Ni Kiongozi gani nchini aliingiza Malori 500 Mwezi Machi?

Ni Kiongozi gani nchini aliingiza Malori 500 Mwezi Machi?

Mzee walimuondoa ili wajiachie watakavyo.
You can change what you do..but you can't Change what you want!

Wakati unachukua chapaa za watu hukujua watu wanadhirika?
Kwamba wakati unapiga pini vyanzo vyao vya kula hukujua nao wanaumia?

Na hukubadilisha ulichokua unataka ila ukabadilisha namna ya kukipata, wao wakikuangalia tu! Leo wanajazia palipopungua usilalamike,kama ni gharama uliingia na wao pia waliumia it's a Game Bro!

And you are a Looser..!

Na ww Gentamycine...hizo Lory mbona ni Investment Ndogo sana kwa kulinganisha na watu wa kariba yake? Mwacheni ndio kwanza anaanza hana kitu...ndo kwanza na yeye anatafuta ugali wa watoto...na mbona vipindi vyote hamkuhojiana mje leo kumuonea bint wa watu...

Ila hamjaelewa somo...ngoja siku akae mchaga hapo juu mtacheka na kulia kwa pamoja....mtamkumbuka mzee Mrema...
 
Lori 300 ziongezeke zitaonekana ongezeko la msongamano mipakani na pia madereva ni hawa hawa utawasikia wakitoka huku kukimbilia wao wanaita fursa mpya inawezekana wameleta maroli ila sio idadi hiyo unasema yangeokana usumfumbu wake bara barani ingawaje kwa upenyo walionao wanaweza kuleta idadi yeyote ya maroli...Dangote alipeleka baadhi ya maroli kwenda Zambia alipofungua kiwanda kule waje hapa watu wa Tunduma waeleze ile kero ya msongamano mpaka ikafikia zinapita gari za Dangote tuu kutoka asubuhi mpaka saa nne au tano kila siku na ilichukua wiki kadhaa...
 
500 drivers wamepata ajira hapo
Ila mwanzo ungesikia CAG anasema kuna trillions kadhaa sizioni ila zilikuwa hapa

Sasa bora nani hapa
Wote ni waizi ila wengine wanaiba na kula na wengine
Sipendi wizi kabisa ila ndio imekuwa jadi kwenu ibeni tu
Hizo ajira bongo wahamiaji nao hupata.
 
Back
Top Bottom