Ni kama Dotto Biteko kaanza kupewa heshima zaidi ya uwaziri mkuu kuzidi Majaliwa, hii haiwezi kuleta msuguano?

Ni kama Dotto Biteko kaanza kupewa heshima zaidi ya uwaziri mkuu kuzidi Majaliwa, hii haiwezi kuleta msuguano?

Mama kataka uongozi wake anatumia kitabu cha mwinyi na kikwete naona ndo anamina vina better script jinsi ya kuendesha the presidency.
But how about time lapse factors .
 
Bitego kasema tatizo kubwa ni kwamba Watanzania tunafikiri personality kuliko kazi. Badala ya kuulizia kazi yake na majukumu ya naibu waziri mkuu unatumia muda kutafuta drama[emoji848][emoji23] hao ndiyo wabongo
Ok..
Tuambie wew...kazi za naibu wazir mkuu Sasa maana naona jamaa anachokiaena aujaekewa kabisa
 
Bitego kasema tatizo kubwa ni kwamba Watanzania tunafikiri personality kuliko kazi. Badala ya kuulizia kazi yake na majukumu ya naibu waziri mkuu unatumia muda kutafuta drama🤔😂 hao ndiyo wabongo
Tusaidie hiyo job description ya naibu waziri mkuu hapa na citation yake kwenye Katiba ya jmt mkuu.
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu
Ndo Nia ya waliobuni Cheo hicho Cha mchongo.
 
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu

Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.

Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.

Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa

Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa

Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu
Haya ni mtaokeo ya rais mbabaishaji asiyejua anachopaswa kufanya kikatiba. Majaliwa angeanza kutafuta kibarua kingine kwa sababu alikuwa mtu wa karibu wa mwendazake japo na huyu anayemtesa naye alikuwa hivyo japo ameonyesha kuwa kigeugeu hasa baada ya kumtoa kafala Ndugai.
 
Back
Top Bottom