Kodi ya kichwa/maendeleo ilikuwepo mpaka 2000 hapo,lipumba akapiga kelele zikatolewa..Kodi ya tin siyo kichwa,na imesemwa wazi kwa wenye kipato,huwezi kuwa na kipato bila kuwa na shughuli
TIN inaposhurutishwa kwa kila aliye na zaidi ya miaka 18 ili aje kukadiriwa kodi kulingana na miamala yake halafu alipe kupotia simu yake hiyo ina maana ni kodi ya kichwa, na kila mmoja analazimika kuilipa, kodi inapotozwa kwa criteria vague kama hiyo ni kodi ya kichwa.., maana haina specific critera mfano useme ni mfanyabiashara analipa income tax, au useme ni dereve analipa driving license and so forth, yaani ni totally inclusive na indiscriminate, kigezo ni umri tu...!!! Typical kodi ya kichwa!! Kuhusu shughuli hiyo ni obvious, kwani waliokuwa wanadaiwa kodi ya kichwa hawakuwa na shughuli, waliishije bila shughuli?!
Sawa, ila ndio kodi ya kichwa ilishahamishiwa kwenye bidhaa, na raia hata wasio na TIN tayari wanalipa, hakuna sababu ya kuirudisha, wanatumia kigezo kipi kuirudisha? Ulinzi uimarishww mirembe ili kucontrol watoro kama huyo jamaa
Tuache kukopa kama mataahira waliokatwa kichwa, huo ndio ushauri, tumekuwa watumwa wa riba!! Tuboreshe mazingira ya ndani ya uzalishaji kwa kuzuia bidhaa za nje zinazoweza kuzalishwa nchini, au atleast zipigwe kodi kubwa, mfano furniture kutoka China zinaua ajira za waTz.
Sawa, ila ndio kodi ya kichwa ilishahamishiwa kwenye bidhaa, na raia hata wasio na TIN tayari wanalipa, hakuna sababu ya kuirudisha, wanatumia kigezo kipi kuirudisha? Ulinzi uimarishww mirembe ili kucontrol watoro kama huyo jamaa
Mama anaupiga mwingi,haunga mkono Kodi ya kichwa, lakini pia Mimi bado nazidi kumshauri mama pamoja na waziri husika aje na kwa wafugaji wa mbuzi,, ngombe na kondoo, walipe Kodi kwa kila mfugo , hii itasaidia kuinua Pato la Taifa, pia itasaidia kutunza mazingira yetu kwani wafugaji wanaharibu sana mazingira lakini pia itawafanya wafugaji kufuga kisasa na kwa Tija kwani wengi watapunguza mifugo yao lakini pia wataweza kuihudumia kwa ufanisi
Mama anaupiga mwingi,haunga mkono Kodi ya kichwa, lakini pia Mimi bado nazidi kumshauri mama pamoja na waziri husika aje na kwa wafugaji wa mbuzi,, ngombe na kondoo, walipe Kodi kwa kila mfugo , hii itasaidia kuinua Pato la Taifa, pia itasaidia kutunza mazingira yetu kwani wafugaji wanaharibu sana mazingira lakini pia itawafanya wafugaji kufuga kisasa na kwa Tija kwani wengi watapunguza mifugo yao lakini pia wataweza kuihudumia kwa ufanisi
TIN inaposhurutishwa kwa kila aliye na zaidi ya miaka 18 ili aje kukadiriwa kodi kulingana na miamala yake halafu alipe kupotia simu yake hiyo ina maana ni kodi ya kichwa, na kila mmoja analazimika kuilipa, kodi inapotozwa kwa criteria vague kama hiyo ni kodi ya kichwa.., maana haina specific critera mfano useme ni mfanyabiashara analipa income tax, au useme ni dereve analipa driving license and so forth, yaani ni totally inclusive na indiscriminate, kigezo ni umri tu...!!! Typical kodi ya kichwa!! Kuhusu shughuli hiyo ni obvious, kwani waliokuwa wanadaiwa kodi ya kichwa hawakuwa na shughuli, waliishije bila shughuli?!
Basi tu ni vichwa vigumu waTz, kwa huyu rais anayeforce kupendwa na mataifa ya hao watu weupe, hapa lazma ukolon urudi tu, na kurudi kwake ni kama ivyo yanaibuka mambo yakipuuzi puuzi ilimladi kuwanyonywa na kuwanufaisha wahuni wa kizungu na kiarabu.
Iko wazi huyo kibaraka wenu sa[emoji817] akipewa challenge ya kumchagua muwekezaji kati ya ngozi nyeupe na nyeusi, iko wazi atamtaka huyo beberu ngozi nyeupe, maana kwa imani yake hao anawaona ni wakombozi, behind the game watakaoumia ni wananchi na kizazi kijacho .
