Ni kama Bahati vile ila unaweza sema Mungu kampendelea Rais Samia

Ni kama Bahati vile ila unaweza sema Mungu kampendelea Rais Samia

Faida ya mradi inaaza kuonekana taingia mradi unapoanza kutekelezwa!

Wazungu wakianza kumwagika Bongo kwa ujenzi wa huu mradi Real Estate Market iliyokuwa imeshuka kwa Dar, Lindi na Mtwara itaanza kwenda vizuri!

Biashara za kisasa zinazoajiri ajira za uhakika utaanza kuziona tena!

Bank kuu yetu utaanza kuiona ikitunisha zaidi reserve yake ya fedha za kigeni maana dolali zitaingia zaidi nchini.

Kodi ya vifaa vya ujenzi wa mradi huu utatunisha zaidi makusanyo ya TRA.

So hili sio jambo dogo ndugu! Tukomae tu kuingia mikataba mizuri maana ukikamilika mkataba faida ndo zitakuwa nyingi zaidi!
Inaonekana u azungumza kwa ushabiki.
Alie kuambia vifaa vya ujenxi vya mwekezaji vinachajiwa kodi ni nani?
 
Amani iwe nanyi wadau,

Huko soko la dunia hapatoshi! Bei ya Mafuta na Gesi inazidi kupanda kwa Kiwango cha kutisha.

Haya yanatokea huku Ulaya na Marekani kukiwa na uhaba wa bidhaa hii adhimu kiasi kupelekea Makampuni ya Gesi na Mafuta kuamka mbio kutoka usingizini na kuanza kufufua zile fursa walizokuwa wamezitupa kando kwa miaka karibu 6 mpaka 7!

Ulaya walipokuwa wanategemea nishati mbadala sasa wameona hawawezi tena kwenda bila gesi! Baridi inayoongezeka Ulaya inafanya Gesi kuhitajika zaidi kuliko bidhaa zingine Kwa ajiri ya kupata nishati!

Ndo mana hivi Karibuni Makampuni Makubwa yameanza kujileta Tanzania! Wiki mbili zilizopita Makampuni ya Exon Mobil yalifanya kikao na Waziri Makamba.

Juzi hapa Mtendaji Mkuu wa Kampuni kubwa ya Gesi na Mafuta ya Shell ya Uholanzi kafanya kikao na Rais Samia.

Vikao hivi bila shaka ni vya makampuni haya kujaribu kupata nafasi ili yapewe nafasi ya kufanya biashara hii Tanzania. Kusema kweli huu ni upepo mzuri kwa Mama Samia maana haya yanatokea chini ya uongozi wake!

Rais Samia akikaa vizuri kwenye Mazungumzo na watu hawa na tukaingia mikataba mizuri nadiliki kusema Mradi huu wa LNG ndo utakuwa mradi wa kipekee na faida zaidi kwa Tanzania na Watanzania kuliko mradi wowote uliowai na utakaowai kuja kufanywa Tanzania.

Dunia inahitaji Kweli Gesi na wako kwenye panic state ya kupata fursa ya kuchimba na kuuza Gesi. Tanzania ikicheza vizuri hapa , hata Tozo za simu tutaachana nazo.

Wito wangu kwa Mama Samia! Hii ni kete adhimu, una bahati sana, itumie vizuri hii nafasi na hutasahaulika kwa Watanzania vizazi na vizazi!​

View attachment 1967292
Hiyo Gas ya Mtwara tunafaidika nayo nini kama Nchi?,inavunwa yote na mapato yote wanafaudi wawekezaji

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Amani iwe nanyi wadau,

Huko soko la dunia hapatoshi! Bei ya Mafuta na Gesi inazidi kupanda kwa Kiwango cha kutisha.

Haya yanatokea huku Ulaya na Marekani kukiwa na uhaba wa bidhaa hii adhimu kiasi kupelekea Makampuni ya Gesi na Mafuta kuamka mbio kutoka usingizini na kuanza kufufua zile fursa walizokuwa wamezitupa kando kwa miaka karibu 6 mpaka 7!

Ulaya walipokuwa wanategemea nishati mbadala sasa wameona hawawezi tena kwenda bila gesi! Baridi inayoongezeka Ulaya inafanya Gesi kuhitajika zaidi kuliko bidhaa zingine Kwa ajiri ya kupata nishati!

Ndo mana hivi Karibuni Makampuni Makubwa yameanza kujileta Tanzania! Wiki mbili zilizopita Makampuni ya Exon Mobil yalifanya kikao na Waziri Makamba.

Juzi hapa Mtendaji Mkuu wa Kampuni kubwa ya Gesi na Mafuta ya Shell ya Uholanzi kafanya kikao na Rais Samia.

