Ni kilimo kipi hicho ambacho Raisi anatamba sana kukikuza? Sikioni mimi, wewe unakiona?

Ni kilimo kipi hicho ambacho Raisi anatamba sana kukikuza? Sikioni mimi, wewe unakiona?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ukienda Kanda ya Ziwa kilimo cha pamba kimekufa na ile mikoa sasa ina idadi kubwa sana ya masikini kwa sababu moja ya zao walilo kuwa wanategemea sana enzi na enzi lisha kufa.

Kahawa mikoa ya kaskazini inaendekea kufa,Kilimanjaro kule hakuna mtu anataka kulima kahawa tena, kote huko Arusha na kadhalika.

Zilizo kuwa shule za michepuo ya kilimo zisha jifia zote, sasa kilimo kipi tunakuza? nenda tembelea kwenye vyuo vya kati vya kilimo uone vilivyo choka mbaya. Huwezi zungumzia Kilimo bila kusapoti elimu ya Kilimo.

Zamani tulikuwa na kiwanda kama ZZK Mbeya suna hakika kama kipo au kisha badilishiwa matumizi,unaweza kuta watu wanafugia mbuzi kwenye majengo ya kiwanda.

Kwa sasa hadi fyekeo tuna import then tunakuja kudanganyana kwamba tumekuza kilimo. Nchi imejaaa hadaaa sana hii

Bado wakulima wa mazao mengi wanalia na changaniti zikiwemo Bei kubwa sana za pembejeo, ikiwemo madawa, Mbolea na Mbegu. Bei ya mbegu tu kama za mahindi imekuwa inapanda kila msimu mpya wa kulima na haijawahi shuka bei kabisa.

Ukiuliza wakulima wengi wana pambana wenyewe hakuna sapoti wanayo pata kutoka Serikalini.

Raisi nazani anazungumzia yale mashamba ya Bashe, yale mashamba ya mchongo ,ila kilimo kama kilimo bado sana, Wakulima wanapambana wenyewe mwanzo mwisho.

Serikali ya CCM ikisha ona Raia wamevuna sasa ndio inaibuka kujisifu bila kujua mkulima ameteseka kiasi gani haswa na gharama kubwa sana za pembejeo.
 
Ukienda Kanda ya Ziwa kikiko cha pamba kimekufa na ile mikoa sasa ina idadi kubwa sana ya masikini kwa sababu moja ya zao walilo kuwa wanategemea sana enzi na enzi lisha kufa.

Kahawa mikoa ya kaskazini inaendekea kufa,Kilimanjaro kule hakuna mtu anataka kulima kahawa tena, kote huko Arusha na kadhalika.

Zilizo kuwa shule za michepuo ya kilimo zisha jifia zote, sasa kilimo kipi tunakuza? nenda tembelea kwenye vyuo vya kati vya kilimo uone vilivyo choka mbaya. Huwezi zungumzia Kilimo bila kusapoti elimu ya Kilimo.

Zamani tulikuwa na kiwanda kama ZZK Mbeya suna hakika kama kipo au kisha badilishiwa matumizi,unaweza kuta watu wanafugia mbuzi kwenye majengo ya kiwanda.

Kwa sasa hadi fyekeo tuna import then tunakuja kudanganyana kwamba tumekuza kilimo. Nchi imejaaa hadaaa sana hii

Bado wakulima wa mazao mengi wanalia na changaniti zikiwemo Bei kubwa sana za pembejeo, ikiwemo madawa, Mbolea na Mbegu. Bei ya mbegu tu kama za mahindi imekuwa inapanda kila msimu mpya wa kulima na haijawahi shuka bei kabisa.

Ukiuliza wakulima wengi wana pambana wenyewe hakuna sapoti wanayo pata kutoka Serikalini.

Raisi nazani anazungumzia yale mashamba ya Bashe, yale mashamba ya mchongo ,ila kilimo kama kilimo bado sana, Wakulima wanapambana wenyewe mwanzo mwisho.

Serikali ya CCM ikisha ona Raia wamevuna sasa ndio inaibuka kujisifu bila kujua mkulima ameteseka kiasi gani haswa na gharama kubwa sana za pembejeo.
Mfalme yuko uchi lakini wanamshangilia kuwa ameva suti maridadi!
 
Ukienda Kanda ya Ziwa kilimo cha pamba kimekufa na ile mikoa sasa ina idadi kubwa sana ya masikini kwa sababu moja ya zao walilo kuwa wanategemea sana enzi na enzi lisha kufa.

Kahawa mikoa ya kaskazini inaendekea kufa,Kilimanjaro kule hakuna mtu anataka kulima kahawa tena, kote huko Arusha na kadhalika.

Zilizo kuwa shule za michepuo ya kilimo zisha jifia zote, sasa kilimo kipi tunakuza? nenda tembelea kwenye vyuo vya kati vya kilimo uone vilivyo choka mbaya. Huwezi zungumzia Kilimo bila kusapoti elimu ya Kilimo.

Zamani tulikuwa na kiwanda kama ZZK Mbeya suna hakika kama kipo au kisha badilishiwa matumizi,unaweza kuta watu wanafugia mbuzi kwenye majengo ya kiwanda.