Wazazi walinihadithia kwamba hapo zamani, wazazi wao wa kiume(babu zangu) walikuwa wanatabia ya kukimbia na kujificha maporini pale ambapo walikuwa hawajalipa kodi ya kichwa, maana familia ilikuwa ni kubwa, na hapakuwa na pesa ya ziada ya kwenda kulipa kodi ya kichwa, hivyo kuna kipindi iliwabidi kuwaacha na mama zao ili wao waende kufanya vibarua sehemu mbalimbali na as soon as wanapopata pesa ya kulipa kodi ya kichwa ndio walirudi majambani mwao.
Kwa wale ambao hawakulipa na hawakutoroka mafichoni, walikamtwa na maaskari wa mkoloni na kwenda kulimishwa kwenye mashamba ya chai, pamba na kadhalika hadi pale deni litakapoisha. Mkoloni alitumia reli kusafirisha pamba , chai , katani nk. hadi kwenye bandari na kuzisafirisha kwa meli hadi Uingereza na kuwapa utajiri wa kufuru.
Hiyo ni miaka ya ya kabla na baada ya ukoloni , 1950’s kuendelea. Sasa fastfoward hadi kipindi cha Mkapa, uamuzi ukafanyika kwamba kodi ya kichwa ihamishiwe kwenye bidhaa (Vat na kadhalika), ambapo kwa hivi sasa, hata mtoto mdogo akinunua soda tu (japo hana TIN number) tayari analipa kodi na inakwenda serikalini. Hivyo kwa mantiki hiyo, hakuna MTanzania ambae halipi kodi, hata kama hana TIN number, bado analipa kodi kupitia bidhaa anazonunua.
Sasa jamani, leo hii mtu anatoroka milembe kimagendo magendo tu, kwa njia anazojua yeye, bila ruhusa ya daktari ili kudhibitisha kama akili zake zipo sawa, anakuja huku uraiani leo hii 2022 anasema waTanzania wasio na TIN hawalipi kodi, tena hao hao ambao kila siku wanakatwa pesa za miamala, yeye anasema halipi kodi, hivyo wote wapewe TIN number ili waanze kulipa kodi.
Kwahiyo tumerudi miaka ile ya 1950’s ambapo kwa sasa njia inayotumika ni kutupa mikopo ‘HEWA’ , mfano mkopo wa chanjo wa Trillion 2 na vifaa tiba vya kupima chanjo, mkopo ni hewa maana hata ugonjwa ni hewa, hata Barakoa Rais havai tena, malengo yametimia, na ili kulipa mkopo huo ndio wanarudisha kodi ya kichwa kwa style hii, na mwisho wa siku trillion 10 kila mwaka inayokusanywa, ni ya kulipa madeni na riba juu, yaani badala ya kupeleka pamba, chai na katani, tunapeleka pesa kama watumwa, mariba matupu!!!
Hii nchi amani itakuja kutoweka, THERE IS A LIMIT, hata kondoo ana uvumilivu wake!!!
"Kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi. Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi" "Kwa kuwa utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho...
Hii mikopo tunayobugia kwa pupa hivi tutakuja kuilipa kupitia puani. Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF Muda wa kulipa ukifika, tunaweza hata kuambiwa tulipie hii hewa tunayovuta, maana ni rasilimali ya serikali na tulipe kama tunavyolipa kodi ya ardhi. Unapimwa uzito wako kisha...
Mbadala ulishapatikana, walifuta kodi ya kichwa wakaihamishia kwenye bidhaa, unataka mbadala gani, tukakuuze kwenye danguro? Huo ndio mbadala unaotaka wewe?
Tz huwa wanapiga kelele ukifika usiku ponji kama kawa, perecheche nyingi wabongo.Ila tukumbuke mwelekeo wa dunia yote ni maisha kuwa magumu mpaka umsahau au umtegemee sana Mungu.Kuna kitu kinaenda kutokea soon about 10 years to come.
Wewe usitafute huruma, jibu hoja, hayo uongozi ni irrelevant kwa hoja husika, kwamba kodi ya kichwa ilikwisha hamishiwa kwenye bidhaa, kigezo kipi kimetumika kuirudisha?
Shida kubwa ni madeni yaliyotokananna mikopo hewa, mfano mikopo ya vitendanishi vya covid 19 au zile chanjo hewa za shs. Trillion 2 , tunapigwa kodi ya kichwa ili kulipa mikopo hewa, hiyo inaumiza sana
Hili tayari ni tatizo, maana kuweka tozo kwa watumiaji wa huduma hiyo ni sawa na kodi ya kichwa..........huduma ileile inakatwa VAT na tozo, hawa watu sijui wanafikiria nini aisee.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.