Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ushaambiwa kula kwa urefu wa kamba yako au kamba uioni nini?Kwahiyo sasa nchi inaliwa mande sio. Tunapigwa mtungo.
Basi kila mtu akae na kilainishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaambiwa kula kwa urefu wa kamba yako au kamba uioni nini?Kwahiyo sasa nchi inaliwa mande sio. Tunapigwa mtungo.
Basi kila mtu akae na kilainishi
Ulikuwa hujui!!??Inamaana SMG ni Chaka la wabadhilifu?
Gentamycine unataka rushwa eti?Mweke hadharani tumzodoweNa baada ya Kuyaingiza Ili Wafukuaji Wabobezi wa Taarifa Ngumu, za Ndani na za Hatari akina GENTAMYCINE wasijue akaona Ili Kutuzuga na Kutuficha Watanzania ayawekee Nembo ( Chapa ) ya Kampuni kubwa inayoidhamini Klabu Moja ya Mpira isiyopendwa na GENTAMYCINE na iliyomsajili Mchezaji Mmoja Mwizi na Mwendawazimu.
Yaliingia rasmi nchini Tanzania Mwezi Machi mwaka huu wa 2022 na mpaka sasa ( Leo ) naandika huu Uzi ni kwamba Magari ( Malori ) 300 tayari yako Barabarani yanasafirisha Bidhaa ( Mizigo ) nchi za Congo DR, Zambia, Malawi, Rwanda, Kenya na Burundi ila Malori ( Magari ) 200 bado yanasubiria ( yanasubiri ) kupangiwa Ruti.
Hivyo basi GENTAMYCINE naomba nichukue Fursa hii kumuomba huyo Kiongozi aliyeiingiza haya Malori yake 500 Mwezi Machi mwaka 2022 ayauze upesi ili Hela itakayopatikana atusaidie Kutujengea Visima vya Maji Dar es Salaam ili Mgawo uishe, atununulie Maharage tulie Ugali kwani hii ya Kilo kuwa Tsh 4,000/= sasa hatuiwezi na kama Chenji itabakia basi itumike kutununulia 'Mabando' ya 'Internet' ili 24/7 tuwepo Hewani ( Online ) na tuendelee Kumshauri, Kumsaidia na Kumfundisha jinsi ya Kufikiri kusudi Mambo yake ya SIRI yasiwe yanajulikana Kiurahisi na Wafukua SiRI tuliotukuka.
Pole sana, kwa kinywa chake alishawahi kusema naye kwenye hiyo biashara yumo ni 2015 pale ubungo plaza.Mstaafu hana hayo mambo... Acha wivu utakuua kijana
Ongezea na ASAS brand new truck from Scania.Kuna vyuma vinashushwa vingi mno afu vipya
Angalia SHTL, Ruvuma Coal, Blue Coast, Africarriers, GSM, Usangu, Transcargo
Hawa kwa ujumla wameshusha zaidi ya lori mpya 2000+
Kumbe ndiyo maana kuna jamaa aliandika hapa, makaa ya mawe kusafirishwa, kwa magari SMG badala ya njia ya bahari, kitendo kinacho wanyima Riziki wahanjaji pale bandalini.Dah,kumbe zile gari zote ni za kiongozi...
So kumbe wale jamaa ni kuzugisha tu,sio mchezo.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Pumbavu usinilazimishe niandike utakavyo Pang'ang'a Wewe na bado hujawa na wala huna Mamlaka hayo pia sawa?Acha kutuletea code ,wengine sio washwahili kwa kutuletea mafumbo wewe mtaje tu, si ajabu tumebaki watu wa majungu hata huku umeufyata kweli utaweza kutoka barabarani na kusema yanyokukera? watanzania waoga sana, tumezidiwa kwa mbali sana na Wakenya,Wamalawi,Wazambia
TRC ilikua ifike Moro toka Dar 2019 November. Leo hii 2022 November bado SGR haijabeba hata watoto wadogo kwenda Moro.Tusitegemee TRC ije kusimama, wazee wa malori hawatakubali kamwe.
utabaki na matimaini mpaka unakufa mkuu. wewe kaa kwavkutulia tu, tunywe maji ya chumvi na kukaa gizaniJapo kuna tumaini kwa mbali na ajira kwenye malori ya masafa marefu.
sawa, ila sisi tunajua ni kweliHAKUNA LOLOTE HUYU JAMAA NI MUOTA NJOZI TU, HAKUNA HATA KIMOJA CHA UKWELI MAZUNGUMZO YA TSHISEKEDI ZAIDI YALIKUWA YA KIUCHUMI NA SI VILE MDHANIAVYO.
yeye ndo aliwazuia wasijenge au pesa za upigaji ndo zinajenga sasa hv ?Hata yeye alikuwa mpigaji tu akijificha ndani ya ngozi ya kondoo hamuoni maghorofa yanavyopanda kariakoo chini ya my sisters baby?
tutajie mali zake sasa hv , mnaomchukia ni wengi ila hawajapata cha kumchafua mpk sasaTofauti ni kwamba awali mpigaji alikuwa ni mtu mmoja pekee mwenye choyo asiyetaka yeyote ale wala kusogelea.
tirion mpk leo hatuon impact aliyoiacha au unahisi Tirion ni ela ya mboga ?500 drivers wamepata ajira hapo
Ila mwanzo ungesikia CAG anasema kuna trillions kadhaa sizioni ila zilikuwa hapa
Sasa bora nani hapa
Wote ni waizi ila wengine wanaiba na kula na wengine
Sipendi wizi kabisa ila ndio imekuwa jadi kwenu ibeni tu
impact yake ni ipi , onesha alichoacha kama.ushaidi , Muda mwingine mnakuwa wapumbav kwa mihemko ya kijinga500x100,000,000=50,000,000,000
Billion 50,kumbe sio hela nyingi sana
Kumbuka kipindi kile tulipoteza 1.5 trillion
Kazi ipo aseeKadiri siku zinavyozidi kusogea ndipo Ile picha ya Mzee marehemu kweli kuna watu wamesababisha kifo chake...hata Mimi napata picha kuwa MZEE SMILING NI MUUAJI MKUU WA MZEE WETU maana jinsi anavyopiga hela za watanzania ni dhahiri huyu Mzee kuna namna alifanya