Hawa nao ni magaidi kwa vigezo vipi?kikundi cha kigaidi kama hezbollah
Sababu ni kikundi cha waislamuHawa nao ni magaidi kwa vigezo vipi?
Aiseesababu ni kikundi cha waislamu
Yeye ametaja waliouawa ni wanne."Katika shambulio hilo askari wanne waliuawa waliokuwa katika meli hio Staff Sergeant Tal Amgar, Corporal Shai Atas, Sergeant Yaniv Hershkovitz, na First Sergeant Dov Steinshuss."
kwenye meli wanakaaje watu watatu?-critical thinking
Kataja walopanda ama walofariki MKUU ?"Katika shambulio hilo askari wanne waliuawa waliokuwa katika meli hio Staff Sergeant Tal Amgar, Corporal Shai Atas, Sergeant Yaniv Hershkovitz, na First Sergeant Dov Steinshuss."
kwenye meli wanakaaje watu watatu?-critical thinking
Ukweli unauma eeh[emoji23][emoji16][emoji14]Chuki yako kamwe haitashinda
Thubutuuuuuuuuuuuu! Irana na hivi vikundi kamwe kwa Israel hawawezi kufanya lolote zaidi ya kuangamizwa.Hakika middle east kuna vikundi vingi ambavyo ni vi tiifu kwa Iran mojawapo ni Hezbollah kwa ujumla askari hao kwa ujumla katika vikosi hivyo ni zaidi ya 500,000.Hakika vita ikitokea na Iran ikavipa vifaa na mafunzo waliyowapatia Hezbollah, basi Israel itamalizwa na proxies kabla ya Iran yenyewe, kwani active personel Israel ni kama 170,000.
Hakika Israel itakuwa Ghost City.
Swali dogo tu la kawaida TAIFA LA ISRAEL KWANINI LILIUNDWA 1947 KWA HISANI YA MATAIFA YA MAGHARIBI? Nini kilichokuwa kimewapata mashujaa hao wa kiebrania chungu ya miaka iliyokuwa imepita?Hiyo Google ni ya waarabu au ya mashariki?
Kama haina jeshi zuri mbona waarabu (waislamu) wameshindwa kuwaondoa waebrania kabisa na wasiwahi kurudi tena?
Palestina wanaramani yao inayoonyesha kuanzia mwaka 47 hadi sasa "eti" territory zao zilivyochukuliwa, nchi zote za kiislamu haziwataki waebrania na zinatamani sio tu waondoke waangamie kabisa.
Swali kama Hezbollah walishinda kwa hizo missiles mbona hawakutumia mbinu hizohizo waongeze na zingine wawamalize kabisa kama wanavyootaga?
WashatumbuliwaKuna siku nilifika maeneo ya South Lebanon kwenye eneo linalolindwa na Hezbollah,jamaa wanatisha.
Walikuwa na malengo yapi?
Kumbuka Hezbollah hakuingia mwenyewe walikuwepo
Amal, PFLP-G, LCP.
Israel haikushindwa unamjua Mkuu wa majeshi aliyetamka Israel imeshindwa nini kilimpata?