Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

China hawajafunga Internet wala hakuna nchi yenye uwezo huo! Nobody owns internet.
.
china wamezuia social medias baadhi tu kutoka America ku-operate kwenye miji yao mingi isipokuwa Shanghai na Guangzhou.
na wala sio kuhusu ushoga wala chochote issue ni BIASHARA.

Nenda China uone watu wanavyofanya ambazo wewe unaziita na kuziona kufuru kwa kiwango cha juu
Kwahio wewe unaona sawa ushoga na usagaji!
 
Walikuwa na malengo yapi?
Kumbuka Hezbollah hakuingia mwenyewe walikuwepo
Amal, PFLP-G, LCP.

Israel haikushindwa unamjua Mkuu wa majeshi aliyetamka Israel imeshindwa nini kilimpata?
Walikuwa wanataka watu wao waliochukuliwa mateka wapatikane nawakapatikana yah inawezekana walikuwepo nahao wengine ila malengo yalikua kuwaunga mkono HIZBULLAH kwan hata ISRAEL si anawashirika wake nanijambo lakawaida tu kisiasa kijeshi nakiuchumi.

Kilimkuta nini baada yakusema kama ISRAEL kashindwa nakwanini kilimkuta kilichomkuta?!
 
Kwahio wewe unaona sawa ushoga na usagaji!
Sio sawa, ila anayefanya na afanye, ni sawasawa na wewe aje mtu akukataze kuzini wakati ni jambo la kawaida kwako/kwangu/kwa wote.

Mnafatilia EPL hujui misimamo yake kuhusu LGBT? Zile ni privacy zao acha waharibuane, wasagane ni wao do your things.
 
Kuna Suspect ndio ambao wameshikiliwa, we have been discussing [emoji115]hao waliokua wameshikiliwa aliowataja mtoa uzi
Sina hiyo taarifa, navyojua hadi lep Israel inashikilia wapiganaji wengi tu wa Hezbollah
 
China hawajafunga Internet wala hakuna nchi yenye uwezo huo! Nobody owns internet.
.
china wamezuia social medias baadhi tu kutoka America ku-operate kwenye miji yao mingi isipokuwa Shanghai na Guangzhou.
na wala sio kuhusu ushoga wala chochote issue ni BIASHARA.

Nenda China uone watu wanavyofanya ambazo wewe unaziita na kuziona kufuru kwa kiwango cha juu
Nani kasema wamefunga internet? Nimesema baadhi ya huduma za internet na sio social media tu mpaka tovuti za habari nyingi za magharibi, inaitwa great firewall of China, kaangalie wikipedia uone walivyofunga website nyingi ikiwemo Google.
 
Mh!! Wale wale!

Kwahiyo mshindi wa 2nd Lebanon war alikuwa Hezbollah? Rudi usome vizuri maandiko. Israel aliweza kuingia ndani kabisa ya Lebanon hadi mji mkuu wa Beirut, lengo kuimaliza Hezbollah. Ni kweli alipata losses kubwa kuliko 1st Lebanon war lakini hakushindwa.

Ni vile tu siasa za ndani za Israel, kelele za jumuia ya kimataifa na madhara ya vita viliifanya Israel iondoke ndani ya Lebanon bila kukamilisha mission yake. Ndo maana haichukuliwi kama ilishinda wala kushindwa.

Nakushauri usome maandishi bila bias, Iran team. Kwanza huwa nashangaa, kila muda Iran, ana nini zaidi ya pesa ya mafuta tu? Na bado hiyo pesa haijamsaidia kupata advanced weapons, atawatisha kina Yemen na Syria, not Israel.

Soma vitabu na uandike facts sio ushabiki.
 
Mh!! Wale wale!

Kwahiyo mshindi wa 2nd Lebanon war alikuwa Hezbollah? Rudi usome vizuri maandiko
Israel aliweza kuingia ndani kabisa ya Lebanon hadi mji mkuu wa Beirut, lengo kuimaliza Hezbollah. Ni kweli alipata losses kubwa kuliko 1st Lebanon war lakini hakushindwa.

Ni vile tu siasa za ndani za Israel, kelele za jumuia ya kimataifa na madhara ya vita viliifanya Israel iondoke ndani ya Lebanon bila kukamilisha mission yake. Ndo maana haichukuliwi kama ilishinda wala kushindwa.

Nakushauri usome maandishi bila bias, Iran team. Kwanza huwa nashangaa, kila muda Iran, ana nini zaidi ya pesa ya mafuta tu? Na bado hiyo pesa haijamsaidia kupata advanced weapons, atawatisha kina Yemen na Syria, not Israel

Soma vitabu na uandike facts sio ushabiki
Kwa nini Israel ilikubali matakwa ya Hezbollah baada ya vita tofauti na mwanzoni?
Nini kiliwafanya wabadili mawazo?
 
Nani kasema wamefunga internet? Nimesema baadhi ya huduma za internet na sio social media tu mpaka tovuti za habari nyingi za magharibi, inaitwa great firewall of China, kaangalie wikipedia uone walivyofunga website nyingi ikiwemo Google.
Sasa mzee kama Google unaiita website unakataa hukusema wamefungia Internet wakati nilishaku-quote na huwezi futa dah!

Google sio website, Google ni search engine kama ilivyo Bing ya Microsoft ondoka nalo hili na ukajifunze zaidi.
 
Weka hoja acha kulalama. Kwanza unaweza kututhibishia hao Waebrania sasa hivi wapo ?
Abdool wapo ndio hao unaowaita Wayahudi. Waebrania ni wazungumzaji wa Kiebrania yani Hebrews!
 
Mh!! Wale wale!

