Ni kipi ambacho unakihitaji sana muda huu? Someone might just surprise you

Tafuta miti, kaptula na ghorofa.
Nimemaliza😀
 
Kununua pikipiki aina ya pulser mjini foleni zimekua shida asee hakuna maana ya kua na gari ata daladala shida tu.

Whr is the law of attraction when u need it.. pls universe 🤗
 
Twende basi nitakua nakupikia pikia huko unaweza kuja hata na rafiki ako mi ntakua nawapiga na picha🤣🤣

Yani serious naitamani mahali kama hiyo halafu nikakae na simu yangu na mziki tu sitaki watu hata
Tatizo umesema utavaa kikaptula,sasa mimi nikiona miguu tu,nahisi uvumilivu kama unaweza ukaja kunishinda.

😛 😛
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…