Vikao hivi bila shaka ni vya makampuni haya kujaribu kupata nafasi ili yapewe nafasi ya kufanya biashara hii Tanzania. Kusema kweli huu ni upepo mzuri kwa Mama Samia maana haya yanatokea chini ya uongozi wake!

Rais Samia akikaa vizuri kwenye Mazungumzo na watu hawa na tukaingia mikataba mizuri nadiliki kusema Mradi huu wa LNG ndo utakuwa mradi wa kipekee na faida zaidi kwa Tanzania na Watanzania kuliko mradi wowote uliowai na utakaowai kuja kufanywa Tanzania.

Dunia inahitaji Kweli Gesi na wako kwenye panic state ya kupata fursa ya kuchimba na kuuza Gesi. Tanzania ikicheza vizuri hapa , hata Tozo za simu tutaachana nazo.

Wito wangu kwa Mama Samia! Hii ni kete adhimu, una bahati sana, itumie vizuri hii nafasi na hutasahaulika kwa Watanzania vizazi na vizazi!​

View attachment 1967292
Mbona niliwahi kusikia kuwa mikataba mibovu sana iliyoingiwa ya Natural Gas itatufanya tusifaidike nayo kwa miaka chungu mzima ijayo,yaani watakaokuja kufaidika ni ni vijukuu vyetu...?
 
Ana nyota njema kweli kikubwa aitumie vizuri vizazi na vizazi tuje Kim kumbuka. Hii ni fursa adhimu kweli kwake
Niliwahi sema humu na narudia ni nadra kwa sasa kupita siku 3 eti hujasikia habari njema za uwekezaji wapya au Mataifa na wakuu wa Taasisi za Dunia hawajafika Tzn kuchungulia fursa au kusaidia nchi.

Kikubwa tujifunze kuchangamkia fursa za kushilikiana nao tupige hela,sio kama wale wa madini ya dhahabu walipata washirika baada ya kuchukua pesa za wenzao wakaanza kujificha na kusingizia wanaumwa covid mara wamekufa.

Hii kaongea Biteko,kama kawaida ya WaTzn uhuni na kulalamika ndio tunaweza..

Hapa Waziri wa mambo ya Nje wa Jamhuri ya Schec yuko Bongo na wafanyabiashara 👇

Screenshot_20211008-084525.png


Screenshot_20211008-084634.png


Screenshot_20211008-083850.png
 
Mikataba ndo kila kitu

Tuandae mikataba yetu na namna tunavyotaka biashara hii iendeshwe huku tukishiriki kwenye sehemu zote nyeti!

Hapo ndo tutahakikisha nchi yetu inanufaika Kweli!

Kwenye hili tunaweza kuwa nchi ya mfano Africa na hata duniani kwa kuingia mikataba Bora inayonufaisha watanzania na Taifa kwa ujumla
Usisahau10% lazima ipo, wanaofunga mikataba itawanufaisha

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi sema humu na narudia ni nadra kwa sasa kupita siku 3 eti hujasikia habari njema za uwekezaji wapya au Mataifa na wakuu wa Taasisi za Dunia hawajafika Tzn kuchungulia fursa au kusaidia nchi.

Kikubwa tujifunze kuchangamkia fursa za kushilikiana nao tupige hela,sio kama wale wa madini ya dhahabu walipata washirika baada ya kuchukua pesa za wenzao wakaanza kujificha na kusingizia wanaumwa covid mara wamekufa.

Hii kaongea Biteko,kama kawaida ya WaTzn uhuni na kulalamika ndio tunaweza..

Hapa Waziri wa mambo ya Nje wa Jamhuri ya Schec yuko Bongo na wafanyabiashara 👇

View attachment 1967744

View attachment 1967745

View attachment 1967747
Uhuni unawaharibia sana watanzania. Hapa vyombo vya dola inabidi vikaze Kweli! Wanapenda sana utapeli na wanakuwa Kama Wanigeria
 
Mbona niliwahi kusikia kuwa mikataba mibovu sana iliyoingiwa ya Natural Gas itatufanya tusifaidike nayo kwa miaka chungu mzima ijayo,yaani watakaokuja kufaidika ni ni vijukuu vyetu...?
Ulisikia kutoka kwa Nani? Usilete Habari za vijiwe vya kahawa hapa
 
Faida ya mradi inaaza kuonekana taingia mradi unapoanza kutekelezwa!

Wazungu wakianza kumwagika Bongo kwa ujenzi wa huu mradi Real Estate Market iliyokuwa imeshuka kwa Dar, Lindi na Mtwara itaanza kwenda vizuri!

Biashara za kisasa zinazoajiri ajira za uhakika utaanza kuziona tena!

Bank kuu yetu utaanza kuiona ikitunisha zaidi reserve yake ya fedha za kigeni maana dolali zitaingia zaidi nchini.

Kodi ya vifaa vya ujenzi wa mradi huu utatunisha zaidi makusanyo ya TRA.

