni watu wa ajabu sana
 
Nilifika pale mlimani nikakuta Harrier tako la nyani nyeusi ya mwaka 2005 nikaipenda, wakaniwashia chuma kucheki odometer nikaona inasoma imetembea kilometa 25000. Yani gari ina miaka 17 halafu iwe imetembea km 25k, kweli? Daaah halafu bei imechangamka kweli kweli wanataka mil35!

Madalali wawili wamevaa kaunda suti wanaongea saaana mda wote wanaipamba tu gari, mara engine haijaguswa, sijui haijarudiwa rangi, kule japan owner alikua ni mdada, alikua anaifuga tu nyumbani akiwa na mishe mishe hua anapanda matreni yao ya umeme! Duh nikaona hawa jamaa wanataka kuniingiza mkenge nikabwaga sikuinunua...

Wakaniambia siwezi pata gari makini kama ile popote pale duniani [emoji23]
Wao walilitoa kwenye sayari gani?
 
Nilifika pale mlimani nikakuta Harrier tako la nyani nyeusi ya mwaka 2005 nikaipenda, wakaniwashia chuma kucheki odometer nikaona inasoma imetembea kilometa 25000. Yani gari ina miaka 17 halafu iwe imetembea km 25k, kweli? Daaah halafu bei imechangamka kweli kweli wanataka mil35!

Madalali wawili wamevaa kaunda suti wanaongea saaana mda wote wanaipamba tu gari, mara engine haijaguswa, sijui haijarudiwa rangi, kule japan owner alikua ni mdada, alikua anaifuga tu nyumbani akiwa na mishe mishe hua anapanda matreni yao ya umeme! Duh nikaona hawa jamaa wanataka kuniingiza mkenge nikabwaga sikuinunua...

Wakaniambia siwezi pata gari makini kama ile popote pale duniani [emoji23]
Wahuni sana wale jamaa wa mlimani nawajua
 
Kwa yard sina uhakika ila kwa mnaomjua Chris Lukosi mwamba namkubali sana. My next step kama ntahitaji dungu jeshi aisee Lukosi atahusika. Thou sijawahi kuagiza gari kwake bado ila nilishawahi kununua sana vifaa vingine kama Ac etc kwenye minada yake. Sijajua kama anauza hiyo SUV unayotaka ila mcheki.
Kajibebee magari yenye kutu!
 
Back
Top Bottom