Ni jina gani la kwako ukiitwa unajua kabisa huyu mwamba nilikutana nae wapi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetoa dislike mpk umechoka
Haya kunywa maji mengi upumzishe fuvu
Hapana, sitaki mazoea na wewe. Msiniingize kwenye haya mambo yenu. Niliwashauri kama mnaendelea endeleeni ila msiniingize. Mnanikwaza. Yaani mimi huyo lofa anitume kwako. Umenidharirisha na kunikwaza sana.
 
Anipige na dislike labda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili jamaa jinga lina mihemko kufatilia vitu visivyomuhusu afu halijifichi
Nimesema msinishirikishe. Endeleeni na mambo yenu. Sitaki usinilazimishe dada yangu. Tuheshimiane mkuu.
 
Hapana, sitaki mazoea na wewe. Msiniingize kwenye haya mambo yenu. Niliwashauri kama mnaendelea endeleeni ila msiniingize. Mnanikwaza. Yaani mimi huyo lofa anitume kwako. Umenidharirisha na kunikwaza sana.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we lofa Half american emu njoo huku, kumbe we lofa na husemi??
 
Naona umepewa assignment na mabwana zako wa Y-Ti-AUC ili uje utuchunguze, kisha uanze kufuatilia jina halisi wale wote wanaopinga DP- Dubai na Minara ya CM inayosema karibu Dubai wakati tupo ndani ya hifadhi ya ngorongoro, ili C-MU zao zishikiliwe kunako Poryc_Post, ili waanze kukamatwa wale wote, kwa kisingizio cha matumizi ya VPN.

Wewe acha uboya mimi wakati nasoma shule ya msingi Gongagonga nilikuwa naitwa Man-Filandu baadae nikahamia shule nyingine ya msingi Nanyumbu ilikuwa inaitwa Mkongo wa farasi Dume ila hiyo shule sasa hivi haipo.

Anza sasa kazi yako 😣😣😣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119] mkuu umetishaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…