Ni Jambo gani la ujasiri sana uliwahi kufanya mpaka leo ukikumbuka unafurahia na kujiona mwamba...

Ni Jambo gani la ujasiri sana uliwahi kufanya mpaka leo ukikumbuka unafurahia na kujiona mwamba...

kipindi nipo form 6 mimi na wenzangu kama 4 tulikuwa tunafanya project ili tumpelekee mwalimu sasa katika project yetu ilikuwa lazima ufanye tafiti na ukusanye data kisha uandike ripoti umpelekee mwalimu.

sasa bwana tukiwa njiani tunaenda kuwahoji wakulima fulani hivi kuna kichaka fulani hivi tukamkuta mwanafunzi wa kike akiwa amepakatwa na mwanaume kwa kukisia yule mwanaume alikuwa ana miaka 24+,tulivyowapita moyo ulituuma sana huku tukijadili saa tano yote hii asubuhi huyu demu yupo kichochoroni na uniform yani kwao wanajua yupo shule lakini yupo na mwanaume huku wamejificha sasa tulivyomaliza kuwahoji wale wakulima na kuchukua data zetu na kuanza kurudi tukawakuta bado wamekaa wanapiga story ase tukawafungia safari mpaka walipo sasa mtangulizi wetu aliyekuwa mbele alipigiwa simu hivyo akatoa simu akawa anazungumza sasa yule kijana akaogopa na akasimama kama kujitetea huku akitetemeka siye tupo nyuma tena kikauzu hatuongei sasa yule chali yetu aliyopo mbele alivyomaliza kuongeza na simu akamstua mwenzetu mmoja ongea na hao..

yule demu tulimuuliza yupo kidato cha ngapi akatuambia form 1,na huyu mkaka ni nani yako akatujibu mchumba wangu ,mbona saizi saa 5 asubuhi muda ambao ulipaswa kuwa shuleni kusoma lakini upo hapa ,akawa anajingatangata kidole

tukamuambia kuwa na akili kijana umevaa uniform halafu unakaa kichochoroni na mwanaume asubuhi tena hivi hujifikiri wapita njia'' wanawaonaje na mzee wako anajua saizi mwanaye yupo shuleni lakini upo kichochoroni kwelihaki hiyo.

tukamwambia sisi kila moja ana demu hapa lakini hatufanyi ujinga ambao wewe unafanya halafu ukizingatia upo form 1 ,tulipiga sana lecture yule jamaa alituomba msamaha na tulimsema kweli hivi huoni aibu kabisa upo na mwanafunzi mdogo kichochoroni tena kavaa uniform asubuhi tena muda wa masomo.

ase kwa kitendo kile najiona/tunajiona shujaa ,maana moyo ulituuma sana japo tuliwapisha mwanzo lakini tukasema haiwezekani ase yani huyu demu baba yake anajua yupo school halafu yupo kichochoroni kapakatwa haiwezekani.. hapo hapo walisepa na kila mmoja alikwenda njia yake sijui kama walipita denge kukutana sehemu nyingine au la

yule demu sijui matokeo yake ya form 4 atakuwa amepata ngapi ase alikuwa mdogo sana
Ulivyoanza nilidhani mutamtisha jamaa kwakumwambia nyinyi ni askari au ndugu wa yule dem, au labda wanafunzi wenzake mmetumwa mumkamate
 
Kiukwel Sijui kama ni ujasiri nilianza kummega mama mtu baadae wanae mapacha wakajileta nikawagegeda wakapata mimba wote nikahama mkoa...kiukwel najiona kidume mpka Leo.
 
Kutangaza naskia njaa maana kuna mtu akaniambia natakiwa kusema "tumboni kwangu kuna uhaba wa chakula"

Team&$Uchochezi
 
Nilimfanya kitoweo mbwa wangu na kula masela mbwa-choma baada ya yule mbwa kunona sana halafu hata akipita mtu usiku habweki hadi naibiwa baiskeli za wanangu zilizolala nje siku moja kabla ya kumla (mbwa)
 
Niliwahi kumtorosha bibi harusi siku ya harusi aisee kaka zake walimtafuta balaa ila baada ya kuona maji yamefika shingoni nilimtelekeza nikatokemea kusikojulikana hapo ikiwa saa 7 mchana na saa 9 anapaswa kuondoka kwenda kwake kwa wale mliokulia vijijini nadhani mnafahamu sherehe za bush.Daa ilikuwa nooma sana na tukio lile liliisha kwa siri kubwa na bibi harusi alienda kwake kama kawaida na maisha yakaendelea
 
mimi nakumbuka nikiwa mdogo umri miaka 16 nilikutana na matapeli wanataka nitapeli ada kwa madawa yao Yale nikasanuka nikapiga kelele watu walijaa sitasahau kila siku najipongeza
 
Mimi ni shujaa wa muda wote, kila kitu nakifanya kwa ushujaa
 
Niliweza kumuacha mwanamme niliyempenda kwa dhati maana hakujali hisia zangu. Kila nikitaka kumuacha roho inaniuma maana nimemzoea sana, ila nikapata ujasiri wa ajabu nikamuacha aendelee na maisha yake hadi leo huwa haamini kabisa anabaki kunitumia visms vyake eti ooh kama na mimi nimebadilika basi hakuna mwanamke mtulivu chini ya jua. Majibu yangu ni mepesi tu nilimpenda kwa moyo wote lakini hakuthamini upendo wangu kwake hivyo asinizeeshe kwa mawazo. Hivyo mie ni jasiri balaa, naelewa nini nataka sipelekwi hovyo hovyo.
Sio vizuriiiiiiii
 
Mimi najiona shujaa kwa kuweza kuanzisha uzi wa kumuambia joanah kua nampenda
 
Niliweka maisha yangu rehani nikajiingiza ktk moto ilihali nilijua yawezakua nikaungua ktk tukio hilo kufa au kupona ndio nilichagua, ktk kuhakikisha namsaidia rafkiangu kipenzi ili nirejeshe furaha yake nashukuru nilitoka salama japo hatukufanikiwa kila nikikumbuka hua najishangaa mwenyewe.
 
Back
Top Bottom