Hela ndogo sana 20,000,000 USD hata Samatta anaweza kuzinunua elfu.500x100,000,000=50,000,000,000
Billion 50,kumbe sio hela nyingi sana
Kumbuka kipindi kile tulipoteza 1.5 trillion
Ila Jamaa tutamkumbuka tu..
Extrovert
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela ndogo sana 20,000,000 USD hata Samatta anaweza kuzinunua elfu.500x100,000,000=50,000,000,000
Billion 50,kumbe sio hela nyingi sana
Kumbuka kipindi kile tulipoteza 1.5 trillion
Mkuu FB, insta au Twitter?Na ukienda kwenye page ya yule anaye jiita bugatti ...alijirecord nayo video....aisee kimoyo moyo nikajisemea kumbe malori yanalipa hivi
Sins maslahi yeyote na GSM . Vipi weweSasa kwanini utukane? Una masilahi yoyote na GSM?
Saddist majority wakiumia wewe unapata raha sana possiblyMzee anisamehe Tu Huko Aliko kwasababu pengo lake SASA ndiyo naliona kabisaa!!!! Tulikuwa tunamkataa kipindi yupo hai Ila umuhimu wake unaonekana
Nionyeshe mahala popote katika Maelezo yangu nimemtaja huyo Mstaafu wako.Mstaafu hana hayo mambo... Acha wivu utakuua kijana
Unamaanisha nini? Au Kutoa roho!BORA WEZI KULIKO YULE MUUAJI WA CHATLLE
Mkuu hapa umenichekesha sana! Kha! 🤣ya Kampuni kubwa inayoidhamini Klabu Moja ya Mpira isiyopendwa na GENTAMYCINE na iliyomsajili Mchezaji Mmoja Mwizi na Mwendawazimu.
Oya hivi nikienda China na Kukaa Siku Mbili au Tatu tu naweza Kutumia Kiasi gani Mkuu? Nataka kusafiri huko tarehe 2 Novemba na kurejea Tanzania tarehe 4 Novemba.Atakuwa ni Prince Dube.
Inayonifanya niwe this Genius and Threat hapa na Kwingineko kote ambako huwa nakuwepo kwa Taarifa zangu za uhakka 100%.GENTA anatumiaga bangi?
Umeteuliwa lini na JamiiForums Members kuwa Spokesman / Spokeswomen Wao? Idiot...!!!!!!Weka ushahidi ili tukuelewe maana kukuamini hatuwezi
Sijui.Huyo atakuwa ni mzee wa bagamoyo nasikia ni mmiliki pia wa giesiem
Kwani kuingiza maloli nhini ni makosa? Maana sijaona ulipotaja kosa lake huyo tajiri..Na baada ya Kuyaingiza Ili Wafukuaji Wabobezi wa Taarifa Ngumu, za Ndani na za Hatari akina GENTAMYCINE wasijue akaona Ili Kutuzuga na Kutuficha Watanzania ayawekee Nembo ( Chapa ) ya Kampuni kubwa inayoidhamini Klabu Moja ya Mpira isiyopendwa na GENTAMYCINE na iliyomsajili Mchezaji Mmoja Mwizi na Mwendawazimu.
Yaliingia rasmi nchini Tanzania Mwezi Machi mwaka huu wa 2022 na mpaka sasa ( Leo ) naandika huu Uzi ni kwamba Magari ( Malori ) 300 tayari yako Barabarani yanasafirisha Bidhaa ( Mizigo ) nchi za Congo DR, Zambia, Malawi, Rwanda, Kenya na Burundi ila Malori ( Magari ) 200 bado yanasubiria ( yanasubiri ) kupangiwa Ruti.
Hivyo basi GENTAMYCINE naomba nichukue Fursa hii kumuomba huyo Kiongozi aliyeiingiza haya Malori yake 500 Mwezi Machi mwaka 2022 ayauze upesi ili Hela itakayopatikana atusaidie Kutujengea Visima vya Maji Dar es Salaam ili Mgawo uishe, atununulie Maharage tulie Ugali kwani hii ya Kilo kuwa Tsh 4,000/= sasa hatuiwezi na kama Chenji itabakia basi itumike kutununulia 'Mabando' ya 'Internet' ili 24/7 tuwepo Hewani ( Online ) na tuendelee Kumshauri, Kumsaidia na Kumfundisha jinsi ya Kufikiri kusudi Mambo yake ya SIRI yasiwe yanajulikana Kiurahisi na Wafukua SiRI tuliotukuka.
Ni za huyo Kiongozi wako na aliziingiza 500 ila sasa zilizoko Kazini ( Barabarani ) ni 300 na 200 basi zinasubiri Kupangiwa Ruti.Hizo gari zimepeleka mbolea .cement .drc mzigo wa kutosha. Na zinarudi na colbat za kutosha zaidi
Mkuu nilikua hapo Kilima hewa Ushirombo.Pumbafu ila daah basi tu jana nilikuwa ushirombo karibu na bango la kanisa la Nyumba ya mkate yamepita kama 45 hivi yamefuatana nikabaki nasonya tu huku naelekea kanisani Mungu atufurahishe kama alivyo tufurahisha 9. 21 20.3
mi nataka hii hali iendelee hiivi au izidi, maana nyinyi watz maskini mlikuwa mnafuata mkumbo pasi kutumia akili. sasa watu wanalamba asali mnabaki kupiga kelele. sasa hamna maji wala umeme.Mzee anisamehe Tu Huko Aliko kwasababu pengo lake SASA ndiyo naliona kabisaa!!!! Tulikuwa tunamkataa kipindi yupo hai Ila umuhimu wake unaonekana