Ni kauli au neno gani ulilotamka ndani ya familia hadi leo unajutia?

Huyo mwanamke ameshakudharau mpaka anadiriki kukutolea kauli za kishenzi kama hizo..
Huwa najifariji kuwa wanawake wote mwalim wao ni mmoja na aliishakufa, hawawezi kuelewa kirahisi hapo alipo yeye ni watatu ndani ya miaka 3.

Napumzika kidogo
 
Wewe Jamaa unaonekana mtata sana yaani mno πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…