Ni kama Bahati vile ila unaweza sema Mungu kampendelea Rais Samia

Naona wewe ndo kiazi mbatata
Mimi simuonei mtu na wala haitatokea nimuonee mtu.Mimi CCM nawaita ni viazi mbatata kutokana na haya matendo yao ya hovyo katika nchi yangu pendwa ya Tanzania๐Ÿ‘‡
Your browser is not able to display this video.
 
Unasumbuliwa na elimu duni. Hujui hata matumizi ya gesi inayozungumziwa ni kitu gani. Ifikiwe wakati hapa JF iwe ni sehemu ya kuuliza na kuelimishwa badala ya kujidai kuleta taarifa au habari ambayo huijui na hujawahi kuisikia.
 
Unasumbuliwa na elimu duni. Hujui hata matumizi ya gesi inayozungumziwa ni kitu gani. Ifikiwe wakati hapa JF iwe ni sehemu ya kuuliza na kuelimishwa badala ya kujidai kuleta taarifa au habari ambayo huijui na hujawahi kuisikia.
Nafikiri wewe ndo unaesumbuliwa na Elimu duni.
Sijaandika stori yangu Ila nimeandika na kuweka source ya Habari kutoka CNN international desk.

Wewe mwenye akili duni endelea kupingana na CNN International Desk
 
Nafikiri wewe ndo unaesumbuliwa na Elimu duni.
Sijaandika stori yangu Ila nimeandika na kuweka source ya Habari kutoka CNN international desk.

Wewe mwenye akili duni endelea kupingana na CNN International Desk
Maelezo ya CNN hayana uhusiano na Samia au unachokieleza ukiunganisha na Samia. Jisomee tena.
 
Siku hizi umekuwa mjinga kupindukia
 
Dogo nini Kitazuia yale ya mikataba ya madini yasijirudie kwenye gasi,
acha mihemuko kijana
 
Maelezo ya CNN hayana uhusiano na Samia au unachokieleza ukiunganisha na Samia. Jisomee tena.
Umeishia darasa la ngapi?

Hujaelewa hata nilichofanya hapa?

Kwani hujasikia Mtendaji Mkuu waMakampuni ya Shell kufanya kikao na Rais Samia?

Hujasikia Makampuni makubwa ya Marekani kufanya kikao na Waziri Makamba?

Unadhani wanafanya sasa Kwa sababu gani?
 
Nakurekebisha kijana umepoteza uwezo wa kufikiri,
acha ushabiki njoo tujadli uhalisia wa mambo, Sasa nini kimebadilika Ili makosa yale yasijirudie tena
Kwani nini kimefanyka kukufanya useme makosa yaleyale yanajirudia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