Ni kama Dotto Biteko kaanza kupewa heshima zaidi ya uwaziri mkuu kuzidi Majaliwa, hii haiwezi kuleta msuguano?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu.

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa, Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yaani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu.
 


Bitego kasema tatizo kubwa ni kwamba Watanzania tunafikiri personality kuliko kazi. Badala ya kuulizia kazi yake na majukumu ya naibu waziri mkuu unatumia muda kutafuta dramaπŸ€”πŸ˜‚ hao ndiyo wabongo
 
Kuna mgogoro unatengenezwa makusudically kisa DPW

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya hivi wewe ndio sokoni bingwa wa kuuza bidhaa na Kila mtu anakujua anakuogopa halafu anaingia mpinzani sokoni kukupunguzia soko na yupo peke yake.
Kama wewe una roho ulitaka nini
 
Wewe inakuhusu nini? Kwani hujui Kwa ni msaidizi wa PM?
 
Upumbavu.Kwahy?Majaliwa atabaki kuwa Majaliwa na Biteko anabaki kuwa Biteko.

Acheni uzushi
 
Mbona wewe ni mchambuzi mzuri ,imekuwaje ?!!![emoji1787][emoji1787]

PM ana idadi ya walinzi wa karibu zaidi ya 10....leo Mh.Biteko alikuwa nao 8 tu.....

Mkuu karibu Komoni hapa ubandani kwa mama Lili Majohe[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Majaliwa analindwa na sungusungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…