Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaNaweka picha za xxxxx
Cc[mention]Johnsinny [/mention]
Mgeni aliyekuja kuishi kwa siku kadhaa halafu hana dalili ya kuondoka? Au mgeni aliyekuja kwako na anaondoka siku hiyo hiyo ila wewe unataka umharakishe aondoke mapema?
Fafanua
Haya manbo..kuna mahali niliwahi enda ndani ya siku 2 wakaniambia wanasafiri [emoji3]Hili ndio swali maana wengi wanafafanua njia ya kumuondoa mgeni aliyekuja kukaa kwa masaa-hawa hawanaga tatizo ila,
Tatizo lipo kwa wageni wanaokaa week(s) [emoji3]
Kama ni mgeni aliehamia?Kama Ni Usiku namuambia nahisi uchovu, Nahitaji kupumzika
Kama Ni mchana, namuambia Nimepata dharura tutaonana kesho/ siku Nyingine
kwani kakwambia anaogopa giza 😂😂Mkuu naona Kiza kinaingia bora uanze kujisogeza
mara simu iite ikiwa sikioni 😂😂Napokea simu ya uongo chap,
Kisha nasema nakuja aisee sasa hivi.