Kwa sasa hadi fyekeo tuna import then tunakuja kudanganyana kwamba tumekuza kilimo. Nchi imejaaa hadaaa sana hii

Bado wakulima wa mazao mengi wanalia na changaniti zikiwemo Bei kubwa sana za pembejeo, ikiwemo madawa, Mbolea na Mbegu. Bei ya mbegu tu kama za mahindi imekuwa inapanda kila msimu mpya wa kulima na haijawahi shuka bei kabisa.

Ukiuliza wakulima wengi wana pambana wenyewe hakuna sapoti wanayo pata kutoka Serikalini.

Raisi nazani anazungumzia yale mashamba ya Bashe, yale mashamba ya mchongo ,ila kilimo kama kilimo bado sana, Wakulima wanapambana wenyewe mwanzo mwisho.

Serikali ya CCM ikisha ona Raia wamevuna sasa ndio inaibuka kujisifu bila kujua mkulima ameteseka kiasi gani haswa na gharama kubwa sana za pembejeo.
Wewe wa mjini utaona kipi zaidi ya kuona chupi ya mkeo na madanga Yako?

Tuulize sisi wa Vijijini tukujibu.
 
UKiwa chawa huwezi kuwa akili, huwezi kuwa mkweli, hata kama ulikuwa na weledi wowote, nao unakufa na kupotea.

Kwa ujumla kilimo cha Tanzania kinazidi kudidimia. Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kutamka kuwa eti kilimo cha Tanzania kimenawiri. Kilichonawiri sana ni ufisadi kupitia miradi ya kilimo ya Bashe.

Anayeaema kilimo kimenawiri alete takwimu za exports za mazao kwa miaka hata 10 tu. Kati 2010 mpaka sasa, thamani ya exports za mazao imeshuka kwa 50%, lakini kuna vichaa wanasema kuna maendeleo kwenye kilimo!!
 
Kuna tani 2m za chakula zimezalishwa zaidi,na el nino imevuruga mazao mengine ya biashara,siku hizi tunatumia power tiller kwenye kilimo,siyo zana zinazozalishwa zzk mbeya
 
Wewe wa mjini utaona kipi zaidi ya kuona chupi ya mkeo na madanga Yako?

Tuulize sisi wa Vijijini tukujibu.
Sikiliza nyie vilaza, Kilimo sio kutifua aridhi na kupanda mbegu, na kuvuna. Kilimo kina mambo mengi. Mapinduzu ya kilimo unayajua? au huku Tanzania mna definition yenu?

Taja viwanda vingapi vya zana za kilimo, hayo ndio mapinduzi namba moja ya Kilimo Duniani kote.
Vipi watalamu wetu? Vipi vyuo vya kilimo vuko equiped? vina fund za utafiti wa mbegu na kadhalika? Vyuo vya kilimo vina hali mbaya sana kifedha, na mnazungumzia mapinduzi ya kilimo.

Vipi life la hao wakulima huko vijijini? si ndio kuna umasikini wa kutisha hadu kesho?

Wadanganyeni wajinga kwamba mageuzi ya kilimo ni kutifua aridhi na kupanda.
 
Kuna tani 2m za chakula zimezalishwa zaidi,na el nino imevuruga mazao mengine ya biashara,siku hizi tunatumia power tiller kwenye kilimo,siyo zana zinazozalishwa zzk mbeya
Taifa la vilaza, zana za kilimo unajua ni trekita pekee? KWa akili zako za kuvukia Barabara unazania kilimo ni kutifua aridhi na kuotesha basi kazi imeisha? Taifa limejaaa sana wajinga hili. Unajua kilimo lakini?
 
UKiwa chawa huwezi kuwa akili, huwezi kuwa mkweli, hata kama ulikuwa na weledi wowote, nao unakufa na kupotea.

Kwa ujumla kilimo cha Tanzania kinazidi kudidimia. Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kutamka kuwa eti kilimo cha Tanzania kimenawiri. Kilichonawiri sana ni ufisadi kupitia miradi ya kilimo ya Bashe.

Anayeaema kilimo kimenawiri alete takwimu za exports za mazao kwa miaka hata 10 tu. Kati 2010 mpaka sasa, thamani ya exports za mazao imeshuka kwa 50%, lakini kuna vichaa wanasema kuna maendeleo kwenye kilimo!!
Hakuna mageuzi ya kilimo zaidi ya hadaa,
 
Taifa la vilaza, zana za kilimo unajua ni trekita pekee? KWa akili zako za kuvukia Barabara unazania kilimo ni kutifua aridhi na kuotesha basi kazi imeisha? Taifa limejaaa sana wajinga hili. Unajua kilimo lakini?
Kwenye kilimo cha mahindi,mpunga,bustani,pamba,tumbaku nk,utahitaji vifaa vya kulimia ambavyo ni majembe, power tiller,trekta,majembe wengi tushaachana nayo,tupo kwenye power tiller, trekta,zzk hawana zana yoyote ya maana shambani,hata bomba la kupulizia dawa ni kutoka china,hujui kulima,unakuja kuleta dharau kwa watu tunaolima tangu 1989
 
Ukienda Kanda ya Ziwa kilimo cha pamba kimekufa na ile mikoa sasa ina idadi kubwa sana ya masikini kwa sababu moja ya zao walilo kuwa wanategemea sana enzi na enzi lisha kufa.

