Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DUNIANI hauwezi kupendwa na wote hivyo usitulaumu Sana Kwa kumkosoa magufulimi nataka hii hali iendelee hiivi au izidi, maana nyinyi watz maskini mlikuwa mnafuata mkumbo pasi kutumia akili. sasa watu wanalamba asali mnabaki kupiga kelele. sasa hamna maji wala umeme.
kwani sasa hivi wewe unapiga piaTofauti ni kwamba awali mpigaji alikuwa ni mtu mmoja pekee mwenye choyo asiyetaka yeyote ale wala kusogelea.
Now upo wapi Njoo kwa Henry hapa nakula cha mchanaMkuu nilikua hapo Kilima hewa Ushirombo.
Mkuu inabidi nipate connection ya hiyo job kwa DP hapo hata kama haina malipo.Kwahiyo sasa nchi inaliwa mande sio. Tunapigwa mtungo.
Basi kila mtu akae na kilainishi
Tuwekee code tuifungue mkuuNa baada ya Kuyaingiza Ili Wafukuaji Wabobezi wa Taarifa Ngumu, za Ndani na za Hatari akina GENTAMYCINE wasijue akaona Ili Kutuzuga na Kutuficha Watanzania ayawekee Nembo ( Chapa ) ya Kampuni kubwa inayoidhamini Klabu Moja ya Mpira isiyopendwa na GENTAMYCINE na iliyomsajili Mchezaji Mmoja Mwizi na Mwendawazimu.
Yaliingia rasmi nchini Tanzania Mwezi Machi mwaka huu wa 2022 na mpaka sasa ( Leo ) naandika huu Uzi ni kwamba Magari ( Malori ) 300 tayari yako Barabarani yanasafirisha Bidhaa ( Mizigo ) nchi za Congo DR, Zambia, Malawi, Rwanda, Kenya na Burundi ila Malori ( Magari ) 200 bado yanasubiria ( yanasubiri ) kupangiwa Ruti.
Hivyo basi GENTAMYCINE naomba nichukue Fursa hii kumuomba huyo Kiongozi aliyeiingiza haya Malori yake 500 Mwezi Machi mwaka 2022 ayauze upesi ili Hela itakayopatikana atusaidie Kutujengea Visima vya Maji Dar es Salaam ili Mgawo uishe, atununulie Maharage tulie Ugali kwani hii ya Kilo kuwa Tsh 4,000/= sasa hatuiwezi na kama Chenji itabakia basi itumike kutununulia 'Mabando' ya 'Internet' ili 24/7 tuwepo Hewani ( Online ) na tuendelee Kumshauri, Kumsaidia na Kumfundisha jinsi ya Kufikiri kusudi Mambo yake ya SIRI yasiwe yanajulikana Kiurahisi na Wafukua SiRI tuliotukuka.
Safari ya kutoka nchini Tanzania hadi nchini China kwa Ndege ( Bung'o ) kama nikisafiri tarehe 2 Novemba na kurejea tarehe 4 Novemba ni Shilingi ngapi na ni Umbali gani pia?Tuwekee code tuifungue mkuu
😆😆😆😆Kwahiyo sasa nchi inaliwa mande sio. Tunapigwa mtungo.
Basi kila mtu akae na kilainishi
Say no moreSafari ya kutoka nchini Tanzania hadi nchini China kwa Ndege ( Bung'o ) kama nikisafiri tarehe 2 Novemba na kurejea tarehe 4 Novemba ni Shilingi ngapi na ni Umbali gani pia?
Na baada ya Kuyaingiza Ili Wafukuaji Wabobezi wa Taarifa Ngumu, za Ndani na za Hatari akina GENTAMYCINE wasijue akaona Ili Kutuzuga na Kutuficha Watanzania ayawekee Nembo ( Chapa ) ya Kampuni kubwa inayoidhamini Klabu Moja ya Mpira isiyopendwa na GENTAMYCINE na iliyomsajili Mchezaji Mmoja Mwizi na Mwendawazimu.
