Bado hujachangamsha [emoji23]
Na utachangamsha.
Kwahiyo hata novena ni unamtisha shetani
Umejuaje? 😎Shetani ashawahi kutishwa?? Kiumbe kinachoongea na Mungu live ukitishe?
Una utani wewe!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Umejuaje? [emoji41]
Sawa usiku mwemaKesho nitakwambia
[emoji120][emoji120][emoji120] Hii imeendaNimeipenda hii post Nilionyesha post hii kwa familia yangu na wao pia wamependa post hii. tumenunua projekta na tukaonyesha post hii kwa mtaa mzima na pia wameipenda post hii. Maisha yetu yamebadilika kwa sababu ya post hii. Tunashukuru kwa post hii,asante sana kwa post hili..
😁😁😁😁😁dogo mtoto wa juzi nsha kupata,umefundishwa na ticha hansi,ngara
umechezea mpanda junior
Nimeamka jirani vipi? Uko poa?Sawa usiku mwema
Niko poa sijui wewe jirani? MamboNimeamka jirani vipi? Uko poa?
Powa powa jirani, jana ulizima nini? 😂😂😂Niko poa sijui wewe jirani? Mambo
Data eh, kama n data nilizima 😂Powa powa jirani, jana ulizima nini? 😂😂😂
HahaaaaaKilaza, najua lazima tulisoma wote 😁
Ebu tutoleeni ujinga wenu. Nendeni PM. Page 3 nzima mnajaza nyie tu na huu upuuzi wenu? Oneni aibu haya hayatuhusu wengine.Data eh, kama n data nilizima 😂
Si unajua sim zetu hizi hazikai na chaji mda mrefu usipozima data
Tumekufahamu sisi wa Mpanda Mjini.Ukiniita NYANDA = uyu tulikuta pale msakila primary
Ukinita BISHOO// MIDO, UYU tulikutana pale rugwa,
Ukiniita Ginimbi, uyu wa pale hombolo dodoma
ukiniita jay najua uyu ni wa mzumbe 🤗🤗
Huu ni mtego..msije sema sikuwambiaNatumai mko poa Wakuu,
Watu tumetembea sehemu nyingi, tumesoma sehemu za shule na vyuo tofauti, kutokana na tabia, upenzi wa vitu, kazi zetu, maeneo tunayotokea na a lot of stuffs, huwa inatokea automatically tunapewa majina na washkaji au jamii yetu.
Kwa mfano;
- Mtu akiniita Mvunaji -Tulikutana mzumbe,
- Akiniita Nyeli -Tulikutana swax,
- Akiniita Mnyamwezi -Tulikutana Zenji,
- Akiniita Nukudya-Gusa - Tulikutana Kasulu,
- Akiniita MoroGent - Tumekutana JF
Wewe ukiitwa jina gani na mtu yeyete kwa namba mpya au mmekutana town ghafla unajua huyu lazima nimesoma nae wap au kazi nae wapi au tumeshaga kutana wap?
Kazi kwenu wakuu.
Lile la mtinda nyusi za macho a.k.a tako moja umelisahau siku hizi tulilokuwa tunakuita...... collage?joft-jina langu la o level😂
silipendi😂
We page zikijaa unakwama nini?Ebu tutoleeni ujinga wenu. Nendeni PM. Page 3 nzima mnajaza nyie tu na huu upuuzi wenu? Oneni aibu haya hayatuhusu wengine.
Nendeni PM acheni upumbavu wenu. Hayo hayatusaidii kitu. Acha uzwazwa wewe bwana mdogo.We page zikijaa unakwama nini?
joft-jina langu la o level[emoji23]
silipendi[emoji23]
au sio CHEUPE DAWA😂Ss hivi unaitwa MANYWELE [emoji2088][emoji2088][emoji2088]