makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Na kuna mnaoniita jirani ππKo me ninavyokuita tajiri ni mnafki wa faida sio jirani yako tena? π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£ kwendraaaaaaNa kuna mnaoniita jirani ππ
Wanafiki wa faida
ππ jiraniiiπ€£π€£π€£ kwendraaaaaa
Njoo tulewe π€£π€£π€£ππ jiraniii
Mimi hapana kunywa balimi(in maasai voice) πNjoo tulewe π€£π€£π€£
Nimekuwekea balimi zako 5 hapa
Basi chingili π€£π€£π€£Mimi hapana kunywa balimi(in maasai voice) π
Hapana me nalewaga na pespi dea fomoBasi chingili π€£π€£π€£
ππππEti nakudya gusa acheni uongo sema ndumvalimwe mzeee utajuaNatumai mko poa Wakuu,
Watu tumetembea sehemu nyingi, tumesoma sehemu za shule na vyuo tofauti, kutokana na tabia, upenzi wa vitu, kazi zetu, maeneo tunayotokea na a lot of stuffs, huwa inatokea automatically tunapewa majina na washkaji au jamii yetu.
Kwa mfano;
- Mtu akiniita Mvunaji -Tulikutana mzumbe,
- Akiniita Nyeli -Tulikutana swax,
- Akiniita Mnyamwezi -Tulikutana Zenji,
- Akiniita Nukudya-Gusa - Tulikutana Kasulu,
- Akiniita MoroGent - Tumekutana JF
Wewe ukiitwa jina gani na mtu yeyete kwa namba mpya au mmekutana town ghafla unajua huyu lazima nimesoma nae wap au kazi nae wapi au tumeshaga kutana wap?
Kazi kwenu wakuu.
TunaMtu akiniita tuna, huwa nashtuka sana[emoji3][emoji3]
Pepsi inasababisha kupepesuka??Hapana me nalewaga na pespi dea fomo
Mbavu_gym boyNatumai mko poa Wakuu,
Watu tumetembea sehemu nyingi, tumesoma sehemu za shule na vyuo tofauti, kutokana na tabia, upenzi wa vitu, kazi zetu, maeneo tunayotokea na a lot of stuffs, huwa inatokea automatically tunapewa majina na washkaji au jamii yetu.
Kwa mfano;
- Mtu akiniita Mvunaji -Tulikutana mzumbe,
- Akiniita Nyeli -Tulikutana swax,
- Akiniita Mnyamwezi -Tulikutana Zenji,
- Akiniita Nukudya-Gusa - Tulikutana Kasulu,
- Akiniita MoroGent - Tumekutana JF
Wewe ukiitwa jina gani na mtu yeyete kwa namba mpya au mmekutana town ghafla unajua huyu lazima nimesoma nae wap au kazi nae wapi au tumeshaga kutana wap?
Kazi kwenu wakuu.
Jirani huyo sio mimi πPepsi inasababisha kupepesuka??
Mbona nakuonaga unapiga kelele πππ
Ni wewe unamsumbua dj aweke beer tamu asipige nyimbo nyingine yoyote πππJirani huyo sio mimi π
we kama sio mo kantaNikiitwa Mtaleban najua hawa nimekutana nao chuo
Nikiitwa mwamedi hawa ni ndugu zangu( wajomba au shangazi)
Niikitwa kaka mudi najua hawa ni madogo zangu
Niikitwa binlade mtu mbadi hawa wana wa mtaani kwangu hasa bajaji na bodaboda
Niikitwa Shekhe hawa watu wa masjid
Nikiitwa kaka midevu hawa ni majirani zangu na nilipopanga hasa wamama na wadada
π sasa kama ni tamu kweli nyimbo zingine zannNi wewe unamsumbua dj aweke beer tamu asipige nyimbo nyingine yoyote πππ