Kwahiyo mshindi wa 2nd Lebanon war alikuwa Hezbollah? Rudi usome vizuri maandiko
Israel aliweza kuingia ndani kabisa ya Lebanon hadi mji mkuu wa Beirut, lengo kuimaliza Hezbollah. Ni kweli alipata losses kubwa kuliko 1st Lebanon war lakini hakushindwa.

Ni vile tu siasa za ndani za Israel, kelele za jumuia ya kimataifa na madhara ya vita viliifanya Israel iondoke ndani ya Lebanon bila kukamilisha mission yake. Ndo maana haichukuliwi kama ilishinda wala kushindwa.

Nakushauri usome maandishi bila bias, Iran team. Kwanza huwa nashangaa, kila muda Iran, ana nini zaidi ya pesa ya mafuta tu? Na bado hiyo pesa haijamsaidia kupata advanced weapons, atawatisha kina Yemen na Syria, not Israel

Soma vitabu na uandike facts sio ushabiki
Sir MaAbdool unategemea wawe na jema dhidi ya Israel?
 
Walikuwa wanataka watu wao waliochukuliwa mateka wapatikane nawakapatikana yah inawezekana walikuwepo nahao wengine ila malengo yalikua kuwaunga mkono HIZBULLAH kwan hata ISRAEL si anawashirika wake nanijambo lakawaida tu kisiasa kijeshi nakiuchumi.

Kilimkuta nini baada yakusema kama ISRAEL kashindwa nakwanini kilimkuta kilichomkuta ?!
Sir nipe link inayoeleza Israel kutimiza matakwa ya Hezbollah.
.
mkuu wa Majeshi wa Israel baada ya kutangaza vile tu akatimuliwa kazi mara moja na alidharauliwa sana.
 
Ni vile tu siasa za ndani za Israel, kelele za jumuia ya kimataifa na madhara ya vita viliifanya Israel iondoke ndani ya Lebanon bila kukamilisha mission yake. Ndo maana haichukuliwi kama ilishinda wala kushindwa.
Basi nibadili swali.

Kwa ninj zilitokea kelele za kisiasa ndani ya Israel na umoja wa mataifa kuingilia kati?
 
Kuna Suspect ndio ambao wameshikiliwa, we have been discussing [emoji115]hao waliokua wameshikiliwa aliowataja mtoa uzi
Kumbe Waebrania walirudi nyuma baada ya kichapo cha Hezbollah kwa kutumia missiles za mashia wenzao Iran?
 
Japan na Ujerumani walishindwa kwenye vita zao na impact yake inaonekana.
.
Japan alikuwa mjeuri sana dhidi ya America hivi sasa hawezi hata kumkoholea, Germany pia alivyoshindwa vita akapoteza u-super power wake.
.
Issue ya Israel ni tofauti haihusishi uchumi wala chochote zaidi ya CHUKI za waislamu dhidi ya Israel.
Iran kama ndiye alitoa hayo makombora na yakafanya hayo maajabu mbona hajatimiza adhima yake hadi leo mbona kaiacha inapeta?
na kama kweli walipigwa na kakikundi mbona waislamu waarabu wamekalia midomo tu ooooh tunaonewa ooooh wanatulipua oooh twende UN oooh muamala wa karne kwanini wasitumie hizohizo njia wawafumue waondoke?
Sio suala la dini,,israel na lebanon ni suala la mpaka na ubabe wa israel,,vile israel ilivyo ndogo,mtu akipiga filimbi wanasikia nchi nzima,,sasa lebanoni ni ndogo zaidi,inaingia mara mbili kwa israel,,ugomvi wao,israel alivamia lebanon kusini na kuikalia,
Nusu ya wakazi wa lebanon ni wakristo na hivyo kuna wapiganaji wa hezbulah wakikikristo pia,
Rais wa lebanoni ni mkirsto na pia mkuu wa majeshi,
Serikali ya lebanon inaundwa kwa sehemu kubwa na chama cha kikristo na wakishirikiana na hezbulah,
Sunni wao ni kama kambi ya upinzani huko lebanon
 
Basi nibadili swali.
Kwa ninj zilitokea kelele za kisiasa ndani ya Israel na umoja wa mataifa kuingilia kati?
Kinachoudhi huwa ni mtu kuuliza swali ambalo anayajua majibu yake.
.
Waebrania wengi walikataa toka awali isipiganwe vita na Hezbollah na hata familia ambazo ndugu zao waliuawa vitani walifanya maandamano makubwa tu.
.
pia ufisadi wa Olmert .
 
Sio suala la dini,,israel na lebanon ni suala la mpaka na ubabe wa israel,,vile israel ilivyo ndogo,mtu akipiga filimbi wanasikia nchi nzima,,sasa lebanoni ni ndogo zaidi,inaingia mara mbili kwa israel,,ugomvi wao,israel alivamia lebanon kusini na kuikalia.

Nusu ya wakazi wa lebanon ni wakristo na hivyo kuna wapiganaji wa hezbulah wa Kikristo pia,

Rais wa lebanoni ni mkirsto na pia mkuu wa majeshi

Serikali ya lebanon inaundwa kwa sehemu kubwa na chama cha kikristo na wakishirikiana na hezbulah,
Sunni wao ni kama kambi ya upinzani huko Lebanon
Sasa kumbe jibu unalo alafu unajaribu kulikataa?
sababu ni dini chuki ya waislamu dhidi ya Wayahudi na hii chuki roots zake ni Koran.
.
ndio maana hata vita za Israel huwa hazihusishi kwa sehemu kubwa Lebanon Army bali Israel against Hezbollah.
.
lebanon kumejaa waislamu, walebanon wakristo hawaishi Lebanon wanaishi mataifa mengine mfano Dk wangu pendwa kabisa Dr Paul Nassif.
 
Back
Top Bottom