Ni ipi yard ya kuaminika ya kuuza magari Dar?

Ni ipi yard ya kuaminika ya kuuza magari Dar?

Dualis picha linaanza nyingi ni Cvt transmission!!
Them big boys know how notorious and expensive to repair these gearbox are! Sina shida na umimara wa dualis , shida inaanza nani atakufanyia servise ya uhakika bila ku abuse hiyo gearbox
Usije ukapata expenxive repair bill , just because someone has just refill incorrect oil..
Mkuu naomba nichambulie honda crossroad vs. toyota rumion
 
Jeep imekuja kujaje tena??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiyo Jan hawanaga mambo hayo...
Sure jah wa ukweli sana, hada bei wana wigo mpana wa kushushana.. Na unasajiliwa kama kama previous user (0) maana wale ni company, ila hawa wavilingine unasajiliwa kama previous user (1) maana inabidi alisajili kwa jina lake kwanza ndio afanye transfer kwako.. Maana TRA wamepiga pina waliona watu hawauzi gari kama company wakashtuka
 
Back
Top Bottom