SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
Asante mkuuUkiwa na Imani na kuzi tii amri zake anatupa ahad zake ufunuo 14:13
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuUkiwa na Imani na kuzi tii amri zake anatupa ahad zake ufunuo 14:13
Mimi nipo tayari,Chupayamaji The Icebreaker na mimi, kwanini tusikamilishe hii hamu yetu sasa😁
Sifa kubwa ya Ndege John ni kuwa na kichwa chenye kisogo kirefu na mdomo mrefuKushika millioni kumi kwa mara ya kwanza
🤣🤣🤣🤣Yani katika hivyo vyote nna kaptula tu basi 😔
🤣🤣🤣 Mjomba hebu niache kwanza 😂😂😂😂Uza nunua miche 😂
Kwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri 😁
Vijana wa ovyo watakuja 👇
"Tafuta pesa"
Cha green apple na tishirt black kubwa kubwa hiviMimi nipo tayari,
Utavaa kikaptula cha rangi gani?
😀😀
Mkuu unaweza kutu wekea japo ka picha Kwa tusio fahamu tujionee....Sifa kubwa ya Ndege John ni kuwa na kichwa chenye kisogo kirefu na mdomo mrefu
Vibe flani tu za kuipa akili amani, stress tunakua tumeziacha chini.....Tatizo umesema utavaa kikaptula,sasa mimi nikiona miguu tu,nahisi uvumilivu kama unaweza ukaja kunishinda.
😛 😛
Badili mavazi kwanza ili usilete kipingamizi ndio tupange safari.Cha green apple na tishirt black kubwa kubwa hivi
Pesa tutatumia zakwangu,wewe ni utayari wako tu.Vibe flani tu za kuipa akili amani, stress tunakua tumeziacha chini.....
Ngoja nitafute pesa kwakweli nitafute sehemu ya hivo nikakae hata siku moja natamani sana
Ndege joni ndio huyu.....Mkuu unaweza kutu wekea japo ka picha Kwa tusio fahamu tujionee....
Nimeimagine 😅😅😅Kwenda mahali ambapo kuna miti mingi na sauti za ndege, mi niwe ndani ya nyumba ghorofa naipata hiyo view ya miti kutoka ndani..... huku nimevaa kikaptula nasikiliza mziki huku napika pika vyakula vizuri vizuri 😁
Vijana wa ovyo watakuja 👇
"Tafuta pesa"
Yani 😁😁Nimeimagine 😅😅😅