Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika


"Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa
mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine."


Ukisoma namna alivyowasilisha utabaini dhamira. Inaoneka hilo duka lililofunguliwa kwa "mbwembwe" lilimuumiza sana na aliisubiri hii siku kwa hamu sana.
 
Unapata wapi huo mda wa kufutilia biashara ya mtu kiasi hicho?huo mda ungeuza hata barafu ungesogea kidogo kwenye maisha yako
Timu DAI, imeona Mwijaku amemdharau sana Dangote kuwa, utajiri wake haufikii hata 40% wa VB. Sasa wanafanya uchunguzi, jee, ni kweli Dai hafikii hata % 40 kwa hali hiiii?
 
Wakipata kidogo kelele vuvuzela.Lakini wenye nazo Huwa hawana maisha ya mitandaoni na udaku.

DC wa zamani Sasa ana Cheo kipya afanye jambo huyu asije jitundika 😆😆
Vunjabei akiwa anasema kuhonga wanawake wetu na kuwapa hela huwa silalamiki kwa sababu ni mtazamo wake, mimi wanawake siwapi hela burebure.

Sasa kama yeye ana uhuru wa kujadili wanawake wetu, ana uhuru wa kutangaza biashara zake na kuzipa promo kwa media. Kwanini walengwa wasiwe na uhuru kujadili biashara zilezile alizowatangazia na wasiwe na maoni juu ya maisha yake eti waogope kuitwa wachawi
 
The guy is a head of the time
Smart
Humble

Anaweza kushuka kimpato Ila hawezi kufirisika kuwa financially broke.

Maana fred hajawekeza ktk nguo tu Ila amewekeza ktk biashara tofauti tofauti.
 
Kwa hiyo unafurahia anguko la mwenzio? Je kama kabadirisha aina ya biashara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…