Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji2956][emoji2956][emoji7][emoji7]Mmeshaanza ufukunyuku, jua tu Dotto anapangiwa kazi na Waziri Mkuu, sasa huo msuguano utoke wapi?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2956][emoji2956][emoji7][emoji7]Mmeshaanza ufukunyuku, jua tu Dotto anapangiwa kazi na Waziri Mkuu, sasa huo msuguano utoke wapi?
Au sio mkuu tumshauri aache umbea atafute hela...Kwani hata ukitokea huo mkanganyiko, utapungukiwa nini?
Makonda hakujipangia ule ulinzi...Kawaida sana
RC Makonda alikuwa anatembea na King'ora na ulinzi wa kutisha!
[emoji2956][emoji7]Wewe inakuhusu nini? Kwani hujui Kwa ni msaidizi wa PM?
Ulinzi huo HAJAJIPANGIA....Wacha Kijana aoshe.
Mtume Mohammed (SAW) alisema, Ujana ni nusu ya uenda wazimu
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rais anataka kura za wasukuma.
Rais kagundua kua sio rahisi ku ignore kanda ya ziwa, unatafta matatizo makubwa.
2030 lazima rais atoke huko.
Conspiracy theories [emoji1787][emoji1787]Hapa kuna mmoja kashapigwa za uso suala la muda tu tutasomana
[emoji1787]Au sio mkuu tumshauri aache umbea atafute hela...
Ndivyo alivyokuambia?!!Mama kataka uongozi wake anatumia kitabu cha mwinyi na kikwete naona ndo anamina vina better script jinsi ya kuendesha the presidency.
But how about time lapse factors .
Alijipangia kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa!
Embu ka kimya ...naona ukishapata hicho kijimshahara unaona umefikaKwani hata ukitokea huo mkanganyiko, utapungukiwa nini?
Ok..Bitego kasema tatizo kubwa ni kwamba Watanzania tunafikiri personality kuliko kazi. Badala ya kuulizia kazi yake na majukumu ya naibu waziri mkuu unatumia muda kutafuta drama[emoji848][emoji23] hao ndiyo wabongo
Kwani nani kaongelea msuguano...Mmeshaanza ufukunyuku, jua tu Dotto anapangiwa kazi na Waziri Mkuu, sasa huo msuguano utoke wapi?
Tusaidie hiyo job description ya naibu waziri mkuu hapa na citation yake kwenye Katiba ya jmt mkuu.Bitego kasema tatizo kubwa ni kwamba Watanzania tunafikiri personality kuliko kazi. Badala ya kuulizia kazi yake na majukumu ya naibu waziri mkuu unatumia muda kutafuta drama🤔😂 hao ndiyo wabongo
Huyo sio msukuma inasemekana anatoka nchi jiraniRais anataka kura za wasukuma.
Rais kagundua kua sio rahisi ku ignore kanda ya ziwa, unatafta matatizo makubwa.
2030 lazima rais atoke huko.
Ndo Nia ya waliobuni Cheo hicho Cha mchongo.Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu
Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.
Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.
Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa
Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa
Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu
😁😁😂😂😂😂
Haya ni mtaokeo ya rais mbabaishaji asiyejua anachopaswa kufanya kikatiba. Majaliwa angeanza kutafuta kibarua kingine kwa sababu alikuwa mtu wa karibu wa mwendazake japo na huyu anayemtesa naye alikuwa hivyo japo ameonyesha kuwa kigeugeu hasa baada ya kumtoa kafala Ndugai.Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu
Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa Dotto Biteko anaonekana ndie waziri mkuu zaidi kuzidi Majaliwa.
Yani hata ulinzi anaopewa tu sio kitoto.
Ana nguvu ya kutoa kauli zaidi ya Majaliwa
Ana ushawishi zaidi kuliko Majaliwa
Naona meza yaweza kupinduliwa Majaliwa awe Naibu na Biteko awe waziri mkuu