Hivi ukiagiza kutoka japan hawawezi kufanya michezo michafu ikifika hapa nyumbani,mana si rahisi kufatilia mwenendo wa gari hasa kwa mtu alie busyUna milioni 22 kwa nini uende yard badala ya kuagiza gari mwenyewe toka Japan? Tradecarview, Beforward na kampuni nyingine za Japan wana ofisi zao hapa Dar kama unaogopa kuagiza moja kwa moja mtandaoni. Nenda kawaone.
Hivi ukiagiza kutoka japan hawawezi kufanya michezo michafu ikifika hapa nyumbani,mana si rahisi kufatilia mwenendo wa gari hasa kwa mtu alie busy
Hapana hata sisi tusio na magari tunapata shuleUzi wa wenye magari tu
Sio Forester?Hiyo SUV itakuwa toyota rush
Ukipewa namba yoyote hapa jamvini una hatari ya kupigwaASANTE MKUU una namba ya mhusika yoyote pale?
+255769556984ASANTE MKUU una namba ya mhusika yoyote pale?
Ukipewa namba yoyote hapa jamvini una hatari ya kupigwa
Mkuu kama utakosa ni bora uwacheki wale 'sclt smart' uagize gari kwa mkopo....hiyo pesa ni nyingi sana yani umepeleza kama (8-10)m tu kupata SUV nzuri....sasa si bora ukope ulipe ndani ya miaka miwili
Nimeshaapa sitonunua kitu chochote kama dalali atakuwepo kwenye issue hiyo. Hawa ni watu wa ajabu sanaNilifika pale mlimani nikakuta Harrier tako la nyani nyeusi ya mwaka 2005 nikaipenda, wakaniwashia chuma kucheki odometer nikaona inasoma imetembea kilometa 25000. Yani gari ina miaka 17 halafu iwe imetembea km 25k, kweli? Daaah halafu bei imechangamka kweli kweli wanataka mil35!
Madalali wawili wamevaa kaunda suti wanaongea saaana mda wote wanaipamba tu gari, mara engine haijaguswa, sijui haijarudiwa rangi, kule japan owner alikua ni mdada, alikua anaifuga tu nyumbani akiwa na mishe mishe hua anapanda matreni yao ya umeme! Duh nikaona hawa jamaa wanataka kuniingiza mkenge nikabwaga sikuinunua...
Wakaniambia siwezi pata gari makini kama ile popote pale duniani [emoji23]
Wao walilitoa kwenye sayari gani?Nilifika pale mlimani nikakuta Harrier tako la nyani nyeusi ya mwaka 2005 nikaipenda, wakaniwashia chuma kucheki odometer nikaona inasoma imetembea kilometa 25000. Yani gari ina miaka 17 halafu iwe imetembea km 25k, kweli? Daaah halafu bei imechangamka kweli kweli wanataka mil35!
Madalali wawili wamevaa kaunda suti wanaongea saaana mda wote wanaipamba tu gari, mara engine haijaguswa, sijui haijarudiwa rangi, kule japan owner alikua ni mdada, alikua anaifuga tu nyumbani akiwa na mishe mishe hua anapanda matreni yao ya umeme! Duh nikaona hawa jamaa wanataka kuniingiza mkenge nikabwaga sikuinunua...
Wakaniambia siwezi pata gari makini kama ile popote pale duniani [emoji23]
Dotto Magari yardWakuu habari ya mchana?
Nimechoka kutembea kwa miguu, nataka nikavute gari yadi leo.
Ni yadi gani ya kuaminika hapa Dar achana na zile yadi kwa kutuuzia magari ambayo wameyatoa Zanzibar.
Wahuni sana wale jamaa wa mlimani nawajuaNilifika pale mlimani nikakuta Harrier tako la nyani nyeusi ya mwaka 2005 nikaipenda, wakaniwashia chuma kucheki odometer nikaona inasoma imetembea kilometa 25000. Yani gari ina miaka 17 halafu iwe imetembea km 25k, kweli? Daaah halafu bei imechangamka kweli kweli wanataka mil35!
Madalali wawili wamevaa kaunda suti wanaongea saaana mda wote wanaipamba tu gari, mara engine haijaguswa, sijui haijarudiwa rangi, kule japan owner alikua ni mdada, alikua anaifuga tu nyumbani akiwa na mishe mishe hua anapanda matreni yao ya umeme! Duh nikaona hawa jamaa wanataka kuniingiza mkenge nikabwaga sikuinunua...
Wakaniambia siwezi pata gari makini kama ile popote pale duniani [emoji23]
Wengi wao 🌈Wahuni sana wale jamaa wa mlimani nawajua
Kajibebee magari yenye kutu!Kwa yard sina uhakika ila kwa mnaomjua Chris Lukosi mwamba namkubali sana. My next step kama ntahitaji dungu jeshi aisee Lukosi atahusika. Thou sijawahi kuagiza gari kwake bado ila nilishawahi kununua sana vifaa vingine kama Ac etc kwenye minada yake. Sijajua kama anauza hiyo SUV unayotaka ila mcheki.