Ni kipaji udambwi upi wamefanya Gaucho, Zidane na Okocha ambacho Neymar Jr hajakifanya katika mpira?

Neymar hajafanya style Gani gaucho kafanya Neymar hajafanya?
 
Hajawai kufunga lile goli alilo wafungaga Chelsea huku akikata MAUNO Kama gaucho.

Neema hajawai kufunga kwa shuti la Kati Kati ya uwanja.

Gaucho amewai kugandisha mpira kifuani na kukimbia kwa kuwa hadaa maadui..

Gaucho amewai kupiga faulo na free kick ambazo huyo neima hajawai

Neema amewai kushinda world cup??!

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Katikati kafunga adi caceido wa Chelsea nae ni sawa na gaucho?

Kulikuwa na ulazima Gani kukatika kabla ya kupiga lile shuti kama sio ushoga ni nn?

WC anayo OLIVIER GIROUD je nae ni level moja na gaucho?
 
Free kick za ajabu Neymar kaangalie game ya Barca vs psg alipokuwa Barca ndiyo utaona Neymar alikuwa kichaa kabisa
 
Mpira wa kisasa umekuwa biashara zaidi kuliko burudani! Enzi za kina Ronadinho ndizo zilikuwa zinahitimisha enzi za kina Pele ambapo soka lilikuwa burudani kwanza kisha biashara! Makocha wa sasa wanazingaia team work zaidi kuliko personal talent! Leo Pele akicheza kama aliyokuwa anacheza ataishia benchi! Kwa sasa mwisho wa siku inatazamwa uchezaji wako unachangia kiasi gani kwenye kuleta ushindi kuliko kuburudisha!
 
Ronadinho hana mpinzani kwa burudani!

View: https://youtu.be/niKP23e2PH4?t=61
 
Na akishaanza kuwakata mabeki mpira haumponyoki mguuni utasema ana sumaku asee
Huyu kiumbe hana mfano kwenye football, ameifanyia kila kitu footbal, hakika hatumdai japo tutaendelea kuyasimulia maajabu yake vizazi na vizazi.
 
Unauhakika bibi yako hakuwa na tatizo la akili?
Tuliolelewa na wazazi hatuwezi kuandika hicho ulichoandika na tuliokulia Mjini..maana watu wa Vijijini wanaamini sana katika matusi kumbe ni aina fulani ya ushamba tu.
 
Tuliolelewa na wazazi hatuwezi kuandika hicho ulichoandika na tuliokulia Mjini..maana watu wa Vijijini wanaamini sana katika matusi kumbe ni aina fulani ya ushamba tu.
Sasa watu wazima TUNAONGEA unaleta reference ya bibi yako stupidy
 
Free kick za ajabu Neymar kaangalie game ya Barca vs psg alipokuwa Barca ndiyo utaona Neymar alikuwa kichaa kabisa
Hiyo game psg alikula 6
Messi alimuachia Neymar aamue game
 
Sasa watu wazima TUNAONGEA unaleta reference ya bibi yako stupidy
Mkuu mimi situkani ndio ujue malezi yangu na yako ni tofauti kabisaa...una utu uzima gani wa kutukana watu usiowajua..sema umeishi maisha mabovu na unaendelea kuishi life mbovu yenye full stress...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…