stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Ngoja niwahi barabara ya Treni, Mambo yasiwe mengiUkiona barabara...... gari zinapita jirushe barabara I....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niwahi barabara ya Treni, Mambo yasiwe mengiUkiona barabara...... gari zinapita jirushe barabara I....
Laki 5 yao sijui 1 Million umeshawalipa TCRA au unataka wakudake wakulipishe Million 5 na Jela Mwaka?Natamani kupata 120,000 Tzs nikamilishe malipo ya Domain, Host nk ya Website/Blog yangu changamoto imekuwa kubwa sana pesa napata chache majukumu ya home makubwa nina Goals kadhaa huu mwaka kubwa ila nikikamilisha hii kwa wakati itaweza fungua zingine zaidi kwasbabu nimeamua kwa dhati kuwekeza nguvu kwenye TECHNOLOGY
Mpaka Sasa nimeshandaa makala zaidi ya 100 zenye ujazo wakutosha na kujifunza mbinu za SEO changamoto kumiliki Website, so Mungu anipe mtu atayeniwezesha hili hata kwa mkopo nitamlipa kidogo kidogo kila Mwezi maana changamoto kwangu kumiliki pesa ya pamoja majukumu
Hizi makala za Blog 👇👇
View attachment 2491270
Katika Goal nne za mwaka huu Blogging mojawapo na ndio natakiwa niifanye kwa haraka zaidi (Fast not Shortcut)
View attachment 2491261
Natamani kukamilisha hili kwa wakati sana
Umejaribu hii? Ukashindwa KUOPOA hata 5,000,000 kweli?Just five millions
Tsh 5,000,000
Only
😂😂😂😂😂😂!Ile fanta ya take away hasa ikiwa ya barid
Paka mafuta ya simbaAttracting abundance
Njoo nikiwekee mamuvi zaidi ya 150 kwa Bei cheeNataman nipate external yenye maseries na movies kama zoooteeee,nna alosto so poa
Pole sana mkuu,Ile game ya Liver na chelsea ingekuwa imeahirishwa. muda huu ningekuwa nazungumza ki Hebrew! 98 mil. Umbwa wale. Wangekata kutokanana na odds kupungua lakini nisingekosa kadhaa wa kadha.
"Bei chee"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Njoo nikiwekee mamuvi zaidi ya 150 kwa Bei chee
Kwenye lile jalala la Pasiansi wamejaa kibao. Kuna kipindi hadi nilikuwa naogopa kula kuku wa vibandani ilisemekana wanachinjwa hao ndege john [emoji16][emoji16][emoji16]Hawa mwanza ndio nyumbani kwao