Ni Jambo gani la ujasiri sana uliwahi kufanya mpaka leo ukikumbuka unafurahia na kujiona mwamba...

Ni Jambo gani la ujasiri sana uliwahi kufanya mpaka leo ukikumbuka unafurahia na kujiona mwamba...

niligegeda wadada wa3 wa tumbo 1, nilianza wa kati, nikaja wa kwanza na nikamalizia wa mwisho, nikajiona kidume
 
Siku nilijipatia ka bekitatu ka jirani wanoko walishtukia Wakaja kuweka mkeka karibu na mlangoni kwangu ili wamshuhudie akitoka
Basi nikapenyesha waya mbili L na N nilipigisha shot walikimbia nikatoa mtoto mpaka kesho najisifu sana
 
tumbo lilibana kupita maelezo nikiwa katika pita pita nikawa sina jinsi, jirani kambi ya wajeda na mimi nikazamia hadi choo chao nikafanya mambo na kutokomea bila kugundulika.

usiniulize nilitumia mbinu gani maana kila mtu ana siri zake hadi kufa. 😎
 
Niliweza kumuacha mwanamme niliyempenda kwa dhati maana hakujali hisia zangu. Kila nikitaka kumuacha roho inaniuma maana nimemzoea sana, ila nikapata ujasiri wa ajabu nikamuacha aendelee na maisha yake hadi leo huwa haamini kabisa anabaki kunitumia visms vyake eti ooh kama na mimi nimebadilika basi hakuna mwanamke mtulivu chini ya jua. Majibu yangu ni mepesi tu nilimpenda kwa moyo wote lakini hakuthamini upendo wangu kwake hivyo asinizeeshe kwa mawazo. Hivyo mie ni jasiri balaa, naelewa nini nataka sipelekwi hovyo hovyo.
Ebu weka sura yako hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Niliweza kumuacha mwanamme niliyempenda kwa dhati maana hakujali hisia zangu. Kila nikitaka kumuacha roho inaniuma maana nimemzoea sana, ila nikapata ujasiri wa ajabu nikamuacha aendelee na maisha yake hadi leo huwa haamini kabisa anabaki kunitumia visms vyake eti ooh kama na mimi nimebadilika basi hakuna mwanamke mtulivu chini ya jua. Majibu yangu ni mepesi tu nilimpenda kwa moyo wote lakini hakuthamini upendo wangu kwake hivyo asinizeeshe kwa mawazo. Hivyo mie ni jasiri balaa, naelewa nini nataka sipelekwi hovyo hovyo.
Gud njoo unipende mm sasa
 
Wee jamaa sijui umewaza nini aisee! ……………………………………………………
Nakumbuka kipindi niko mwaka wa Pili, nikisoma Stashahada ya Uhandisi Umeme, chuo kimoja hapa D'salaam tulikuwa tunakaa na Wanafunzi wa Shahada wale wa mwaka wa Kwanza kwenye Block Moja, wao wanakaa Flow ya Chini(Ground ) na Stashahada wanakaa Flow 2 za juu.Basi bwana mimi sikuwa Kiongozi yaani Block Manager wala Wing Leader; nikaenda kumwambia Waden wa Block tulilokuwa tunaishi kwamba "kuna baadhi ya Vitanda vya Wanafunzi vina kunguni Vikiwemo Vitanda 3 vya Room kwetu, ila watu hawataki kupigiwa dawa kwa sababu wanafanya Test II hivyo wanaogopa wataugua". Yule Waden akategea wanafunzi wa wote wameenda kwenye Vyumba vya Mitihani, akaamuru Block lote(Linaa Flow tatu) lipulizwe Dawa ya Mende,Kunguni, Mbu,Jongoo pamoja na Chawa bila hata kutoa Magogodoro nje au kusogeza pembeni!. Bahati mbaya au nzuri Godoro langu halikulowana kwa sababu ya ile dawa iliyokuwa imepigwa!


Baada ya Muda wanafunzi wakatoka kwenye Vyumba vya Mtihani Loooh! ilikuwa balaa kwangu yaani kila mtu ananifuata wanataka kunipa kisago! yaani palikuwa hapatoshi Vurugu za ugomvi, majigambo, vitisho pamoja na Matusi dah! ilikuwa balaa aisee! huku wengine wakisema "leo nachukua godoro lako nalalia" sasa nikifikiria magodoro ya watu yalivyolowana nabaki nimechanganyikiwa sina la kufanya!!!