So hili sio jambo dogo ndugu! Tukomae tu kuingia mikataba mizuri maana ukikamilika mkataba faida ndo zitakuwa nyingi zaidi!

..nazungumzia faida au hasara kwa WAWEKEZAJI ktk mradi wa LNG.

..Wawekezaji ktk huo mradi ni serikali kwa niaba ya Watz, na makampuni ya uchimbaji ya kigeni.

..Na faida au matumaini ya faida kwa wawekezaji ktk mradi ndio kichocheo cha faida za watu wa pembezoni kama mahoteli, real estate, etc etc.
 
..nazungumzia faida au hasara kwa WAWEKEZAJI ktk mradi wa LNG.

..Wawekezaji ktk huo mradi ni serikali kwa niaba ya Watz, na makampuni ya uchimbaji ya kigeni.

..Na faida au matumaini ya faida kwa wawekezaji ktk mradi ndio kichocheo cha faida za watu wa pembezoni kama mahoteli, real estate, etc etc.
Hoja yako ni ipi sasa?
 
..Hoja yangu ni kwamba tujikite kwenye faida au hasara kwa WAWEKEZAJI wa mradi wa LNG ambao ni serikali ya Tz na makampuni ya uchimbaji toka nje.
Naamini timu ya majadiliano itakuwa imezingatia hayo yote ili kuhakikisha Faida inachukua nafasi hata kwenye hatari ya kupata hasara
 
Umesema kweli kabisa gesi inalipa haswa na ndio maana hata Qatar wamepatia hela ndefu hapo na kuwatunishia misuli wengine

Alipokatiwa mahitaji na Saudia akaamua kwenda solo na sasa watu binafsi wana hela nyingi kiasi wameamua kuilisha nchi kwa maziwa na nyama

Tukifanikiwa kuuza gesi tumeula
 
Umesema kweli kabisa gesi inalipa haswa na ndio maana hata Qatar wamepatia hela ndefu hapo na kuwatunishia misuli wengine

Alipokatiwa mahitaji na Saudia akaamua kwenda solo na sasa watu binafsi wana hela nyingi kiasi wameamua kuilisha nchi kwa maziwa na nyama

Tukifanikiwa kuuza gesi tumeula

..Ni kweli Qatar wanapiga pesa kubwa kutokana na natural gas.

..lakini tusisahau kwamba Qatar ni nchi ndogo na ina watu wachache sana.

..Hali hiyo ni moja ya factors zinazopelekea Qatar kuweza kufanya matumizi makubwa-makubwa, na raia wake kuishi kwa anasa.

..Nchi kama Tanzania inatakiwa iwe makini sana ktk matumizi ya rasilimali kama madini na gesi kwasababu ya ukubwa wa nchi na idadi ya watu ilionao.

..Naunga mkono hoja yako lakini nilitaka niweke angalizo dogo.
 
..Ni kweli Qatar wanapiga pesa kubwa kutokana na natural gas.

..lakini tusisahau kwamba Qatar ni nchi ndogo na ina watu wachache sana.

..Hali hiyo ni moja ya factors zinazopelekea Qatar kuweza kufanya matumizi makubwa-makubwa, na raia wake kuishi kwa anasa.

..Nchi kama Tanzania inatakiwa iwe makini sana ktk matumizi ya rasilimali kama madini na gesi kwasababu ya ukubwa wa nchi na idadi ya watu ilionao.

..Naunga mkono hoja yako lakini nilitaka niweke angalizo dogo.
Ni mipango tu! Haijalishi kama nchi yako ni kubwa au ndogo au ina idadi wengi au kidogo ya watu!

Tukijipanga vizuri Gesi ndo inaweza kuwa breakthrough kwenye uchumi wetu Tanzania.

Hii nishati inahitajika sana duniani na demand inazidi kuwa kubwa siku hadi siku! Pesa tutakayopiga hapa tunaweza itumia vizuri sana na ikalifaidisha sana Taifa letu
 
..Ni kweli Qatar wanapiga pesa kubwa kutokana na natural gas.

..lakini tusisahau kwamba Qatar ni nchi ndogo na ina watu wachache sana.

..Hali hiyo ni moja ya factors zinazopelekea Qatar kuweza kufanya matumizi makubwa-makubwa, na raia wake kuishi kwa anasa.

..Nchi kama Tanzania inatakiwa iwe makini sana ktk matumizi ya rasilimali kama madini na gesi kwasababu ya ukubwa wa nchi na idadi ya watu ilionao.

..Naunga mkono hoja yako lakini nilitaka niweke angalizo dogo.

Ni kweli Mkuu
Inabidi tutumie akili kubwa kwa manufaa ya nchi
Hii itasaidia mambo mengi sana ya maendeleo

Ila tunaweza kama vijana watawezeshwa kwenda kusoma sana nje na kuja na akili mpya
 
Back
Top Bottom