Ni jina gani la kwako ukiitwa unajua kabisa huyu mwamba nilikutana nae wapi?

Ni jina gani la kwako ukiitwa unajua kabisa huyu mwamba nilikutana nae wapi?

Nimeipenda hii post Nilionyesha post hii kwa familia yangu na wao pia wamependa post hii. tumenunua projekta na tukaonyesha post hii kwa mtaa mzima na pia wameipenda post hii. Maisha yetu yamebadilika kwa sababu ya post hii. Tunashukuru kwa post hii,asante sana kwa post hili..
 
Natumai mko poa Wakuu,

Watu tumetembea sehemu nyingi, tumesoma sehemu za shule na vyuo tofauti, kutokana na tabia, upenzi wa vitu, kazi zetu, maeneo tunayotokea na a lot of stuffs, huwa inatokea automatically tunapewa majina na washkaji au jamii yetu.

Kwa mfano;
  • Mtu akiniita Mvunaji -Tulikutana mzumbe,
  • Akiniita Nyeli -Tulikutana swax,
  • Akiniita Mnyamwezi -Tulikutana Zenji,
  • Akiniita Nukudya-Gusa - Tulikutana Kasulu,
  • Akiniita MoroGent - Tumekutana JF

Wewe ukiitwa jina gani na mtu yeyete kwa namba mpya au mmekutana town ghafla unajua huyu lazima nimesoma nae wap au kazi nae wapi au tumeshaga kutana wap?

Kazi kwenu wakuu.
Nikiitwa Kigogo huyo nimesoma nae Primary nilikuwa dictionary

Nikiitwa Cobra ujue A level mkali wa Economics

Nikiitwa The Only One ujue memory ya ukali wa class nikiwa chuo Mukono Christian University.

Bwax ni nickname ya kupenda Pilsener Larger mitaa ya Jinja na Mukono lively flashbacks

🙏🙏🙏 Remembering all my lovely legends
 
Wanangu wote tupo jeiefu,nikisema tu watajua,ni wawili tunafahamiana hadi ID zetu hapa 😀😀
Jina lako silikumbuki ila najua asili yake naweza vuta picha, na features nakumbuka in fact nikikutana na wewe nitakujua tena.
mkwepu jr naamini niliwahi muona navuka Kigamboni miaka kadhaa nyuma.

JF nikikutana na watu wake huwa nachukulia kawaida sababu wa mtaani ndio haohao wako humu.
 
Mtu akiniita mkali, tall, bigii ujue tumekutana site&car wash

Nikiitwa mzee wa arsenal na utopolo- kibanda umiza

Nikiitwa hassan dalali - wapambanaji mjini

Nikiitwa maalim sheikh - hawa n wale wanaojua mimi n mzanzibar

Nikiitwa mtumishi wa Mungu- tunaoshiriki kwenye mambo ya kiimani zaidi

Professa - naowapa nondo za kimaisha wakaelewa

Home boiii-wanyumbani

Tajirii/ bosi- hawa wanafki wa faida
Ko me ninavyokuita tajiri ni mnafki wa faida sio jirani yako tena? 🤣🤣🤣🤣
 
Natumai mko poa Wakuu,

Watu tumetembea sehemu nyingi, tumesoma sehemu za shule na vyuo tofauti, kutokana na tabia, upenzi wa vitu, kazi zetu, maeneo tunayotokea na a lot of stuffs, huwa inatokea automatically tunapewa majina na washkaji au jamii yetu.

Kwa mfano;
  • Mtu akiniita Mvunaji -Tulikutana mzumbe,
  • Akiniita Nyeli -Tulikutana swax,
  • Akiniita Mnyamwezi -Tulikutana Zenji,
  • Akiniita Nukudya-Gusa - Tulikutana Kasulu,
  • Akiniita MoroGent - Tumekutana JF

Wewe ukiitwa jina gani na mtu yeyete kwa namba mpya au mmekutana town ghafla unajua huyu lazima nimesoma nae wap au kazi nae wapi au tumeshaga kutana wap?

Kazi kwenu wakuu.
Dakitari - sekondari
Pope - chuo kikuu
Tlaatlaah - JF
Zakawi - Baghdad Iraq
 
Nikiitwa Mtaleban najua hawa nimekutana nao chuo
Nikiitwa mwamedi hawa ni ndugu zangu( wajomba au shangazi)
Niikitwa kaka mudi najua hawa ni madogo zangu
Niikitwa binlade mtu mbadi hawa wana wa mtaani kwangu hasa bajaji na bodaboda
Niikitwa Shekhe hawa watu wa masjid
Nikiitwa kaka midevu hawa ni majirani zangu na nilipopanga hasa wamama na wadada
 
Back
Top Bottom