Ni Jambo gani la ujasiri sana uliwahi kufanya mpaka leo ukikumbuka unafurahia na kujiona mwamba...

Ni Jambo gani la ujasiri sana uliwahi kufanya mpaka leo ukikumbuka unafurahia na kujiona mwamba...

Umenikumbusha hata mm niliwahi kumbusu madam wa field mbele ya darasa nilikuwa namtamani, tulibishana na washkaji wakasema nikimbusu napewa buku tano nkamaliza kazi alinishitaki na kesi iliisha ila tulikuja kuwa wapenzi tulipokutana chuo maana kpnd hicho nilikuwa form six
Bila shaka ulikuwa mwanafunzi wa shule ya kata.....
 
KUWAPATANISHA MJOMBA NA MKEWE NA MAMA MDOGO....HAPO WATU WATATU WANAHUSIKA....KI FUPI MJOMBA KABLA HAJAOA ALICHEPUKA NA KUMPA MIMBA DADA MWINGINE...MJOMBA KUUA SOO AKAMTOROSHA MCHEPUKO KWA DADA YAKE(MAMA MDOGO WANGU)...WAKATI MIMBA YA MCHEPUKO INALELEWA NA DADA MTU NDIO KIPINDI WANATAKA KUOANA(WALIHARAKISHA SABABU YA KUPATA UHAMISHO WA KIKAZI).SHEREHE YA NDOA IKAFANYIKA KWA MAMA MDOGO NA MKEWE MJOMBA ALIPOMUONA HUYO DADA MCHEPUKO KUULIZA MAMA MDOGO AKAMWAMBIA NI MFANYA KAZI WANGU (HAWAKUWA WAKIJUANA).KATIKA HARUSI NDIO MCHEPUKA WIVU UKAMBANA NA KUANZA MANENO MANENO HADI BIBI HATUSI AKAJUA MANA BAADA YA HARUSI ALIROPOKA HII NI MIMBA YAKO......ILIKUWA BONGE LA SOO NA AIBU MTAANI....MCHEPUKO AKAENDA KWA NDUGU YAKE MKOA MWINGINE.MJOMBA NA MKEWE NDOA IKAWA SHUBIRI..MJOMBA HAKUAMBATANA NA MKEWE KWENDA KTK MAKAZ YAKO AKABAKI KWA DADA YAKE(MAMA MDOGO).MKE WA MJOMBA AKAWA HAONGEI NA WIFI YAKE DADA WA MUMEWE KWA KUMUONA ADUI WA MAHUSIANO/NDOA YAKE.MJOMBA KAWA MDOGO MKE KAWAKANA MASHAHID WOTE WA NDOA NA HATAKI MTU KUKAA NA KUYAONGEA...HATA BABA YAKE ALIMKATALIA YAN KUWEKEWA KIKAO CHA SULUHU....MIMI STORY ZOTE NAZIPATA NIKO CHUO MWAKA WA KWANZA SO MPAKA NAENDA LIKIZO FEBRUAL NA NDOA WALIFUNGA BOXING DAY NDIO BADO UGOMVI MNONO.....MAMA MDOGO ANASEMA HANA MAKOSA MANA ALIKUWA ANAMSAIDIA MDOGO WAKE...BIBI HARUSI HAZIIVI NA WIFI YAKE NA FAMILIA YETU KIUJUMLA....NIMEFIKA LIKIZO BASI NIKAJIKUTA MTU WA HEKIMA NA KIELIMU NA USTAARABU WANGU BASI NIKAFANYA KILA NILICHOWEZA...MBINU ZOTE IKIWA NI PAMOJA NA KUCHEZA NA SAIKOLOJIA NA COUNCELING....KI UKWELI AMANI IMEREJEA NA UNCLE HESHIMA DEBE....HATA XMAS WALIKUWA PAMOJA WOTE WALIENDA KWA DADA MTU KUJUMUIKA.ILA NIKWA REHMA ZA MUNGU ASIKWAMBIE MTU KUHUSU KUSULUISHA HASA MAHUSIANO.MPAKA LEO NAJIHISI NAWEZA KUWA MWANA DIPLOMASIA
Hongera Sana
 
Nilijizuia kulia kwenye msiba wa mama yangu hii yote ilikuwa ni njia ya kuonesha walimwengu kuwa sikuumia kwani tangu anaanza kuugua mengi yalisemwa hasa mambo ya ushirikina kuhusu ugonjwa wake ila niliwachekea wote pale msibani ila kila nikikumbuka huwa natokwa na machozi sana.

"Usitake wanadamu wajue ulivyoumia hata kama watakufanyia mabaya wewe cheka nao"
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mi nakumbuka miaka ya 1992/93 pale
hospitali ya meta mkoani mbeya kulikuwa
na pori almaarufu forest.
na kulikuwa na kituo cha mabasi yanayoelekea
mwanjerwa yakitokea mbalizi.

Siku moja tukiwa kwenye basi na mdogo wangu
Binti mmoja aliporwa kitenge alichodai aliagizwa
na mzazi wake akanunue.Wale waporaji wakikimbilia mstuni.
Na pale barabarani walikuwa wanakaa wahuni
ambao walijifanya wasamaria wema kumsaidia
yule dada kuwafukuza waporaji wakatokomea mstuni wakijidai kumsaidia.

