makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Sio kuthubutu tu watafanya kabisa na sisi simba wa makaratasi, wazee aa kulia lia mtandaoni hatutafanya kitu.Hata sijui, ila huu ukoloni wa kodi ya kichwa haukubaliki, wasidiriki, na WASITHUBUTU!!
Hujaombwa ushauri wala maoni yako binafsi, wawakilishi wako huko bungeni ndio wamekusemea.Watanzania hatuna kauli haya kipi kifanyike au ni kulalama tu
Umevurugwa,ni wazimu kujadili na weweWewe usitafute huruma, jibu hoja, hayo uongozi ni irrelevant kwa hoja husika, kwamba kodi ya kichwa ilikwisha hamishiwa kwenye bidhaa, kigezo kipi kimetumika kuirudisha?
Hilo sijapinga, turudi kwenye mada ya kodi ya kichwa ambayo tayari ilihamishiwa kwenye bidhaa, kigezo kipi kimetumika kuirudisha?Umevurugwa,ni wazimu kujadili na wewe
Ilihamishiwa kwenye bidhaa lini!?..kivipi!?..ipi ni Kodi ya kichwa unayolenga hapa!?..kwa nini unasema ni Kodi ya kichwa!?..una elimu ya Kodi!?..Kodi ni nini!?Hilo sijapinga, turudi kwenye mada ya kodi ya kichwa ambayo tayari ilihamishiwa kwenye bidhaa, kigezo kipi kimetumika kuirudisha?
Kipindi cha Mkapa, kwa kuwekwa kwenye bidhaa pale unaponunua, mfano VAT. Mengime soma uziIlihamishiwa kwenye bidhaa lini!?..kivipi!?..ipi ni Kodi ya kichwa unayolenga hapa!?..kwa nini unasema ni Kodi ya kichwa!?..una elimu ya Kodi!?..Kodi ni nini!?
Si wanatupumbaza na ule moshi wao wa Mwenge. Uchawi uliosisiwa na mchongaSio kuthubutu tu watafanya kabisa na sisi simba wa makaratasi, wazee aa kulia lia mtandaoni hatutafanya kitu.
Ndio maana wanafanya wanavyojua sababu wameahaona sisi watz ni mazezeta.
Hahahaha, ule Mwenge sio bureSi wanatupumbaza na ule moshi wao wa Mwenge. Uchawi uliosisiwa na mchonga
Kwa hiyo vat ni Kodi ya kichwa!?Kipindi cha Mkapa, kwa kuwekwa kwenye bidhaa pale unaponunua, mfano VAT. Mengime soma uzi
Ni sehemu ya kile kilichoitwa kodi ya Kichwa,ni ‘mbadala’ wake wa ukusanyaji mapato, kodi kwenye bidhaa zipo nyingi, sio Vat tu, huo ni mfano tu wa namna kodi ya kichwa ilivyohamishiwa kwenye bidhaa..Kwa hiyo vat ni Kodi ya kichwa!?