Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)

Unazo takwimu za hii vita?? Jaribu kutuwekea walau kidogo kusapoti ushindi wa hezbollah, au andiko lolote linalosema hezbollah alishinda, hapo ntakubali bila shida.
Basena hivyo kwasababu hakuna kitu kama hicho, Israel "never and will never" submit to aterror group. Hezbollah alichakaa vibaya mno, kiasi cha kukubali kusaini makubaliano. Ntakuja na takwimu soon
Kwenye huu Uzi nimeweka video ya Netanyahu akizungunza naomba umsikilize halafu uje unambie alimaanisha nini
 
Mkuu Mimi ni developer na huwezi hata mara moja kunambia nikajifunze nipo mbali na ni mfuatiliaji mzuri sana wa tech,
Nime master.
Php
Node.js for back end
React.js
React native for mobile application(iOS & Android)
Express
WordPress
WooComerce
Laravel
Vanilla js
Jquery
Html5
Css3
XML
Vanilla.js
Am a full stack developer, wanaojua programming wanaelewa hizo language zina kazi gani.
Usifikiri una chat na mtu asie jielewa.
Naijua tech vibaya mno, huwezi hata kusimama na mimi ukisema nikuulize maswali.

Google ni website
Google ni kampuni pia
Google website kazi yake ni Ku search same to bing and yahoo au torch kwa tunaoingia dark-web.
Google ni multi a technology company but I was talking about google website.

Basi search most visited website mtandaoni kama hutoikuta google.
Acha ujuaji kaka, halafu nilisema huduma za INTERNET, sio walizuia Internet, unabishana na developer kuhusu Google, we una akili wewe?
Ha ha ha ndugu hatujaja kutaka elimu hapa tuna share ujuzi na tulivyosoma maana hunijui na wala sikujui, ila ww tafuta usome halafu utarudi kutupa mrejesho. Siyo kazi yangu kuanza kukupa references kwa sababu siyo academic paper naanda hapa. Tatizo watu wengi tuko too emotional linapokuja swala la Israel. Kuna mahala ulisema mm ni muislam though huku-point moja kwa moja. Mm ni mkristo pure, lakin sina bias kwenye vitendo vya kinyama na vya kibabe Israel inavyofanyia waarabu. Na napinga sana watu wanaokaa muda mwingi na kusema Israel inatetea haki yake kwa kushambulia wapalestina. Mm kwa uelewa wangu na imani yangu ,Mungu wa kweli hana upendeleo na eti kwa sababu wewe ni mu Israeli halafu unaua an innocent Palestinian eti Mungu atakufumbia macho. Be a man of good caliber of good analysis, and unbiased when it comes to say the truth. Israel is not strong as it being claimed by western media nairudia. Na Israeli leaders hawapendi real Israelis lakin wanatetea hegemonic and emperialist interests za Marekani in the middle east.
 
The 2006 Lebanon War, also called the 2006 Israel–Hezbollah War[47] and known in Lebanon as the July War[

The conflict is believed to have killed between 1,191 and 1,300 Lebanese people,[55][56][57][58] and 165 Israelis.[59] It severely damaged Lebanese civil infrastructure, and displaced approximately one million Lebanese[60] and 300,000–500,000 Israelis.[61][62][63]

On 11 August 2006, the United Nations Security Council unanimously approved United Nations Security Council Resolution 1701 (UNSCR 1701) in an effort to end the hostilities. The resolution, which was approved by both the Lebanese and Israeli governments the following days, called for disarmament of Hezbollah, for withdrawal of the IDF from Lebanon, and for the deployment of the Lebanese Armed Forces and an enlarged United Nations Interim Force in Lebanon (UNIFIL) in the south.


source: wikipedia
 
Naona uelewa wako ni mdogo mno kuhusu middle east
Hezbollah sio serikali, ni kikundi mfano wa chama flani kinachoungwa mkono na kundi kubwa la Washia.

