Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Jamaa siku hizi kaamua kuwa supplier wa madawa na vifaa vya hospital na ndio maana yupo karibu na chama tawala ,kwenye mikutano hakosekani sababu ya kujipatia tenda.So jamaa anadeal na maswala ya Pharmacy.
Inawezekana ameamua kubadili biashara.Ni kawaida kama umeshafanya biashara ama kuwa karibu na watu walofanya biashara. Kupanda na kushuka, na kupanda tena ama kushuka moja kwa moja. Upepo ukikubali unaweza shika hela hadi ukatamani kupiga nazo picha. ukiwa kichwa chepesi hauishi kuwa mitandaoni kupost mafanikio na lifestyle. Na upepo ukigoma utatamani malaika washuke waiizime mitandao. hutatamani kuona hata picha za moet ama Hennessy
Brand yake ni hiyo hiyo ya Vunjabei (Vunjabei Pharmacy) husimuone mjinga kujiweka karibu na chama tawala kwa sababu huo ndipo kuna connection za tenda.Kampuni yake ya kusambaza madawa na vifaa tiba inaitwaje mkuu?
Ukiposti umepata kazi unapata like 10 ila ukipost umefukuzwa kazi 780 likesHii sasa ndio roho halisi ya mtu mweusi
"Masharti" yapi tena hayo?!Biashara za ndumba zina mwisho wake hasa ukikosea mashart. Kitakacho kuja kwa urahisi kitaondoka kirahisi tafuta maisha kwa mema maisha hayahitaji shortcut. Easy come easy go
πππBasi umeona rahaa mwenyewe
Matajiri wengi wanajiongezaga pesa zao c za halali asilimia 100 chezea mkinga ww"Masharti" yapi tena hayo?!
πππHii sasa ndio roho halisi ya mtu mweusi
Bora umeongea point.watu humu wanajifanya wazungu kwamba hawafuatilii maisha ya watu.Watu wengi naona mnawaza uchawi tu muda wote. Public figure kama Vunjabei kujadiliwa ni jambo la kawaida. Vunjabei kufilisika ni jambo litakalowaathiri wengi hasa wafanyakazi wa maduka yake hivyo watu kufahamu kinachoendelea sio mbaya ili kama kuna tatizo asaidiwe. Nchi nyingi tu huwa wanatoa ruzuku au mkopo wenye riba isiyozidi 5% kuwaboost.
kujifanya unajali muda, hakuna lolote, mtu unaongelea muda kama wewe uko makini nao sana!Aisee! Kuna watu wana muda wa ziada sana! Unapiga hadi picha?