Ni kipaji udambwi upi wamefanya Gaucho, Zidane na Okocha ambacho Neymar Jr hajakifanya katika mpira?

Tatizo umekuja na majibu Yako, ila Gaucho ni Nabii wa Ufundi wote wa
mpira hajawahi tokea mwingine.
Hao hawajamshuhudia gaucho jaman wamuulize David seven world cup dakika za jiooooon alipopiga direct free kick huyo ndo Gaucho uwanya ulikua unalipuka kila akishika mpira ety mess kijeba chabchenga moja goʻli hawez mfikia ucho
 
Gaucho mpira uliumbwa kwa ajili yake na mpka Leo hajazaliwa mwngne anaebisha tafuta mechi ya Chelsea vs Barcelona pale darajan na mechi ya ac Milan vs Barcelona pale sanciro
 
Si kweli
 
Neymar utoto mwingi
 
Neymar ni mtu na nusu,
Neymar ni mchezaji aliyekamilika Kila eneo anakupa magoli,burudani, skills,
n.b;I) Wachambuzi wa kibongobongo wanatukaririsha kuwa Neymar ni bishoo.
II)UKITAKA KUJUA NEYMAR NI FUNDI KULIKO GAUCHO,ANGALIA NUMBER ZAO.
 
Makofi kapigiwa Hadi inesta bernabeu
 
Tatizo umekuja na majibu Yako, ila Gaucho ni Nabii wa Ufundi wote wa
mpira hajawahi tokea mwingine.
Huo ni mtazamu tu mkuu ila sio utafuti Tena zaid nabii wako kazidiwa na Neymar mbali mno goals na assist
 
Ukweli mtupu
 
Hao hawajamshuhudia gaucho jaman wamuulize David seven world cup dakika za jiooooon alipopiga direct free kick huyo ndo Gaucho uwanya ulikua unalipuka kila akishika mpira ety mess kijeba chabchenga moja goʻli hawez mfikia ucho
Sasa iyo freeckick direct Messi kafunga ngapi?

Yaani hata gaucho mwenyewe anakili Messi yupo juu yake wewe unabisha duh
 
Gaucho mpira uliumbwa kwa ajili yake na mpka Leo hajazaliwa mwngne anaebisha tafuta mechi ya Chelsea vs Barcelona pale darajan na mechi ya ac Milan vs Barcelona pale sanciro
Kwa mechi mbili ndiyo Mpira uumbwe kwajiri yake mbona mnachekesha wazee
 
Nifafanue nini!?..yaani mtoe messi barcelona wanabaki xavi,iniesta,villa, ibrahimovic, Alves,busquet nk,wanakosa kombe hao!?
Khe angalia alikuwa anamaliza na assist ngapi na goals ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…