"usijar mshua we msomeshe mwanao mimi niache tu naomba mungu anipe afya njema hivi hivi"
nilimwambiaga mshua baada ya kupishana kauli adi leo nahisi inamuumiza sana hii kauli hasa kira ninacho fanya sjawai kumuomba msaada wala kumshirikisha kwa lolote japo yeye huwa ananiambiaga hatua zake[emoji37][emoji37][emoji37]