Maombi na kudra za Mwenyezi Mungu..hawa wa kileo ngumu sana kuwalindaHuo ungo alikuwa kaukalia au kaweka vitu vizito hadi ukavunjika?
Jokes aside, ni kawaida na inaweza tokea kabla hata ya hapo...
Kuna mwaka nilisoma habari ya binti wa miaka 12 kupewa ujauzito, hivyo ni muda sasa wa kumlinda mwanenu...
Hahaha[emoji23] Ila hizi hazijavunjika bado
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni kawaida..yaani kwao anabaki kuwa mtotoMkuu wazazi huwa hawaamini kwamba wanao wanakuwa hivi huwa ni kwanini?.
shukraniBinti wa kaka yangu alipevuka akiwa na umri huo huo miaka iliyopita hukoo . Kwa sasa ni mama wa watoto wawili kwenye mji wake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji3][emoji3][emoji3] najua mtoa mada alitarajia swali kama hili, mwingine yupo atakuja anadai katiba Mpya, mwingine tozo, yan tafrani tupu!
yameshakuwa ya kawaida haya!Huna adabu
swali gumuMkuu wazazi huwa hawaamini kwamba wanao wanakuwa hivi huwa ni kwanini?.
Kawaida ni kuanzia miaka 9. Hiyo ni kawaida chief!! Watoto wa kike wanakuwa mapema.Habarini!
Huu ni mwaka wa 13 wa kuzaliwa binti yangu na yupo darasa la sita sasa. Jana mama yake ananivujishia siri kuwa mtoto amekuwa (amevunja ungo). Wadau, ni kawaida kwa binti wa miaka 13 kuvunja ungo au hii ni abnormality?!! Nilitarajia kuanzia 15 huko na kuendelea. Uzoefu wenu tafadhali....
tuyazoee tu haya kiongozi......muda umeenda sana!Hivi Mkuu mleta mada angekuwa ni Kaka yako (kitu ambacho labda kweli huyu ni Bro kwako) ndio kakuuliza ungemjibu hivi kweli?
ahsante, kikukweli ndo nimelijua hilo leo hiiSasa miaka 13 mbona kachelewa ? .. kwa kawaida wanawake huvunja ungo kuanzia miaka 9 na wanaume ni miaka 11 ..
ahsante sana, kiukweli hapa nitamakinika kwa 1000%Ni mda wa kumwambia Mkeo aongee na binti akifanya misteki mnalea mjukuu
shukrani, maombi lazima kwakweliMuombee sana, vitoto vya siku hizi vinaanza mtekenyo mapema sana
ahsante sana!Kawaida ni kuanzia miaka 9. Hiyo ni kawaida chief!! Watoto wa kike wanakuwa mapema.
nitakimbizana nao tu, hakuna namnaNdio umri sahihi.Wengine huvunja ungo miaka 12 pia.Ila pole kazi unayo.Jiandae kukimbizana na mbwamwitu.
Ruksa kuotea mkuuya binti, mama'ake, yangu au ya huo ungo mkuu?!!!