Ni Kiongozi gani nchini aliingiza Malori 500 Mwezi Machi?

Ni Kiongozi gani nchini aliingiza Malori 500 Mwezi Machi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na baada ya Kuyaingiza Ili Wafukuaji Wabobezi wa Taarifa Ngumu, za Ndani na za Hatari akina GENTAMYCINE wasijue akaona Ili Kutuzuga na Kutuficha Watanzania ayawekee Nembo ( Chapa ) ya Kampuni kubwa inayoidhamini Klabu Moja ya Mpira isiyopendwa na GENTAMYCINE na iliyomsajili Mchezaji Mmoja Mwizi na Mwendawazimu.

Yaliingia rasmi nchini Tanzania Mwezi Machi mwaka huu wa 2022 na mpaka sasa ( Leo ) naandika huu Uzi ni kwamba Magari ( Malori ) 300 tayari yako Barabarani yanasafirisha Bidhaa ( Mizigo ) nchi za Congo DR, Zambia, Malawi, Rwanda, Kenya na Burundi ila Malori ( Magari ) 200 bado yanasubiria ( yanasubiri ) kupangiwa Ruti.

Hivyo basi GENTAMYCINE naomba nichukue Fursa hii kumuomba huyo Kiongozi aliyeiingiza haya Malori yake 500 Mwezi Machi mwaka 2022 ayauze upesi ili Hela itakayopatikana atusaidie Kutujengea Visima vya Maji Dar es Salaam ili Mgawo uishe, atununulie Maharage tulie Ugali kwani hii ya Kilo kuwa Tsh 4,000/= sasa hatuiwezi na kama Chenji itabakia basi itumike kutununulia 'Mabando' ya 'Internet' ili 24/7 tuwepo Hewani ( Online ) na tuendelee Kumshauri, Kumsaidia na Kumfundisha jinsi ya Kufikiri kusudi Mambo yake ya SIRI yasiwe yanajulikana Kiurahisi na Wafukua SiRI tuliotukuka.
 
mwe kwani wewe si unknown? si mtaje tu humu
Kwani ukituliza vyema kabisa Akili yako na kuyasoma vyema Maelezo yangu una uhakika kuwa sijamtaja / hajatajwa?

Wapishe wenye Akili Kubwa hapa JamiiForums na ambao huwa wananielewa haraka GENTAMYCINE waje wachangie na utamjua na Kujifunza pia.
 
Na baada ya Kuyaingiza Ili Wafukuaji Wabobezi wa Taarifa Ngumu, za Ndani na za Hatari akina GENTAMYCINE wasijue akaona Ili Kutuzuga na Kutuficha Watanzania ayawekee Nembo ( Chapa ) ya Kampuni kubwa inayoidhamini Klabu Moja ya Mpira isiyopendwa na GENTAMYCINE na iliyomsajili Mchezaji Mmoja Mwizi na Mwendawazimu.
msaidia na Kumfundisha jinsi ya Kufikiri kusudi Mambo yake ya SIRI yasiwe yanajulikana Kiurahisi na Wafukua SiRI tuliotukuka.
🤣🤣🤣Ila Genta shikamoo
 
Inamaana SMG ni Chaka la wabadhilifu?
Huwa napenda mno Watu 'Intelligent' kama Wewe hapa JamiiForums na ambao huwa mna Akili za haraka za Kunielewa GENTAMYCINE.

Mkuu hao ( hawa ) akina MSG siyo tu Chaka la aliyeyaingiza hayo Malori 500 bali pia ni Chaka Kuu za yule Mr. Smiling Mswahili.
 
Kadiri siku zinavyozidi kusogea ndipo Ile picha ya Mzee marehemu kweli kuna watu wamesababisha kifo chake...hata Mimi napata picha kuwa MZEE SMILING NI MUUAJI MKUU WA MZEE WETU maana jinsi anavyopiga hela za watanzania ni dhahiri huyu Mzee kuna namna alifanya
 
Kadiri siku zinavyozidi kusogea ndipo Ile picha ya Mzee marehemu kweli kuna watu wamesababisha kifo chake...hata Mimi napata picha kuwa MZEE SMILING NI MUUAJI MKUU WA MZEE WETU maana jinsi anavyopiga hela za watanzania ni dhahiri huyu Mzee kuna namna alifanya
Taratibu akili zitawarudia "Kazi iendelee" pale ilipoishia
 
Mzee anisamehe Tu Huko Aliko kwasababu pengo lake SASA ndiyo naliona kabisaa!!!! Tulikuwa tunamkataa kipindi yupo hai Ila umuhimu wake unaonekana
Ushabiki mandazi sio mzuri siku zote, mtamkumbuka sana yani na bado. Uzuri sikuzote umuhimu wa mtu huonekanaga akiwa hayupo. Leo hii naogea maji ya chumvi karibu kabisa na ilipo city center, kama ambavyo nilikuwa nayaogea mwaka 2010!

Yale aliokuwa akiongea majukwaani ndio yale yale yanafanyika. Nchi imerudi kwa wapiga dili.

Kweli kazi inaendelea.
 
Back
Top Bottom