BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Ukienda Kanda ya Ziwa kilimo cha pamba kimekufa na ile mikoa sasa ina idadi kubwa sana ya masikini kwa sababu moja ya zao walilo kuwa wanategemea sana enzi na enzi lisha kufa.
Kahawa mikoa ya kaskazini inaendekea kufa,Kilimanjaro kule hakuna mtu anataka kulima kahawa tena, kote huko Arusha na kadhalika.
Zilizo kuwa shule za michepuo ya kilimo zisha jifia zote, sasa kilimo kipi tunakuza? nenda tembelea kwenye vyuo vya kati vya kilimo uone vilivyo choka mbaya. Huwezi zungumzia Kilimo bila kusapoti elimu ya Kilimo.
Zamani tulikuwa na kiwanda kama ZZK Mbeya suna hakika kama kipo au kisha badilishiwa matumizi,unaweza kuta watu wanafugia mbuzi kwenye majengo ya kiwanda.
Kwa sasa hadi fyekeo tuna import then tunakuja kudanganyana kwamba tumekuza kilimo. Nchi imejaaa hadaaa sana hii
Bado wakulima wa mazao mengi wanalia na changaniti zikiwemo Bei kubwa sana za pembejeo, ikiwemo madawa, Mbolea na Mbegu. Bei ya mbegu tu kama za mahindi imekuwa inapanda kila msimu mpya wa kulima na haijawahi shuka bei kabisa.
Ukiuliza wakulima wengi wana pambana wenyewe hakuna sapoti wanayo pata kutoka Serikalini.
Raisi nazani anazungumzia yale mashamba ya Bashe, yale mashamba ya mchongo ,ila kilimo kama kilimo bado sana, Wakulima wanapambana wenyewe mwanzo mwisho.
Serikali ya CCM ikisha ona Raia wamevuna sasa ndio inaibuka kujisifu bila kujua mkulima ameteseka kiasi gani haswa na gharama kubwa sana za pembejeo.
Kahawa mikoa ya kaskazini inaendekea kufa,Kilimanjaro kule hakuna mtu anataka kulima kahawa tena, kote huko Arusha na kadhalika.
Zilizo kuwa shule za michepuo ya kilimo zisha jifia zote, sasa kilimo kipi tunakuza? nenda tembelea kwenye vyuo vya kati vya kilimo uone vilivyo choka mbaya. Huwezi zungumzia Kilimo bila kusapoti elimu ya Kilimo.
Zamani tulikuwa na kiwanda kama ZZK Mbeya suna hakika kama kipo au kisha badilishiwa matumizi,unaweza kuta watu wanafugia mbuzi kwenye majengo ya kiwanda.
Kwa sasa hadi fyekeo tuna import then tunakuja kudanganyana kwamba tumekuza kilimo. Nchi imejaaa hadaaa sana hii
Bado wakulima wa mazao mengi wanalia na changaniti zikiwemo Bei kubwa sana za pembejeo, ikiwemo madawa, Mbolea na Mbegu. Bei ya mbegu tu kama za mahindi imekuwa inapanda kila msimu mpya wa kulima na haijawahi shuka bei kabisa.
Ukiuliza wakulima wengi wana pambana wenyewe hakuna sapoti wanayo pata kutoka Serikalini.
Raisi nazani anazungumzia yale mashamba ya Bashe, yale mashamba ya mchongo ,ila kilimo kama kilimo bado sana, Wakulima wanapambana wenyewe mwanzo mwisho.
Serikali ya CCM ikisha ona Raia wamevuna sasa ndio inaibuka kujisifu bila kujua mkulima ameteseka kiasi gani haswa na gharama kubwa sana za pembejeo.