Ni jina gani la kwako ukiitwa unajua kabisa huyu mwamba nilikutana nae wapi?

Kuna jina mtu akiniita tu najua huyu fulani..
Nina majina mengi mnooo, ila kubwa ndio makaveli.
Kuna mtu akisema PROFESSIONAL najua huyu ni fulani ama fulani.
Kuna mtu akiniita MAKALEVI, mwingine MAKAvery, makavilla. MAKA
Tycoon, Tyson.
DIEGO SIMEONE
FUNDI.
MIKITO
uncle miki
Thierry henry kichogo.
Leader
Rider
SHEIKH.
alwatan
Albabu.
Arrrrrrrraaaaaahhh.
Cantomila
Show me.
Pantoni(primary)
Jina langu la ukoo..
Kuna aina ya utajaji wa jina langu, anavutia fulani.
Kuna mtu anafupisha jina langu na anaongezea boy.

Kuna wengine miaka kibao mnapotezana, uKisikia umeitwa hivyo tu, unajua huyu fulani.. hata kama nitaitwa hivyo nikiwa mjini BOSTON najua huyu ni fulani tu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Eti nakudya gusa acheni uongo sema ndumvalimwe mzeee utajua
 
Mbavu_gym boy
 
we kama sio mo kanta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…