Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nimeandika hapo juu somaMawazo Gani hayo😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeandika hapo juu somaMawazo Gani hayo😄
chupa ya majiWewe ni Mimi kabisa.
Tafuta miti, kaptula na ghorofa.Kwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri 😁
Vijana wa ovyo watakuja 👇
"Tafuta pesa"
Hii ni ndoto ya walio wengi.... never give up.Natamani kupata pesa za kufanya maendeleo makubwa
Tafuta miti, kaptula na ghorofa.
Nimemaliza[emoji3]
Twende basi nitakua nakupikia pikia huko unaweza kuja hata na rafiki ako mi ntakua nawapiga na picha🤣🤣Tumefanana mawazo aisee,natamani hivyo pia.
Ukienda Kule ledjer hotel Ile hotel ya gadaffi....Kule bahari beach...Tafuta miti, kaptula na ghorofa.
Nimemaliza😀
Yani katika hivyo vyote nna kaptula tu basi 😔Tafuta miti, kaptula na ghorofa.
Nimemaliza😀
Utamwona tu....Kumuona my new gal furendi
Tatizo umesema utavaa kikaptula,sasa mimi nikiona miguu tu,nahisi uvumilivu kama unaweza ukaja kunishinda.Twende basi nitakua nakupikia pikia huko unaweza kuja hata na rafiki ako mi ntakua nawapiga na picha🤣🤣
Yani serious naitamani mahali kama hiyo halafu nikakae na simu yangu na mziki tu sitaki watu hata
Uza nunua miche 😂Yani katika hivyo vyote nna kaptula tu basi 😔
Fact nzuri sana dar pikipiki ndo mpango mzimaKununua pikipiki aina ya pulser mjini foleni zimekua shida asee hakuna maana ya kua na gari ata daladala shida tu.
Whr is the law of attraction when u need it.. pls universe 🤗
Ukiwa na Imani na kuzi tii amri zake anatupa ahad zake ufunuo 14:13Nataka niwe na uhakika wa kunyakuliwa bwana Yesu akirudi
Ila maisha yangu sasa 😑
🤣🤣🤣🤣Uza nunua miche 😂