Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Vipi kama ameamuwa kubadili biashara anata amalizie stock?Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Kwa maana hiyo mkuu una kazi ya kupita kila mkoa kukagua maduka ya vunja bei?Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Jamaa siku hizi kaamua kuwa supplier wa madawa na vifaa vya hospital na ndio maana yupo karibu na chama tawala ,kwenye mikutano hakosekani sababu ya kujipatia tenda.So jamaa anadeal na maswala ya Pharmacy.Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Kumbe ndio wewe uliyokuwa unapiga picha jana hapa Iringa sio?Nilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
Aah mi sijaona negativity bahati mbaya huwa sio mrahisi kuona chuki sijui roho mbaya huwa naenda kwenye concern ya mtu. Ila Vunjabei mwenyewe ni watu wengi wanasema ana dharau na jeuri ya hela akiwa anahonga, na wala simuoni hivyo. Mi naona maoni ya watu wabishane kwa hoja sio kuleteana uzoefu wa uchawi"Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa
mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine."
Ukisoma namna alivyowasilisha utabaini dhamira. Inaoneka hilo duka lililofunguliwa kwa "mbwembwe" lilimuumiza sana na aliisubiri hii siku kwa hamu sana.
Biashara ya madawa inalipa sana iwe madawa halali au madawa haram.Jamaa siku hizi kaamua kuwa supplier wa madawa na vifaa vya hospital na ndio maana yupo karibu na chama tawala ,kwenye mikutano hakosekani sababu ya kujipatia tenda.So jamaa anadeal na maswala ya Pharmacy.
Kama anavo inspire watu na ku motivate watu kupata pesa Kwa media,pia tunataka kujua Kwanini maduka yake ya nguo sio kama yalivokua,hakuna traffic na maybe wafanyakazi wamepungua.Kwa hiyo unaomba uchunguzi ufanyike, kwa nini Fred vunja bei kafirisika!!??
Unafurahia mwenzako akianguka, akifukuzwa kazi n.k..huo ndio utu weusi sasaKwani alopofungua watu si walisema Jamaa kafungua? Kwanini ikidolola watu wakisema imedolola ionekane ni Chuki?
Watu maskini wanadhani wakisifia sifia utajiri basi wanakuwa matajiri.
Kasema baya lipi kwan ukisema mtu fulani kafilisika niroho mbaya nyie ndo machawa mtu unaona anapotea ila unakazana kumsifia boss amwage biaMtu mweus n kiumbe hatar robo mbaya jealous, chuki yan masikini anatakaga wote wawe masikin
Iringa duka haliko mbele hapo bali liko nyuma ya hilo jengo ni kubwa tuNilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613
This is a good reason.Jamaa siku hizi kaamua kuwa supplier wa madawa na vifaa vya hospital na ndio maana yupo karibu na chama tawala ,kwenye mikutano hakosekani sababu ya kujipatia tenda.So jamaa anadeal na maswala ya Pharmacy.
Acha mbwembwe kama tunavyojadili mafanikio na kufilisika pia kunajadiliwa mmezoea uchawa kaz kusifia tu ukisema ukwel eti we black peopleKwahiyo umefurahia?
The black continent. Black people. Black mindset. Black spirit.
-Kaveli-
Tatizo Jeans za Vunjabei ukifua mara moja tu zinachujuka... Kukosa Tender ya kutengeneza Jezi za Simba pia kumempa kushukaNilikuwa Mbeya huko nikapita mitaa ile ya SIDO ni kama vile duka la Vunjabei linapumulia mashine, halina mzunguko wa biashara kivile.
Jana nimepita Iringa napo naona lile duka alilolifungua kwa mbwembwe nalo lishajifia na kufungwa muda tu.
Hapo Dar duka lake la Sinza nalo linapumulia mashine.
Ni kama vile jamaa kaanza kufilisika mdogo mdogo.
Nimeambatanisha picha za duka lake la Iringa lililofungwa.
View attachment 3088613