Yaliingia rasmi nchini Tanzania Mwezi Machi mwaka huu wa 2022 na mpaka sasa ( Leo ) naandika huu Uzi ni kwamba Magari ( Malori ) 300 tayari yako Barabarani yanasafirisha Bidhaa ( Mizigo ) nchi za Congo DR, Zambia, Malawi, Rwanda, Kenya na Burundi ila Malori ( Magari ) 200 bado yanasubiria ( yanasubiri ) kupangiwa Ruti.
Hivyo basi GENTAMYCINE naomba nichukue Fursa hii kumuomba huyo Kiongozi aliyeiingiza haya Malori yake 500 Mwezi Machi mwaka 2022 ayauze upesi ili Hela itakayopatikana atusaidie Kutujengea Visima vya Maji Dar es Salaam ili Mgawo uishe, atununulie Maharage tulie Ugali kwani hii ya Kilo kuwa Tsh 4,000/= sasa hatuiwezi na kama Chenji itabakia basi itumike kutununulia 'Mabando' ya 'Internet' ili 24/7 tuwepo Hewani ( Online ) na tuendelee Kumshauri, Kumsaidia na Kumfundisha jinsi ya Kufikiri kusudi Mambo yake ya SIRI yasiwe yanajulikana Kiurahisi na Wafukua SiRI tuliotukuka.
Dogo kafungua codeHuwa napenda mno Watu 'Intelligent' kama Wewe hapa JamiiForums na ambao huwa mna Akili za haraka za Kunielewa GENTAMYCINE.
Mkuu hao ( hawa ) akina MSG siyo tu Chaka la aliyeyaingiza hayo Malori 500 bali pia ni Chaka Kuu za yule Mr. Smiling Mswahili.
KJM[emoji1787]Huwa napenda mno Watu 'Intelligent' kama Wewe hapa JamiiForums na ambao huwa mna Akili za haraka za Kunielewa GENTAMYCINE.
Mkuu hao ( hawa ) akina MSG siyo tu Chaka la aliyeyaingiza hayo Malori 500 bali pia ni Chaka Kuu za yule Mr. Smiling Mswahili.
Horse pekee ya kichina ni zaidi ya hiyo bei500x100,000,000=50,000,000,000
Billion 50,kumbe sio hela nyingi sana
Kumbuka kipindi kile tulipoteza 1.5 trillion
hahahaha,nimekuelewa chief.hata baadhi ya madereva wanahizi tetesi za mmlikiNi za huyo Kiongozi wako na aliziingiza 500 ila sasa zilizoko Kazini ( Barabarani ) ni 300 na 200 basi zinasubiri Kupangiwa Ruti.
Hivi nikienda China tarehe 2 Novemba na kurejea nchini Tanzania tarehe 4 Novemba kwa mliosafiri huko naweza kutakiwa kuwa na Kiasi gani ( Shilingi ngapi ) cha Matumizi kwani nataka kwenda huko Kibiashara.
Kiongozi hapo ana 50% Share, Mshauri wake Mswahili ana 20% shares na Wageni ( Investors ) wana 30% share yao.Kuna vyuma vinashushwa vingi mno afu vipya
Angalia SHTL, Ruvuma Coal, Blue Coast, Africarriers, GSM, Usangu, Transcargo
Hawa kwa ujumla wameshusha zaidi ya lori mpya 2000+
hahahaha,nimekuelewa chief.hata baadhi ya madereva wanahizi tetesi za mmlikiNi za huyo Kiongozi wako na aliziingiza 500 ila sasa zilizoko Kazini ( Barabarani ) ni 300 na 200 basi zinasubiri Kupangiwa Ruti.
Hivi nikienda China tarehe 2 Novemba na kurejea nchini Tanzania tarehe 4 Novemba kwa mliosafiri huko naweza kutakiwa kuwa na Kiasi gani ( Shilingi ngapi ) cha Matumizi kwani nataka kwenda huko Kibiashara.