Hezbollah ni sehemu ya prox-wars zinazoongozwa na Iran dhidi ya Israel. Yaan Iran anadhamini vikundi vingi kugombana na Israel, mojawapo ni Hezbollah kwa upande wa Lebanon. Ni sawa na Houthi huko Yemen, Islamic Jihad huko Gaza etc

Kiufupi Hezbollah ni "nothing" zaidi ya kuonekana kikundi cha kigaidi kinachojificha kwenye migongo ya raia ili kujikinga na mashambulizi ya Israel. Israel haikupigana na jeshi la serikali bali kundi la Hezbollah
[/
Tatizo naona tunajadili in a layman's way, maana kusema ni therosit group, Israel also imekua terrorist group to innocent civilians in the middle east and kwa sababu in enjoy support of superpowers, all the ways to fight them are legal. The dividing line between what is legal and illegal is very thin and this is determined by the position of the observer, his beliefs, and the time and other factors. So hizo groups zote ni njia za kujihami na kumdhibiti Israel kuacha kujifanya kama beberu wa kiangazi in the middle east. Nasikitika sana wakristo wenzangu wanaofumbia macho manyanyaso ya wapalestina anaofanywa na Israel. Wake up and stand for the truth. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa and this is sad. Kuwa na imani yako lakin isiwe tolerant kwa mambo mabaya
 
The 2006 Lebanon War, also called the 2006 Israel–Hezbollah War[47] and known in Lebanon as the July War[

The conflict is believed to have killed between 1,191 and 1,300 Lebanese people,[55][56][57][58] and 165 Israelis.[59] It severely damaged Lebanese civil infrastructure, and displaced approximately one million Lebanese[60] and 300,000–500,000 Israelis.[61][62][63]

On 11 August 2006, the United Nations Security Council unanimously approved United Nations Security Council Resolution 1701 (UNSCR 1701) in an effort to end the hostilities. The resolution, which was approved by both the Lebanese and Israeli governments the following days, called for disarmament of Hezbollah, for withdrawal of the IDF from Lebanon, and for the deployment of the Lebanese Armed Forces and an enlarged United Nations Interim Force in Lebanon (UNIFIL) in the south.


source: wikipedia
Ha ha ha hiyo Wikipedia hata ww sympathizer ukiwa bongo unaweza ku edit ukaandikwa whatever you want . we want an unbiased paper written by experts siyo hizo trashes
 
Ha ha ha hiyo Wikipedia hata ww sympathizer ukiwa bongo unaweza ku edit ukaandikwa whatever you want . we want an unbiased paper written by experts siyo hizo trashes

Tupe ya kwako inayosupport claims zako
 
Sema Israel ilifanya pupa kuingia vitani vinginevyo Hezibollah isingshinda vita hivyo!
Sasa mkuu unasemaje kwa sasa jinsi ambavyo Iran na vikosi vyake vya Hezibollah vinapokea kipigo cha IDF nchini Syria pamoja na kuwepo Russia huko?
 
Mh!! Wale wale!

Kwahiyo mshindi wa 2nd Lebanon war alikuwa Hezbollah? Rudi usome vizuri maandiko
Israel aliweza kuingia ndani kabisa ya Lebanon hadi mji mkuu wa Beirut, lengo kuimaliza Hezbollah. Ni kweli alipata losses kubwa kuliko 1st Lebanon war lakini hakushindwa.

Ni vile tu siasa za ndani za Israel, kelele za jumuia ya kimataifa na madhara ya vita viliifanya Israel iondoke ndani ya Lebanon bila kukamilisha mission yake. Ndo maana haichukuliwi kama ilishinda wala kushindwa.

Nakushauri usome maandishi bila bias, Iran team. Kwanza huwa nashangaa, kila muda Iran, ana nini zaidi ya pesa ya mafuta tu? Na bado hiyo pesa haijamsaidia kupata advanced weapons, atawatisha kina Yemen na Syria, not Israel

Soma vitabu na uandike facts sio ushabiki
Anamuuzia nani hayo mafuta !?

Kama aliingia kwalengo lakuimaliza halafu hakuimaliza kwahio tuseme alishinda vita ?!

ISRAEL mpeni hao hao HIZBULLAH ndio size yake IRAN sio level zake
 
Kumbuka kule Syria kuna Russia ambae anacontrol mission zote mpaka mambo yakae sawa, namaanisha kuwa Russia kwa sasa aliwambia Syria na Muungano wote kwa sasa wasijibu mapigo yaani wazuie mashambulizi ya Israel tu coz wanadil na makundi mengine (Clean Operation) , inamaana mashambulizi mengi yanayofanywa na wayahudi hazai matunda yani hayafikii lengo Syria wanayaintersept, coz wamepewa hio mifumo ya kuzuia, kwa sasa wako byzy nakujenga nchi yao coz maeneo karibia yote yako undercontrol ya Government, ukiangalia maeneo mengi wanayajenga upya, inaonyeshea baade Syria itakua ni Ngumu sana na itafikia level kama za Iran hapo baade kitu ambao marekani Israel anahofia ndio maana unaona anashambulia mara kwa mara lakini hafanikiwi, na mwisho Syria wakishairejesha n nchi yte mikononi mwao itajibu, yani Syria kuanzia mda huu imeshaanza kuwa sugu huko mbeleni itatisha
Sema Israel ilifanya pupa kuingia vitani vinginevyo Hezibollah isingshinda vita hivyo!
Sasa mkuu unasemaje kwa sasa jinsi ambavyo Iran na vikosi vyake vya Hezibollah vinapokea kipigo cha IDF nchini Syria pamoja na kuwepo Russia huko?
 
