Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #301
Ukiwa busy hukumbukiHakika, ina maana hakuna mtu mwenye nyege jf nzima?😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa busy hukumbukiHakika, ina maana hakuna mtu mwenye nyege jf nzima?😂
Hope huu mwaka ni wa arsenal....I guess soArsenal inaichapa mwamtesa United,
Mwamtesa United anaenda kupigwaHope huu mwaka ni wa arsenal....I guess so
Itakua umeshuhudia mengi....NB: ukiwa maskini ni ngumu sana kua GentlemanNahitaji vijana waone thamani ya utu wao waache kujirahisisha iwe wa kiume au wa kike
Unaweza kama utaijua hali yako na kuishi kwenye scale ya level yako.Itakua umeshuhudia mengi....NB: ukiwa maskini ni ngumu sana kua Gentleman
Kufungua kampuni unaweza kabisa....huu mwaka kabla haujaisha ukiamua utaweza kumiliki kampuni.....Kuna michongo nimeletewa, Ila inabidi niwe na kampuni, sasa natamani kufungua kampuni, taratibu niachane na umachinga wanangu niwafundishe kidogo kidogo how to do, wakiwa wakubwa naamini kuna mmoja ambaye ata show interest...
Natamani niki retire aiendeleze...
Au wote waendeleze...
Mimi na Baba Yao to feel proud!!!
That's my wish!!!
Amen.
1% over 99%Unaweza kama utaijua hali yako na kuishi kwenye scale ya level yako.
SI tumesoma kwenye physical geography ya form 3Dunia ipasuke tuzame ndani tuone kuna nini
nmeishia la 7SI tumesoma kwenye physical geography ya form 3
Sidhani kama jamii forum Kuna Alie ishia la 7nmeishia la 7
ndani kuna nini?
Maendeleo makubwa kama yapi? Kujenga barabara?
Amen... thanks..Kufungua kampuni unaweza kabisa....huu mwaka kabla haujaisha ukiamua utaweza kumiliki kampuni.....
Nikujipa malengo na action....one day before the end of this year utarudi kutupa ushuhuda.....Mtangulize Mungu...
Iz all about everything.....Connection