Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Maisha yashakua vurumai sana wageni wa siku hizi nao mambo mengi unaogopa hata kuwaacha watoto peke yao kisa mgeni.....wote tu wageni na wenyeji tujue mambo yashakua mengi kuwa mgeni kwa sababu za msingi, shule, matibabu, nk sio tu bila sababu umeamua kwenda kuwa mgeni wa mtu miezi 6+Mbona simpo sana kwa anayekuja na kuondoka lakini anayelala hapo Kuna kachangamoto kidogo, lakini twende mbele turudi nyuma mgeni amekutembelea kwanini umharakishe kuondoka?? Tuwe wakarimu jamani haya maisha tutayaacha, Mali tutaziacha tujali utu kuliko kuwaza mambo yetu binafsi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hapo ndio mgeni wako kapanga kulala sijui itakuaje.Mkuu naona Kiza kinaingia bora uanze kujisogeza
Tatizo kuna wageni wanakuja bila hata taarifa, na wanachukua muda mrefu, na wewe una ratiba zako ulishaziweka tayari, unafanyaje hapo?Mbona simpo sana kwa anayekuja na kuondoka lakini anayelala hapo Kuna kachangamoto kidogo, lakini twende mbele turudi nyuma mgeni amekutembelea kwanini umharakishe kuondoka?? Tuwe wakarimu jamani haya maisha tutayaacha, Mali tutaziacha tujali utu kuliko kuwaza mambo yetu binafsi
Kuondoka kwenda wapi? Arudi kwao au akalale?Ni kauli gani unaweza kumwambia mgeni wako kuwa ni muda wa yeye kuondoka bila kumkwaza?
Ugumu wa maisha na kupunguza msongamano usio wa lazima.Ni ubinafsi choyo au?