Kahawa mikoa ya kaskazini inaendekea kufa,Kilimanjaro kule hakuna mtu anataka kulima kahawa tena, kote huko Arusha na kadhalika.

Zilizo kuwa shule za michepuo ya kilimo zisha jifia zote, sasa kilimo kipi tunakuza? nenda tembelea kwenye vyuo vya kati vya kilimo uone vilivyo choka mbaya. Huwezi zungumzia Kilimo bila kusapoti elimu ya Kilimo.

Zamani tulikuwa na kiwanda kama ZZK Mbeya suna hakika kama kipo au kisha badilishiwa matumizi,unaweza kuta watu wanafugia mbuzi kwenye majengo ya kiwanda.

Kwa sasa hadi fyekeo tuna import then tunakuja kudanganyana kwamba tumekuza kilimo. Nchi imejaaa hadaaa sana hii

Bado wakulima wa mazao mengi wanalia na changaniti zikiwemo Bei kubwa sana za pembejeo, ikiwemo madawa, Mbolea na Mbegu. Bei ya mbegu tu kama za mahindi imekuwa inapanda kila msimu mpya wa kulima na haijawahi shuka bei kabisa.

Ukiuliza wakulima wengi wana pambana wenyewe hakuna sapoti wanayo pata kutoka Serikalini.

Raisi nazani anazungumzia yale mashamba ya Bashe, yale mashamba ya mchongo ,ila kilimo kama kilimo bado sana, Wakulima wanapambana wenyewe mwanzo mwisho.

Serikali ya CCM ikisha ona Raia wamevuna sasa ndio inaibuka kujisifu bila kujua mkulima ameteseka kiasi gani haswa na gharama kubwa sana za pembejeo.
Kilimo cha Bashe cha Bibi Titi ambacho vijana walikimbia kambi baada ya kuona mbabaishaji
 
Taifa la vilaza, zana za kilimo unajua ni trekita pekee? KWa akili zako za kuvukia Barabara unazania kilimo ni kutifua aridhi na kuotesha basi kazi imeisha? Taifa limejaaa sana wajinga hili. Unajua kilimo lakini?
Ww mwenyewe ungekuwa sio kilaza ungeshinda jf
 
Bashe anaajenda zake za siri. Tumeshamjua, analiwa timing tu.

Akae atafakari, hizo harakati zake hazitamfikisha popote. Amejaa ujanja ujanja wa kutaja matakwimu ya kupika.

Watu wanaona mtu akitaja taja namba basi hata hawa viongozi wengine wavivu kujiridhisha wanakuona mtu wa maana sana.

Popote ukitaka utoboe wewe jifanye mzee wa takwimu bila kujali uhalali wake.
 
Ukienda Kanda ya Ziwa kilimo cha pamba kimekufa na ile mikoa sasa ina idadi kubwa sana ya masikini kwa sababu moja ya zao walilo kuwa wanategemea sana enzi na enzi lisha kufa.

Kahawa mikoa ya kaskazini inaendekea kufa,Kilimanjaro kule hakuna mtu anataka kulima kahawa tena, kote huko Arusha na kadhalika.

Zilizo kuwa shule za michepuo ya kilimo zisha jifia zote, sasa kilimo kipi tunakuza? nenda tembelea kwenye vyuo vya kati vya kilimo uone vilivyo choka mbaya. Huwezi zungumzia Kilimo bila kusapoti elimu ya Kilimo.

Zamani tulikuwa na kiwanda kama ZZK Mbeya suna hakika kama kipo au kisha badilishiwa matumizi,unaweza kuta watu wanafugia mbuzi kwenye majengo ya kiwanda.

Kwa sasa hadi fyekeo tuna import then tunakuja kudanganyana kwamba tumekuza kilimo. Nchi imejaaa hadaaa sana hii

Bado wakulima wa mazao mengi wanalia na changaniti zikiwemo Bei kubwa sana za pembejeo, ikiwemo madawa, Mbolea na Mbegu. Bei ya mbegu tu kama za mahindi imekuwa inapanda kila msimu mpya wa kulima na haijawahi shuka bei kabisa.

Ukiuliza wakulima wengi wana pambana wenyewe hakuna sapoti wanayo pata kutoka Serikalini.

Raisi nazani anazungumzia yale mashamba ya Bashe, yale mashamba ya mchongo ,ila kilimo kama kilimo bado sana, Wakulima wanapambana wenyewe mwanzo mwisho.

Serikali ya CCM ikisha ona Raia wamevuna sasa ndio inaibuka kujisifu bila kujua mkulima ameteseka kiasi gani haswa na gharama kubwa sana za pembejeo.
Wabongo bana kwa kupenda na kuendekeza kula kula tuu. Kila mada ina mrengo wa msosi.

Tufanyeni kazi jamani.

RRONDO
 
Back
Top Bottom