Phd ya kutunukiwa kamwe haiwezi kuwa sawa na ya darasani japo linapokuja suala la mtu anayetunukiwa anaweza kuwa kafanya mambo yenye heshima kuliko mwenye phd ya darasani au kainunua tu au kapewa kisiasa.Yaani kila anaekua maarufu apewe honorary phd?
Ndio maana wasomi nchi hii wanakata tamaa, uzalendo wanaweka pembeni.
Japokuwa ilibaki level moja nipate phd , naelewa msoto wake. Ni kuwatukana wasomi wanaoingia darasani
Elimu inachezewa sana tz, too much politics
Wizara haiwezi fanya maamuzi kwa kuogopa uzushi, lete uthibitisho hapo serikali watakuwa na makosaKama kweli wamezingua mtu ameenda kucheck Muvi Kwa Didy Leo anakuwa kioo Cha Jamii. Mashoga na Walawiti watakuwa wamejaa uko wizarani au hawana Habari na mambo ya ulimwengu wa Leo.
Hiyo mwingine juzi tu hapa anatunza mashoga kwenye party .
Sina shida na huyo Mh. Waziri
Bora hata wangeweka Mrisho Mpoto. Lady JD
“Kuinunua tu au kapewa kisiasa” hiki ndicho ninachopingaPhd ya kutunukiwa kamwe haiwezi kuwa sawa na ya darasani japo linapokuja suala la mtu anayetunukiwa anaweza kuwa kafanya mambo yenye heshima kuliko mwenye phd ya darasani au kainunua tu au kapewa kisiasa.
Na nimekuelewa boss.“Kuinunua tu au kapewa kisiasa” hiki ndicho ninachopinga
Elimu gani sasa apo unaona umeitoaView attachment 3191199
Hatimaye wizara ya elimu imeona umuhimu wa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz. Diamond na wasanii wengine wachache wa mfano kwa sasa wanasomwa na wanafunzi wetu darasani. Kwenye somo jipya la civic and moral diamond ametumika sana kama mfano mzuri wa watoto kujifunza.
Bado PhD kutoka university of dar es salaam na sanamu lake.
Daaaaa 😅😅😅Elimu imeshachezewa sana poor future Tanzania
Kwa bongo hakuna kinachoshindikana hata sa100 ni dokta, kama vile musukuma tuWewe ni mtaalam wa elimu au unajua chochote juu ya utengenezaji mitaala?
Fatilia US ndege unaanza kuendesha ukiwa na umri ganiNchi gani hiyo mtoto wa miaka 15 anapaisha ndege?
Kwa ufahamu wangu duniani kote chombo cha moto anaruhusiwa mtu mwenye umri kuanzia 18 yrs.
Sentensi mbili zinafundisha nini sasa? Watanzabia hatuko serious asee!View attachment 3191199
Hatimaye wizara ya elimu imeona umuhimu wa kuingizwa kwenye mitaala ya elimu wasanii wakubwa kama Diamond Platnumz. Diamond na wasanii wengine wachache wa mfano kwa sasa wanasomwa na wanafunzi wetu darasani. Kwenye somo jipya la civic and moral diamond ametumika sana kama mfano mzuri wa watoto kujifunza.
Bado PhD kutoka university of dar es salaam na sanamu lake.