Sir nipe link inayoeleza Israel kutimiza matakwa ya Hezbollah.
.
mkuu wa Majeshi wa Israel baada ya kutangaza vile tu akatimuliwa kazi mara moja na alidharauliwa sana.
Matakwa gani ?!

Kwanini walimfukuza sasa ama kisa alisema ukweli ambao uliwauma ?!

Kama MKUU wao wamajeshi alisema kama wapigwa mpaka akafukuzwa wewe kama nani unapinga kama hawakupigwa ?!
 
Uko biased
Israel hakukubali chochote toka hezbollah
2nd Levanon war iliingia katikati kabisa ya mji wa Beirut, sehemu kubwa ilikua "urban warfare" na madhara yaligeuka kuwa makubwa mno. Japo pia sikatai Israel ilipoteza askari na uharubifu kiasi

Kutokaba na uharibifu mkubwa Beirut na miji mingine, kelele za jumuia ya kimataifa ongezea kelele ndani ya Israel zililazimu UN kutengeneza green line kutenganisha Israel na Lebanon kukiwa na askari wake kulinda hilo eneo

Lebanon iliathirika vibaya mno, na haijawahi kukaa sawa hadi leo, lakiji pia Israel haikufanikiwa lengo lake

Nina submitt
Kwahio kama usipofanikiwa lengo lako katika jambo fulani unakua umeshinda ama umeshindwa MKUU ?!?...
 
@Bwana Utam hawezi kuelewa yeye anajua Hezbolla walishinda
Israel aliweza kuingia ndani kabisa ya Lebanon hadi mji mkuu wa Beirut, lengo kuimaliza Hezbollah. Ni kweli alipata losses kubwa kuliko 1st Lebanon war lakini hakushindwa.



Root halafu useme alishinda hio vita ?! Kama lengo aliloliendea halikutimia ?nabado akala hasara zakushato
!?
 
Naona uelewa wako ni mdogo mno kuhusu middle east
Hezbollah sio serikali, ni kikundi mfano wa chama flani kinachoungwa mkono na kundi kubwa la Washia.

Hezbollah ni sehemu ya prox-wars zinazoongozwa na Iran dhidi ya Israel. Yaan Iran anadhamini vikundi vingi kugombana na Israel, mojawapo ni Hezbollah kwa upande wa Lebanon. Ni sawa na Houthi huko Yemen, Islamic Jihad huko Gaza etc

Kiufupi Hezbollah ni "nothing" zaidi ya kuonekana kikundi cha kigaidi kinachojificha kwenye migongo ya raia ili kujikinga na mashambulizi ya Israel. Israel haikupigana na jeshi la serikali bali kundi la Hezbollah
Kama anapigana namnalo liita kundi halaf anachemka ndio mnataka kumpiganisha na IRAN ?!
 
Lengo lilikia ni kuachiliwa kwa wafungwa ingawaje mpaka leo heshima ipo coz makombora 500 kwa day moja sio mas-hara, alafu kila day ilikua yanazidi kusogea miji ya mbali, pia kumbuka ilikua ni piga nikupige
Walinikera maana kimahesabu HIZBULLAH waliupiga mwingi ila kimiundombinu wamerejeshwa sana nyuma mpaka leo.....
 
Sema Israel ilifanya pupa kuingia vitani vinginevyo Hezibollah isingshinda vita hivyo!
Sasa mkuu unasemaje kwa sasa jinsi ambavyo Iran na vikosi vyake vya Hezibollah vinapokea kipigo cha IDF nchini Syria pamoja na kuwepo Russia huko?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unadhani wakiwa wanaingia vitani hua wanakurupuka wale MKUU ?!

walipiga hesabu zao wakaona tunatoboa ila kilichowakuta huko sasa hawatakaa wathubutu tena kuingia full war na HIZBULLAH mpaka kiama....m
 
Back
Top Bottom