Ila nashukuru Mungu hawakunipiga wala kunifanya chochote ila nilijutia sana kile kitendo yaani dah! nikumbuka huwa nabaki kucheka tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Siku nlifanya mapenzi kwenye basi,ilikuwa jioni natoka mbeya kwenda sumbawanga akaja akaaa binti mmoja ktk maongezi akatongozeka nkavuta kondom kwenye kabegi tulipotoka Tunduma hapa ktkt ilikuwa ni kulana tu mpaka swanga basi huwa lilizimwa taa na watu walilala sisi tulikuwa tukaa siti za nyuma kabisa ambapo mbele siti kama nne kulikuwa hakuna mtu,Yule binti nahisi alikuwa jini
 
Mimi mpaka kesho najiona jasiri mno maana nikikumbuka niliyopitia Nina kila sababu zakujiona jasiri

Iko hivi mwaka 2013 nikiwa mwanafunzi wa mwaka wa mwisho udom nilidisco, hakuna kipindi kigumu ambacho nimewahi pitia kwenye maish yangu kama hiki kiukwel mpaka kesho huwa sijuagi kwanini lile jambo lilitokea

Sina historia ya kufail maisha yangu yote nimekuwa na performance nzuri sana tangu primary school mpaka chuo ila nikiwa first year nilipata sup somo moja, nilicarry ilo somo mana sikupenda nipate kalai hapo ndipo balaa lilipoanza sitokaa nisahahu mana tangu nicarry lile somo matokeo yakitoka kwangu empty fatilia jamaa hawakuwa serious kabisa na maisha yetu wanapiga danadana na Mimi nikaona ah kwasababu huyu ndo mwalimu wa somo na ni HOD atarekebisha mana ndo zilikuwa story zake hizo mwaka wa pili ukakatika fresh matokeo yangu yanapendeza,mwaka wa tatu pia ukakatika matokeo fresh ikumbukwe iyo ndo ilikuwa sup pekee ambayo niliwahi ipata na GPA yangu ilikuwa kubwa mno japo nilikuwa Nina kimeo,

Nikiwa home nasubiri confirm graduation naangalia matokeo bado ikabidi nirudi kwa jamaa namwambia anasema aah mbona fresh nenda nakuwekea matokea ndugu zangu naomba kusema nilichokutana nacho mungu ndo anajua mpaka Leo ninaishi ni kwa neema na upendo wake mana ilifika mahali nilitamani nijiue kabisa sikuwa waza kama itakuja tokea siku nikapata pigo kubwa kama lile nilikata tamaa kabisa nikiangalia rafiki zangu, wazazi wangu nilikuwa nawaza kuanza maisha sasa badala yake nikawaza ntaanzaje upya tumaini likapotea nikadhoofika mwili vidonda vya tumbo,pressure nikawa naumwa kila nikienda Pima naonekana sina tatizo nyumbani hapakukalika kabisa

Mungu ni mwaminifu mama yangu alinitia moyo sana hakuniacha kabisa yeye ndio MTU pekee ambaye aliniami na mpaka kesho ananiamini,simlaumu baba yangu kwa hasira alizokuwa nazo juu yangu kwa sababu naelewa maumivu aliyoyapata gharama alizopoteza Leo nakuja muaibisha kiashi kile hali ilikuwa mbaya wadau, mama yangu alikuwa na Mimi bega kwa bega akaniambia mwanangu wewe ni mshindi inuka usonge mbele nilipata nguvu za ajabu mwaka ule ule nikaapply chuo hatimae Leo nimegraduate nimetimiza ndoto zangu sasa Nina pambana na maisha mtaani kwa nguvu zaidi ya ile niliyoinuka NAyO wakati nimedondoka huu ni ushindi mkubwa kila MTU akikutana na Mimi ananiuliza nimewezaje kwanza wanashangaa lakini nimejifunza ukidondoka unachotakiwa kukifanya ni kuinuka na kusonga mbele usipofanya hivo watakumaliza kabisa kabisa.

Mwisho niseme tu mungu awabariki sana wazazi wangu kwa michango yao bila wao Mimi nisingelifikia Leo ndoto zangu muishi maisha marefu ili mje kula mataunda ya jasho langu.

Dah mpaka inatia hamasa.


Hii ni kimbia ukianguka inuka vumilia kimbia
 
Back
Top Bottom