Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika

Alipofika kileleni akaingia kwenye ushirikiano na CCM akidhani utajiri wake umetokana na hilo zimwi.

Wateja tumeamua kuachana naye ili atumikie ndoa yake na CCM....
 
Alipofika kileleni akaingia kwenye ushirikiano na CCM akidhani utajiri wake umetokana na hilo zimwi.

Wateja tumeamua kuachana naye ili atumikie ndoa yake na CCM....
Wateja wangapi mmekubaliana hivyo?
 
Hizi ni dalili za juu kabisa za UCHAWI. Afu mbaya sana wakati unafuatilia hayo maduka ulipanda gari za umma.
 
Vizuri sana mkuu ulipambana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…