Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Alienda China kwa Mtaji wa Milioni 4 tu. Atarudi tena. Maisha ni mlima na mabondeNilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
HaujamlipaUchawa
Kwani alopofungua watu si walisema Jamaa kafungua? Kwanini ikidolola watu wakisema imedolola ionekane ni Chuki?Hii sasa ndio roho halisi ya mtu mweusi
Si ajabu amembwatukia Mwijaku balaa,Ile ni dalili ya hasira Kwa sababu ya mambo kwenda mrama.Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
ahahah kwahiyo mtoa mada ni mchawiNi kweli kwa iringa jamaa biashara imefeli ,nguo zake hazina quality na hajaonesha utofuti na wengine waliokuwepo but hajafunga kama ulivyosema.
Mageti ya vunjabei iringa hayapo upande huo uliouonesha wa highway yapo upande wa pili barabara ya uhindini hizo unazoonesha hapo ni frame za watu wengine
ahahah kwahiyo mtoa mada ni mchawiNi kweli kwa iringa jamaa biashara imefeli ,nguo zake hazina quality na hajaonesha utofuti na wengine waliokuwepo but hajafunga kama ulivyosema.
Mageti ya vunjabei iringa hayapo upande huo uliouonesha wa highway yapo upande wa pili barabara ya uhindini hizo unazoonesha hapo ni frame za watu wengine
Wewe ndio unawaza hivyo na ndio kilichoujaza moyo wako.Basi umeona rahaa mwenyewe
Wakipata kidogo kelele vuvuzela.Lakini wenye nazo Huwa hawana maisha ya mitandaoni na udaku.Mtu mweusi na mambo ya uchumi wapi na wapi. Wazungu na uchumi wao wanazungumzia kukua na kushuka kwa biashara, wanajadili kuhusu inflation, kufirisika, kufa kwa kampuni, bailout, mergers and acquisition.
Sasa mweusi mwenzako akiuliza kwa muelekeo uleule unasema roho ya mtu mweusi. Wahindi, Waarabu, Wachina huwa hawajadili biashara. Au unataka weusi wasifie tu ila wasihoji, sasa si ujiuzie mwenyewe chumbani kwako. Kufungua uite media, mwenendo usiulizwe.
Alipofungua Maduka watu wakaandika mitandaoni na kumsifia kuwa amefungua hamkusema ni Mbeya.Itoshe kusema wewe ni mmbeya Sana
Fanya Yako hachana na ya watu....Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Mkuu Bush Dokta hujambo mdogo wangu?Alipofungua Maduka watu wakaandika mitandaoni na kumsifia kuwa amefungua hamkusema ni Mbeya.
Watz wanafiki sana
It always starts with a dream.. Ukilenga pakubwa unaweza usipate pakubwa ila ukapata kikubwa.Diamond ana ndoto za kuwa tajiri namba moko duniani