Abiria kwenye gari walijitahidi kumuita yule
dada asiwafuate wale wahuni kwani wangemdhuru
yule dada hakutaka kumsikiliza mtu
aliendelea kulia na kuwafuata wale vijana
waliojifanya wanamsaidia.

Mimi roho yangu iliuma sana,nikamwambia mdogo
wangu tushuke ili walau tumsihi yule dada arudi asije akadhurika.
Tulishuka tukaacha lile basi likiendelea na safari.
Pia kuna baba mmoja na kijana mmoja
walishuka kuungana nasi kumnusuru yule dada.
Yule baba tulimuacha kwani tulikuwa tunakimbia mbio.

Tulifanikiwa kumkuta yule dada akiwa peke yake,
lakini akizidi kupiga mbio kuwafuata wale vijana.
tulimsihi arudi ila hakutaka kutusikiliza
akidai mama yake atamuua.Tulizidi kujisikia vibaya
ikabidi tuungane naye kuwasaka.

Kwa bahati tuliwaona kwa mbali msituni bondeni
wameishakuwa kitu kimoja,ila yule mporaji
tulikariri rangi ya nguo yake.
Tuligawanyika ili kuwazunguka,mimi nikapitia
upande wa mbele walikokuwa wanaelekea
na mdogo wangu na yule kijana mwingine waliwaendea kwa nyuma.

Nilifanikiwa kuwawahi kule mbele na nikatunga stori
ya kuwachelewesha ili wenzangu wafike.
Niliwaambia nimepotelewa na ng'ombe wangu
nikawaauliza kama wameishawaona.
Nikiwa nawaelezea stori hiyo,yule dada akajitokeza
kwenye zile barabara za forest kwa mbali wakamuona
wakaamua kutimua mbio,ila wakawawameishaogopa
wakaacha ndala zao ili kujiokoa.

Nilijitahidi kumkamata mmojawapo
akawa ananitishia kunichoma kisu,lakini
akaniponyoka na akanizidi mbio.Kwa bahati
wale wenzangu wakamtia mbaroni yule
mwenye kitenge wakati anajaribu kunikimbia mimi
akapitia kule walikokuwa wanatokea,wakafanikiwa
kumnyanganya kile kitenge.

Wale vibaka walipanic wakidhani lile
pori lilikuwa limejaa watu wanaowatafuta
kumbe tulikuwa watatu na yule binti tu.
Tulifanikiwa kumrudishia yule binti
kitenge chake,na ndala za wale vibaka kama ushahidi
wa yaliyotokea.Kwa kweli tulifurahi
ila nikikumbukaga hii stori huwa najiuliza huo ujasiri
sijui ulitoka wapi ukizingatia hilo eneo miaka hiyo
majambazi yalikuwa yanaua watu.

Nawapongeza wote tulioshirikiana,na hasa
yule kijana mwingine na yule baba
kama nao wapo humu jf nawapa big up sana
kupitia uzi huu.
[emoji106] [emoji106] [emoji106] mungu awabariki
 
nakumbuka siku moja nimekunywa magrants yangu yakutosha,kichwani kila mtu namuona kama mwanangu wa mwisho.

tumetoka zetu tarime msibani pembeni kuna jembe langu linapiga mashine balaa tuko na prado.
kufika maeneo ya bunda tukapigwa tochi na wazee wenye mamlaka ya mwendo kasi.

ile tuu kutusimamisha mimi nikashuka nikaenda zangu vichakani kulimwaga siunajua tena mtu ukiwa tungi inavyokuwaga ... narudi nakutana na yule mshikaji wangu ambaye ni dereva wana bembelezana na trafik .
mimi nikaingia nika kaa kwenye siti yangu siti za nyuma kuna washikaji wawili wamevaa miwani black mimi niko pembeni ya dereva .

nikaingia nikijifanya ndio bosi wao namuuliza dereva " kijana kwa kunanini hapa?" yule dereva naye akajiongeza "bosi mwendokasi"

nikamchimba mkwara "afande unatujua sisi ni wakina nani?...wewe upo kazini na sisi tupo kazini naomba utuache tusije tukaharibiana kazi" dah afande kusikia vile na ukizingatia ilikuwa ni kipindi cha JK (pumzika msoga baba tunakukumbuka kweli kweli) maana ingekuwa ni kipindi cha mjomba magu nadhani bado tungekuwa ata butimba .

afande kusikia vile alituomba msamaha kwa kutupotezea muda basi kwenye gari kila mtu "grants oyeee."
Weka picha mkuu nilivyokusoma nikatamani nakukuona
 
To sacrifice my own relative blood because of been rich. I say rich forever..........
 
Kiukwel Sijui kama ni ujasiri nilianza kummega mama mtu baadae wanae mapacha wakajileta nikawagegeda wakapata mimba wote nikahama mkoa...kiukwel najiona kidume mpka Leo.
We kweli hamnazo
 
Back
Top Bottom